Mwamba umemaliza kila kitu sijui kwanini wanamchukulia poa JacksonNinyi hamjui kumtambua mchezaji mzuri. Mnampima Jackson kwa makosa yake ila uzuri wake mnaweka kapuni
Didier Drogba kafunga magoli 10 msimu wake wa kwanza akiwa na miaka 25
Msimu wake wa pili kafunga goli 12 akiwa na miaka 26
Jackson msimu wake wa kwanza akiwa na miaka 22 kafunga goli 15 Na kafunga goli 10 msimu wake wa pili akiwa na miaka 23
Huyu bado anakuwa na bado anajifunza vitu vingi kwan i yeye hakuhuidhuria academy kama walivyo wengine, katolewa tu kwenye mipira ya matambara Afrika akapelekwa ulaya kuchjeza soka
Namuona Jackson kama mchezaji amabaye soka l;ake litalipuka ndani ya miaka michache ijayo na akifikia hapo atakuwa hotcase
Jackson anazo sifa ambazo ni nadra kukuta kwa washambuliaji wengine
- Uwezo wa kukaa kwenye nafasi muhimu za kushambulia
- Uwezo wa kuserereka na mpira na ball control ya hali ya njuu
- Uwezo wa kuwapita mabeki kirahisi na kuwafanya wawe busy na hivyo kuweka spaces kwa wenzake
- Uwezo wa kuwapita mabeki kwenye 1V1
- Uwezo wa kukaa na mpira, ksuubiri wenzake kuaka vizuri na kupasi hata kama ni kwenye presh akubwa
- Uwezo wa kuwachezesha wenzake
- Uwezo wa kupress na kusaidia kukaba, hakai tu uwanjani kuzubaa kama akina mAdueke
- Uwezo wa kucheza wide, kwenye kiungo
- Kufit kwenye mfumo wa posseional football na counter attack kwa urahisi
- Ana maiak 23 tu bado anao mmuda wa kurekebisha hayo madhaifu ya kwenye kulenga shabaha golini
- Ameoneysha dalili nzuri ya kufanya maamuzi sahihi uwanjuani
- Jackson ni mmoja wa washambuliaji waliotengeneza nafasi nyingi msimu uliopita
- Ndio maana Chelsea hawako tayari kumtoa kwa pesa ndogo na hawana presha ya kumuuza kwa sababu wanajua alichonacho Jackson ni kikubwa kuliko madhaifu yake
Hii taarifa umeipatia wapi?Done deal.. Chelsea complete signing jorrel hato from ajax.
Chelseanews.comHii taarifa umeipatia wapi?
Si ya kweliChelseanews.com
Chelsea wanamchukulia Cucurella Kama mchezaji wa future na wapo kwenye mazungumzo ya kumuongezea mkataba so hiyo taarifa ipuuzeNdugu matajiri wa London hili dili limekaaje? Litatuacha salama kweli?
![]()
Chelsea defender opens talks with Saudi club
Marc Cucurella is understood to have been given permission to talk to Saudi Arabian club Al Nassr after the Blues accepted a staggering £65 million bid from the Middle Eastern club. The leftwww.eyefootball.com
Safi bado xavi Simons🚨 BREAKING: Jorrel Hato to Chelsea — Haya basi! Makubaliano yamefikiwa na Ajax kwa ada ya zaidi ya £34m.
Beki huyo Mholanzi mwenye umri wa miaka 19 alitaka tu kujiunga na Chelsea FC.
Hato atasaini mkataba wa muda mrefu na Chelsea
Chelsea wamepata kifaa chao!
@FabrizioRomano
View attachment 3425211
Mbona deal ya uarabuni tayari mkuu? Inasemekana atakuwa analipwa mara 3 ya mshahara wake wa sasa.Chelsea wanamchukulia Cucurella Kama mchezaji wa future na wapo kwenye mazungumzo ya kumuongezea mkataba so hiyo taarifa ipuuze
Hamna kitu km hicho mkuu...hizo zilikuwa rumours tuMbona deal ya uarabuni tayari mkuu? Inasemekana atakuwa analipwa mara 3 ya mshahara wake wa sasa.
Uwe unasoma kwenye vyanzo vya habari sahihiMbona deal ya uarabuni tayari mkuu? Inasemekana atakuwa analipwa mara 3 ya mshahara wake wa sasa.
Chelsea wamelamba dume. Cha kushangaza, watakuja hapa wapuuzi wa Asenali na Manure kuja kutia nuksi zao hapa. Naomba muwapuuze!🚨 BREAKING: Jorrel Hato to Chelsea — Haya basi! Makubaliano yamefikiwa na Ajax kwa ada ya zaidi ya £34m.
Beki huyo Mholanzi mwenye umri wa miaka 19 alitaka tu kujiunga na Chelsea FC.
Hato atasaini mkataba wa muda mrefu na Chelsea
Chelsea wamepata kifaa chao!
@FabrizioRomano
View attachment 3425211
Kwani hicho ni feki mkuu? Nani asiyependa pesa? Hata mm ningelipwa mara 3 ya mshahara ningesepa!Uwe unasoma kwenye vyanzo vya habari sahihi
Wala hawakuwahi hata kumtaka. Hizo media za kapuni umesoam hizo taarifaMbona deal ya uarabuni tayari mkuu? Inasemekana atakuwa analipwa mara 3 ya mshahara wake wa sasa.
Ok mkuu. Let us wait and see whether the deal will go or fall through.Wala hawakuwahi hata kumtaka. Hizo media za kapuni umesoam hizo taarifa
Huyu jamaa kama unamfuatilia anazo kasoro nyingi kuliko hata za Robert Sanchez, wakati sanchez yeye udhaifu wake ni kukurupuka saa nyingine sio kila mara, huyu Gianluigi Donnarumma ni mdhaifu kwenyeHuyu nyanda vipi? Naona yupo sokoni turuke naye akamvunje Saka mguu kama alivyofanya kwa Musalia.
View attachment 3425306