Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Niliwahi kusema hiki kitu Chelsea ina defenders wazuri ila kwanini tulikuwa tunaruhusu magoal kirahisi ni kwasababu ya muundo wa kocha wa uchezaji ilikuwa mpinzani akipata tu mpira ni rahisi kufika golini kwetu tunakuwa wazi sana kiasi ambacho madefenders wetu wanakuwa exposed. Kwa mifumo ambayo amekuja nayo Enzo Maresca hasa kwenye hizi mechi za karibia na mwishoni umeona rulivyo kuwa solid, Chelsea haitaji sana uwalazima wa kuwa na center backs Fofana, Tosin, chalobah na Colwil wanatosha kabisa muhimu kocha stick kwenye hii mifumo inayofanya tuwe solid
Maresca kafanya mabadiliko mengi ikmiwa mojawapo kuwapa uhuru wachezaji kucheza kwa style yao.
Mfano alikataza transition sasa hivi anaruhusu
Alikataza longballs sasa hivi anaruhusu. Kuna tatcical changes nyingi zimefanywa hapo katikati ya March na sasa ndio maana timu imebadilika sana. Mimi naamini timu hii inatosha kabisa kufight for EPL na UCL
 
Chelsea wanafuatilia kwa karibu hali ya Alejandro Garnacho huko Manchester United, ambao wamepunguza ada yao ya uhamisho kutoka £70 milioni ($81m) hadi £40m ($46m).
Tumsajili au tusimsajili?
1753178693598.png
 
Maresca kafanya mabadiliko mengi ikmiwa mojawapo kuwapa uhuru wachezaji kucheza kwa style yao.
Mfano alikataza transition sasa hivi anaruhusu
Alikataza longballs sasa hivi anaruhusu. Kuna tatcical changes nyingi zimefanywa hapo katikati ya March na sasa ndio maana timu imebadilika sana. Mimi naamini timu hii inatosha kabisa kufight for EPL na UCL
Sanchez ndiye bingwa wa long ball. PSG walikufa kwa style ya long ball. Goli la kwanza long ball kutoka kwa Sanchez, goli la pia long ball kutoka nyuma kumtafuta Palmer katikati.
 
Chelsea wanafuatilia kwa karibu hali ya Alejandro Garnacho huko Manchester United, ambao wamepunguza ada yao ya uhamisho kutoka £70 milioni ($81m) hadi £40m ($46m).
Tumsajili au tusimsajili?
View attachment 3414388
Garnacho atatufaa sana kwenye long ball kwani anayospeed na pia 1x1; shida yake ni kukosa consistency.
Ila naombea sana takataka Sterling aondoke mapema sana anatujazia nafasi bure...Jackson aachwe ila asipewe majukumu ya kufunga.
 
Chelsea wanafuatilia kwa karibu hali ya Alejandro Garnacho huko Manchester United, ambao wamepunguza ada yao ya uhamisho kutoka £70 milioni ($81m) hadi £40m ($46m).
Tumsajili au tusimsajili?
View attachment 3414388
Huyu ni mchezaji mzuri Hana tofauti sana Gittens but tunahitaji aina tofauti ya mchezaji Kama tukistick kwa Xavi Simon huyu ndio ana offer vitu tofauti Kwanza ni dynamic in term of position atatengeneza nafasi nyingi zaidi kuliko kumtegemea Palmer pekee
 
Kingine nashindwa kuelewa Chelsea priority yao ni Nani Kati Xavi Simon au Garnacho
Hapo ni either mmoja wapo na factor nyingine itakuwa ada ya uhamisho maana hao wanatazamiwa kuwa backup player sasa huwezi toa £60mil kwa backup player ni wastage of resources
 
Hapo ni either mmoja wapo na factor nyingine itakuwa ada ya uhamisho maana hao wanatazamiwa kuwa backup player sasa huwezi toa £60mil kwa backup player ni wastage of resources
Hao wote wawili ni wachezaji wazuri zaidi Gittens kwahiyo sioni kuwa wanakuwa backup
 
Xavi Simons akisajiliwa atakayeadhirika na dakika ni Jamie Gittens na Liam Delap kwa sababu Xavi Simons anaweza kucheza namba zote za mbele
  1. Natural No. 9
  2. False No. 9
  3. LW
  4. RW
  5. CAM/No. 10
  6. Advanced no. 8
Na Maresca anapenda sana wachezaji kama hawa kwa sababu ya flexibility pale anapopanga timu, anapoweka gameplan na inapotokea majeruhi au mchezaji fulani hayupo ghafla kwa sababu hii na ile
Mkuu natural position ya Xavi ni AM, CM na RW, Hizo nyingine zinabaki kuwa zile kwakua ni mchezaji akipangwa position yoyote anaweza toboa lakini sio perfect fit kwake kama hizo nilizotaja
 
Hivi ndivyo Xavi anaweza kufit kwenye kikosi na hapa ndio tutapata the best team
 

Attachments

  • Screenshot_20250722_201014_Instagram.jpg
    Screenshot_20250722_201014_Instagram.jpg
    225 KB · Views: 17
Wachezaji wengi wakitoka Leipzig kuja chelsea wanaflop, TIMO WERNER, CHRIS NKUNKU HILI DEAL LA XAVI SIMON.... ISIJE IKAWA Marudio.... Kuna sajili hazikwenda vizuri mojawapo joao felix ...
 
Chalobah mmmh...!? Au basi 🫢

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Niliwahi kusema hiki kitu Chelsea ina defenders wazuri ila kwanini tulikuwa tunaruhusu magoal kirahisi ni kwasababu ya muundo wa kocha wa uchezaji ilikuwa mpinzani akipata tu mpira ni rahisi kufika golini kwetu tunakuwa wazi sana kiasi ambacho madefenders wetu wanakuwa exposed. Kwa mifumo ambayo amekuja nayo Enzo Maresca hasa kwenye hizi mechi za karibia na mwishoni umeona rulivyo kuwa solid, Chelsea haitaji sana uwalazima wa kuwa na center backs Fofana, Tosin, chalobah na Colwil wanatosha kabisa muhimu kocha stick kwenye hii mifumo inayofanya tuwe solid
 
Maresca kafanya mabadiliko mengi ikmiwa mojawapo kuwapa uhuru wachezaji kucheza kwa style yao.
Mfano alikataza transition sasa hivi anaruhusu
Alikataza longballs sasa hivi anaruhusu. Kuna tatcical changes nyingi zimefanywa hapo katikati ya March na sasa ndio maana timu imebadilika sana. Mimi naamini timu hii inatosha kabisa kufight for EPL na UCL
Labda Chelsea FC itaweza kubeba UEFA CL ila EPL ngoja kidogo tuangalie, kumbuka 2024/2025 Man City katoka bila kombe lolote, unadhani 2025/2026 ni rahisi kwa Man City na Liverpool kutobeba kombe lolote?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Isiwe nao wanatuchukulia Chelsea SC kama dampo la kutupia wachezaji vimeo kama Chelsea SC tunavyowapiga Arse8?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Wachezaji wengi wakitoka Leipzig kuja chelsea wanaflop, TIMO WERNER, CHRIS NKUNKU HILI DEAL LA XAVI SIMON.... ISIJE IKAWA Marudio.... Kuna sajili hazikwenda vizuri mojawapo joao felix ...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom