Wewe ungekuwa mmiliki wa Chelsea ungehama hii dun ia kwenda kuwatafuta aliens waje duniani kucheza mpira. Kila mchezaji kwako ni takataka
Xavi Simons ana miaka 22 tu na kwa achievement aliyokwisha ifikia tim,u yeyote kubwa ingependa kumsajili. Itakayomzuia tu ni kama ataendana na mfumo wa kocha. Chelsea ikifanikiwa kuuza wachezaji na hasa kama kati ya Nkunku an Jackson wakiuzwa, Chelsea inaweza kumsajili Xavi Simons au Morgan Roders. Kwa Moirgan Roders Chelsea inaweza kubadilishana na Nicoals Jackson kwa ajili ya kutimiza masharti ya UEFA. Aston Vila watatakiwa kuuza wachezaji. Sis nuuzwaji wa Noni Madueke→ Arsenal for €55.4M, Djordje Petrovic → Bournemouth for €28.88M, Bashir Humphreys → Burnley for €14M, Kepa Arrizabalaga → Arsenal for €5.8M na Marcus Bettinelli → Man City for €2.4M umetatua hitaji la UEFA.