Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ilikuwa awe direct kwenye timu lakini ilionekana anahitaji exposure ambayo Chelsea hataipata. Sio kosa la timu alipewa nafasi ila haikuwa nzuri. Naamini akipata nafasi ya kucheza SUnderland atakuwa mchezaji mzuri sana
Ndio maana nilikwambia Chelsea haina sababu za msingi za kumsajili Garnacho kitu ambacho kimemtokea huyu dogo guiu ndicho kitachomtokea Estevao hatapata muda wakutosha wa mechi
 
Lavia ni silaha hatari kwa adui lakini ukishaitumia inaungua na kufuka moshi.
Kabisa mkuu ila msimamo wangu kwa Garnacho uko pale pale asisajiliwe unajua kwenye team yetu upande wa winga wa kushoto tuna Gittens kumbuka pia tunamuongeza Xavi Simons, upande wa kulia tuna Neto na Estevao na ukiangalia wote hao Wana uwezo wakucheza winga wa kushoto na kulia usisahau pia Palmer na Joao Pedro wote wanaweza kucheza hizo nafasi kasoro Delap pekee Sasa jiulize unamuongeza Garnacho kufanya Nini? Kama idadi ya wachezaji tunao wakutosha hii inapelekea kuwe na mlundikano wa wachezaji wengi wasio na ulazima
 
Ndio maana nilikwambia Chelsea haina sababu za msingi za kumsajili Garnacho kitu ambacho kimemtokea huyu dogo guiu ndicho kitachomtokea Estevao hatapata muda wakutosha wa mechi

Usajili wa Garnacho una sababu za msingi, kama ilivyokuwa kwa Marc Guiu. Garnacho anacheza nafasi moja na Jamie Gittens, akiwa mchezaji wa asili katika nafasi ya winga wa kushoto (LW), sawa na Gittens. Kwa hiyo, kauli kwamba "hakuna sababu ya kumsajili" haieleweki vizuri. Wataalamu wa masuala ya kiufundi ndani ya timu wanaona sababu za msingi, lakini sisi mashabiki—ambao hata hatujawahi kuhudhuria mafunzo ya mpira—tunatoa hukumu bila uelewa wa kina.

Kila mchezaji anayesajiliwa huwa na sababu, nyingine zikiwa zimefichika kiasi kwamba ni vigumu kwa mpenzi wa kawaida wa mpira kuzitambua. Kwa mfano, baadhi ya usajili hulenga kuongeza idadi ya wachezaji katika kikosi (squad depth), ili kocha awe na chaguo pana. Wachezaji wasiopata nafasi hupelekwa kwenye kikosi cha maendeleo (development squad), kuuzwa, au kutolewa kwa mkopo. Kama mchezaji anaonyesha matarajio makubwa, anaweza kupelekwa kwa mkopo kwenye timu dada kama Strasbourg. Lakini kama hana matarajio makubwa, huuzwa kwa bei nzuri ikipatikana.

Katika biashara ya soka, si kila mchezaji anayesajiliwa hufikia matarajio. Wengine huleta hasara kwa klabu, lakini hiyo ni sehemu ya hatari ya biashara ambayo wanaoielewa huikubali.

Nimefuatilia mwenendo wa soka kwa takriban miaka kumi na kugundua kuwa Arsenal wametumia zaidi ya dola milioni 300 katika matumizi halisi (net spending) kuliko Chelsea. Ingawa Chelsea wametumia karibu dola bilioni 2 katika ununuzi wa wachezaji, Arsenal hawajafikia hata bilioni 1. Sababu ya net spending ya Chelsea kuwa chini ni kwa sababu wanauza sana wachezaji. Hii pia inaeleza kwa nini Chelsea wana uwezo mkubwa wa kifedha wa kununua wachezaji wengi na ghali kuliko timu nyingine za EPL.

Kwa hiyo, tusikimbilie kuikosoa menejimenti ya Chelsea. Wanafanya kazi nzuri ambayo imeirejesha klabu kwenye hadhi yake, kwa mradi endelevu zaidi kuliko ule wa enzi za Roman Abramovich
 
Ndio maana nilikwambia Chelsea haina sababu za msingi za kumsajili Garnacho kitu ambacho kimemtokea huyu dogo guiu ndicho kitachomtokea Estevao hatapata muda wakutosha wa mechi
Kuna wakati ntamani Estavao angeachwa kwako mpka 2027 ndio aje maana naona kabisa anakwenda kupotea vibaya sana kma timu inataka kurundika wa chezaji amabo hawatumiii eti kisa michuano mingi namba moja wachezaji 4 mpka 5 ssa ndio nni Giten yupo watu wamemsahau as if hawajasajiliwa tena akina Garnacho
 
Kuna wakati ntamani Estavao angeachwa kwako mpka 2027 ndio aje maana naona kabisa anakwenda kupotea vibaya sana kma timu inataka kurundika wa chezaji amabo hawatumiii eti kisa michuano mingi namba moja wachezaji 4 mpka 5 ssa ndio nni Giten yupo watu wamemsahau as if hawajasajiliwa tena akina Garnacho
Wachezaji wengi wako wapi, au ninyi hamfuatilii Chelsea nini. Kocha atawachagua wachezaji wasiozidi 25-27 sasa wingi wa wachezajiw ako wapi hapo

Kikosi cha Chelsea 2025/26 hii hapa, wachezaji wanaokosekana aidha watauzwa au watatolewa mkopo
Ebu sema kikosi kikubwa kiko wapi hapa

Goalkeepers
  1. Robert Sánchez – Goalkeeper
  2. Filip Jørgensen – Goalkeeper
Defenders
  1. Malo Gusto – Right Back
  2. Reece James – Right Back / Defensive Midfielder
  3. Tosin Adarabioyo – Centre Back
  4. Trevoh Chalobah – Centre Back
  5. Wesley Fofana – Centre Back
  6. Benoît Badiashile – Centre Back
  7. Levi Colwill – Centre Back
  8. Marc Cucurella – Left Back
  9. Jorel Hato – Left Back
Midfielders
  1. Moisés Caicedo – Defensive Midfielder / Right Back
  2. Romeo Lavia – Defensive Midfielder
  3. Dário Essugo – Central Midfielder
  4. Andrey Santos – Central / Attacking Midfielder
  5. Enzo Fernández – Central Midfielder / CAM
  6. Kiernan Dewsbury-Hall – Central Midfielder
  7. Xavi Simons – Central Attacking Midfielder (CAM)
  8. Cole Palmer –Central Attacking Midfielder (CAM)/ Right Winger
Wingers / Playmakers
  1. Jamie Gittens – Left Winger
  2. Alejandro Garnacho – Left Winger
  3. Pedro Neto – Right / Left Winger
  4. Estevão Willian – Right Winger / No. 10
Strikers
  1. Liam Delap – Striker
  2. João Pedro – Striker / No. 10 / Left Winger
  3. Nicolas Jackson – Striker
 
Kuna wakati ntamani Estavao angeachwa kwako mpka 2027 ndio aje maana naona kabisa anakwenda kupotea vibaya sana kma timu inataka kurundika wa chezaji amabo hawatumiii eti kisa michuano mingi namba moja wachezaji 4 mpka 5 ssa ndio nni Giten yupo watu wamemsahau as if hawajasajiliwa tena akina Garnacho
Sijui kwanini hawalioni hili
 
Wachezaji wengi wako wapi, au ninyi hamfuatilii Chelsea nini. Kocha atawachagua wachezaji wasiozidi 25-27 sasa wingi wa wachezajiw ako wapi hapo

Kikosi cha Chelsea 2025/26 hii hapa, wachezaji wanaokosekana aidha watauzwa au watatolewa mkopo
Ebu sema kikosi kikubwa kiko wapi hapa

