Amekua mpuuzi pasi za nyuma tu, anakera.Atoe brichi kwenye kichwa
Amekua mpuuzi pasi za nyuma tu, anakera.Atoe brichi kwenye kichwa
Hivi umeona pasi anazopiga Tosin? Angekua anapga Caseido tungekua tunashinda kirahisi tu, sasa yeye ni back pass tu muda wote. Mianya ipo lakin anaishia kupiga safe pass.Utakautaka ni upi
Kweli Mkuu. Ila sìku ile tuliruhusuje zile chuma 3 aiseeKila wakati tuendelee kuwashhukuru Flamengo kwa kutufunga, wameturahisishia njia ya kubeba hili kombe.
Si kila dhoruba linalokupata ni ili likuangamize, madhoruba mengine yanakuja ili kukuinua
Wewe mwenyewe umeridhia kuwa Kocha ni mchanga kwa sasa ila inawezekana baadaye akawa mzuri, mi ni nani hata nikupinge Mkuu?Acha negativity mkuu itakuua wewe mwenyewe, huu ni ushabiki tu wa mpira lengo kuu ni kufurahi, Timu inafanya vizuri na kocha anaenda vizuri. Hakuna kocha asiye na mapungufu na huyu ni mchanga. Anaweza kuja kuwa bonge la kocha kupitia hii timu akiwa na chemistry nzuri nayo
Tuombe Mungu Jao Pedro asipate majeruhi, pia aendelee na consistency kiubora maana isijekuwa ni nguvu ya soda japo kiukweli anastahili kupongezwa.Hongereni THE BLUES kwa kufuzu Fainali.
Jana nimengalia mechi bora sana, jana tumecheza kama mabingwa wa UCL 2 Mkononi.
Wachezaji wote 1st eleven walikuwa wa moto kupambania kutinga fainali.
Tunahitaji kusajili msaidizi wa Cucurela, anatumika sana kitakachofuata ni injury. Jamaa yupo fire sana kwa sasa. Kocha asituaminishe Gusto ni mbadala wake.
Kwa muda mrefu tulikosa mchezaji wa kupiga mawe, kuachia bullet, Kutumia nafasi chache kufunga magoli. Jana Jao Pedro amenibubujisha machozi.
Jao Pedro 1 = 10 Jackson
Jao Pedro shikamoo boss
Timu nyingi sasa hivi wanwageukia makocha wachanga kwa sababu wanakuwa naflexibility kuliko wale wakongwe. Huyu Maresca atakuja kupata popularity hapa hapa Chelsea. Mbona Pep alipata poipularity Barselona akiwa ni mchanga kabisa na hadi leo hiyo popularity ya Barc elona imembeba hadi kupata heshima kubwa duniani?Wewe mwenyewe umeridhia kuwa Kocha ni mchanga kwa sasa ila inawezekana baadaye akawa mzuri, mi ni nani hata nikupinge Mkuu?
Namtakia sana Kocha Maresca mafanikio ila si dhambi kuchambua madhaifu yake inapobidi.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Kuna baadhi ya mashabiki wa Chelsea ambao tayari wana makocha wao mioyoni, na hawatampenda Maresca kamwe. Kuna wanaompenda sana Pochettino, wengine Enrique, Hans Flick, Tuchel, Conte, Xabi Alonso, na wengine Simone Inzaghi. Orodha inaendelea — kila mtu ana chaguo lake. Hii ndiyo sababu ni vigumu sana kuafikiana kuhusu nani hasa ni kocha bora.
Ilikuwa ni mpango wa MunguKweli Mkuu. Ila sìku ile tuliruhusuje zile chuma 3 aisee
Mike Penders ni mzuri kocha ana hofu tuIla wazee sina imani kabisa na pazia la Ngorika bus. Sijajua kwanini mpaka sasa hivi tumekwama kupata replacement ya Sanchez.
Kwani si tuna Ben Chillwell ? ,na kuna timu kaenda kwa mkopo ?Tunachotakiwa tusajiri mbadala wa Cucurella
Subili tutakuleta kombe ulishikeChelkenge nasikia eti msimu huu mmebadili nicknamed yenu sasa hivi mnajiita "The Black"View attachment 3399289
Sasa unapimtakia mafanikio kocha maresca huku comment zako zingine za fire maresca...mara hajafukuzwa tu tukueleweje mkuu😂...unakuwa kama yule shabiki wa nyumbu Enzi za ole Gunnar anakujaga na comment za Bado hajafukuzwa? Au ndo ww na i.d nyingine?Wewe mwenyewe umeridhia kuwa Kocha ni mchanga kwa sasa ila inawezekana baadaye akawa mzuri, mi ni nani hata nikupinge Mkuu?
Namtakia sana Kocha Maresca mafanikio ila si dhambi kuchambua madhaifu yake inapobidi.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Essugo sijui kwanini hapewi nafasiEnzo & Caicedo hizi mashine zipewe maua yao. Work rate yao ni kubwa sana uwanjani.
Tungepata mbadala wa Lavia wakina Enzo na Caicedo wakawa huru kutembea uwanjani aisee eneo la kiungo lingekuwa moto sana.
Lavia majeruhi ndio changamoto.
Labda Santos anaweza kufanya jambo, japokuwa kwa sasa ni mzito sana.
Alipata minor injuryEssugo sijui kwanini hapewi nafasi
Hii inachangia na kushinda conference cup hii imeleta chachu kwa wachezaji kuwa wapambanaji na kutamani kushinda zaidi makombeKitu nilichokiona mechi ya jana
Mbinu za kocha bila wachezaji kujituma uwanjani ni kazi bure
Mbinu za kocha bila selection nzuri ya Wachezaji ni kazi bure
Jana wachezaji walionza 1st eleven walijituma sana kuna muda nilisema moyo wa Enzo utapasuka. Caicedo kapiga kazi chafu sana.
Mabeki ndio usiseme utulivu wa hali ya juu na kujituma kukaba.
Mkanda ulianza kusokota pale sub zilizoanza kufinyika, kule mbele wakaingia makirikiri.