lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,489
Mazungumzo yameanza rasmi kati ya Chelsea na RB Leipzig ya kumsajili Xavi Simons kwa dau la pauni milioni 60.Takataka hii, madueke mweupe.
Mazungumzo yameanza rasmi kati ya Chelsea na RB Leipzig ya kumsajili Xavi Simons kwa dau la pauni milioni 60.Takataka hii, madueke mweupe.
Mazungumzo yameanza rasmi kati ya Chelsea na RB Leipzig ya kumsajili Xavi Simons kwa dau la pauni milioni 60.
View attachment 3413409
Watatukoma msimu huu , Chelsea we are back on business
Hans flick nadhani hata mashindano yaliyopita ya UEFA hakuwepo..maana bingwa wao psg 😂Hans Flick na timu yake hawakuwepo kwenye hayo mashindano.
Dah aisee hii ni addition nzuri sana kwa Chelsea Msimu ujao .....aisee Msimu ujao tunaweka Tena taji kibindoniMazungumzo yameanza rasmi kati ya Chelsea na RB Leipzig ya kumsajili Xavi Simons kwa dau la pauni milioni 60.
View attachment 3413409
Bei yake sio mbaya tofauti na ya Morgan huyu ni mtu kwa kweli, hii ndio sababu inayofanya niipende hii team ni suala la kuwa na ambitious ya kuwin makombe. Huyu atatusaidia sometime Palmer asirelax na kwenye rotation pamoja na upande wa winger wa kushoto kulingana na mechi husika kweli Tajiri Hana masihalaMazungumzo yameanza rasmi kati ya Chelsea na RB Leipzig ya kumsajili Xavi Simons kwa dau la pauni milioni 60.
View attachment 3413409
Palmer mchumba wake alimzingua sana na kwa vile Palmer kachukua maamuzi magumu ya kumkataa anaweza kurudisha form yake ya kwanza. Pili wachezaji wengi na kocha sasa wanaelewana. Kwa taarifa yako Palmer pale alipo ni untouchable labda augue au apumzishwe mechi ndogo ndogoBei yake sio mbaya tofauti na ya Morgan huyu ni mtu kwa kweli, hii ndio sababu inayofanya niipende hii team ni suala la kuwa na ambitious ya kuwin makombe. Huyu atatusaidia sometime Palmer asirelax na kwenye rotation pamoja na upande wa winger wa kushoto kulingana na mechi husika kweli Tajiri Hana masihala
Sasa dogo Xavi Simon atafit wapi kwenye Maresca system?Palmer mchumba wake alimzingua sana na kwa vile Palmer kachukua maamuzi magumu ya kumkataa anaweza kurudisha form yake ya kwanza. Pili wachezaji wengi na kocha sasa wanaelewana. Kwa taarifa yako Palmer pale alipo ni untouchable labda augue au apumzishwe mechi ndogo ndogo
Nimeweka hapaSasa dogo Xavi Simon atafit wapi kwenye Maresca system?
Xavi Simons akisajiliwa atakayeadhirika na dakika ni Jamie Gittens na Liam Delap kwa sababu Xavi Simons anaweza kucheza namba zote za mbele
Na Maresca anapenda sana wachezaji kama hawa kwa sababu ya flexibility pale anapopanga timu, anapoweka gameplan na inapotokea majeruhi au mchezaji fulani hayupo ghafla kwa sababu hii na ile
- Natural No. 9
- False No. 9
- LW
- RW
- CAM/No. 10
- Advanced no. 8
Huyu tayari ila niona anaweza kuwa ni mchezaji wa mwisho kumsajiliXavi Simons amesha sema anapenda mradi wa Chelsea na anasukuma kuhamia Chelsea
"Next statement signing"
View attachment 3413551
Tutakuwa wa moto sanaChelsea can agree xavi simon signing today_ Fabrizio romano
Tutakua tunaenda kuangalia mechi zetu kwa kujiamini sio kama kipindi cha akina madueke.Tutakuwa wa moto sana