Goalkeepers
  1. Robert Sánchez – Goalkeeper
  2. Filip Jørgensen – Goalkeeper
Defenders
  1. Malo Gusto – Right Back
  2. Reece James – Right Back / Defensive Midfielder
  3. Tosin Adarabioyo – Centre Back
  4. Trevoh Chalobah – Centre Back
  5. Wesley Fofana – Centre Back
  6. Benoît Badiashile – Centre Back
  7. Levi Colwill – Centre Back
  8. Marc Cucurella – Left Back
  9. Jorel Hato – Left Back
Midfielders
  1. Moisés Caicedo – Defensive Midfielder / Right Back
  2. Romeo Lavia – Defensive Midfielder
  3. Dário Essugo – Central Midfielder
  4. Andrey Santos – Central / Attacking Midfielder
  5. Enzo Fernández – Central Midfielder / CAM
  6. Kiernan Dewsbury-Hall – Central Midfielder
  7. Xavi Simons – Attacking Midfielder (CAM)
  8. Cole Palmer – Attacking Midfielder / Right Winger
Wingers / Playmakers
  1. Jamie Gittens – Left Winger
  2. Alejandro Garnacho – Left Winger
  3. Pedro Neto – Right / Left Winger
  4. Estevão Willian – Right Winger / No. 10
Strikers
  1. Liam Delap – Striker
  2. João Pedro – Striker / No. 10 / Left Winger
  3. Nicolas Jackson – Striker
Garnacho Hana umuhimu wowote wa kusajiliwa hiko ndicho tunachopinga
 
Garnacho Hana umuhimu wowote wa kusajiliwa hiko ndicho tunachopinga
Alejandro Garancho atakuja kuwatapisha yote m,liyosema kama ilivyokuwa kwenye usajili wa Cole Palmer. Mashabiki walipinga hadi wengine wakatokwa na mapovu. Huyu Garnacho kaanzia Man U iliyooza na akiwa na umri mdogo sana, mentality yake ya kitoto. Anakuja kwenye system nyingine kabisa ambayo Maresca ameshainyoosha na akuitia adabu kwa sababu Maresca akisikia tu unalalamika hata uivunguni atakupiga ban ya haraka sana
Mimi sitaongea zaidi lakini Umuhimu wa kwanza kuliko wote wa garnacho ni LW pamoja na Jamie Gittens au mantaka Jamie Gittens acheze mwenyewe pale. Toeni majibu kwa sababu Marecsa hana mtu wa hapo
Options za winga nio hawa hapa

Wingers / Playmakers
  1. Jamie Gittens – Left Winger
  2. Alejandro Garnacho – Left Winger
  3. Pedro Neto – Right / Left Winger
  4. Estevão Willian – Right Winger / No. 10
 
Huwa nawambia hapa wanao haribu timu ni hao matajiri, wana sajili hovyo hovyo tu bila mpangilio. Kazi kusajili matakataka tu
Sio kila mchezaji anasajiliwa kwa ajili ya kucheza kwenye main team. Model ya mradi wengi hamjui.
Wacherzaji wanasajiliwa kuwa na upana mkubwa wa timu wa kocha kuchagua wachezaji anaoona atawafaa. Wanaobaki wanaingia development squad au kuuzwa au mkopo ili wakaimarike zaidi
Biashara ya soka la kisasa sio kucheza na kushinda amakombe tu
Uuzwaji wa wachezaji ndio unaoipa chelsea nguvu ya pesa ili kuweza kukwepa sheria za fedha PSR na pia kuwa na jeuri ya kununua wachezaji wazuri kwenye soko fursa inapojitokeza. Mna uelewa wa kizamani mno kwenye football team management
 
1754201276943.png
 
Wachezaji wengi wako wapi, au ninyi hamfuatilii Chelsea nini. Kocha atawachagua wachezaji wasiozidi 25-27 sasa wingi wa wachezajiw ako wapi hapo

Kikosi cha Chelsea 2025/26 hii hapa, wachezaji wanaokosekana aidha watauzwa au watatolewa mkopo
Ebu sema kikosi kikubwa kiko wapi hapa

Goalkeepers
  1. Robert Sánchez – Goalkeeper
  2. Filip Jørgensen – Goalkeeper
Defenders
  1. Malo Gusto – Right Back
  2. Reece James – Right Back / Defensive Midfielder
  3. Tosin Adarabioyo – Centre Back
  4. Trevoh Chalobah – Centre Back
  5. Wesley Fofana – Centre Back
  6. Benoît Badiashile – Centre Back
  7. Levi Colwill – Centre Back
  8. Marc Cucurella – Left Back
  9. Jorel Hato – Left Back
Midfielders
  1. Moisés Caicedo – Defensive Midfielder / Right Back
  2. Romeo Lavia – Defensive Midfielder
  3. Dário Essugo – Central Midfielder
  4. Andrey Santos – Central / Attacking Midfielder
  5. Enzo Fernández – Central Midfielder / CAM
  6. Kiernan Dewsbury-Hall – Central Midfielder
  7. Xavi Simons – Central Attacking Midfielder (CAM)
  8. Cole Palmer –Central Attacking Midfielder (CAM)/ Right Winger
Wingers / Playmakers
  1. Jamie Gittens – Left Winger
  2. Alejandro Garnacho – Left Winger
  3. Pedro Neto – Right / Left Winger
  4. Estevão Willian – Right Winger / No. 10
Strikers
  1. Liam Delap – Striker
  2. João Pedro – Striker / No. 10 / Left Winger
  3. Nicolas Jackson – Striker
Mbona simuoni Nkunku wakati yupo sana kwa ajili ya fa cup
 
Alejandro Garancho atakuja kuwatapisha yote m,liyosema kama ilivyokuwa kwenye usajili wa Cole Palmer. Mashabiki walipinga hadi wengine wakatokwa na mapovu. Huyu Garnacho kaanzia Man U iliyooza na akiwa na umri mdogo sana, mentality yake ya kitoto. Anakuja kwenye system nyingine kabisa ambayo Maresca ameshainyoosha na akuitia adabu kwa sababu Maresca akisikia tu unalalamika hata uivunguni atakupiga ban ya haraka sana
Mimi sitaongea zaidi lakini Umuhimu wa kwanza kuliko wote wa garnacho ni LW pamoja na Jamie Gittens au mantaka Jamie Gittens acheze mwenyewe pale. Toeni majibu kwa sababu Marecsa hana mtu wa hapo
Options za winga nio hawa hapa

Wingers / Playmakers
  1. Jamie Gittens – Left Winger
  2. Alejandro Garnacho – Left Winger
  3. Pedro Neto – Right / Left Winger
  4. Estevão Willian – Right Winger / No. 10
Mkuu huo upande wa winger wa kushoto tuna George na Gittens wanatosha kabisa, tunatakiwa kumpa nafasi sana huyu dogo kuliko kuanza kumuharibu kwa kumpeleka kwa mkopo wakati unaona kabisa potential yake ukiacha hivyo wote Neto na Estevao wanaweza pia kucheza kwenye LW plus Palmer bila kusahau pia Joao Pedro anaweza pia kucheza kwenye Hilo eneo in short tuna wachezaji wengi wanaoweza kucheza both winger ya kulia na kushoto (Gittens, George, Neto, Estevao, Joao Pedro, Palmer,Xavi Simons na Jackson Kama hatouzwa) Maresca ana option nyingi na ya kutosha huyo Garnacho anakuja kufanya Nini? Huu upuuzi ndio unaopelekea tuwe na mlundiko wa wachezaji wengi bila umuhimu wowote, mtu Kama Estevao mpira wake utakuwaje Kama hatopata nafasi ya kutosha kwasababu ya kulundika wachezaji wengi sisemi Garnacho ni mchezaji mbaya la hasha! Ila ninachopinga kufanya usajili bila kuzingatia mahitaji ya team hiyo pesa ya kumsajili Garnacho si Bora hata tumsajili kipa mwingine au beki wa kati wa kulia mzoefu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom