Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Debut yake goli 2 za nguvu kwenye nusu fainali ya FIF CWC
Tena anapewa MOTM
1752077194558.png
 
Unampongeza na wakati huohuo UNATAKA afukuzwe Sasa tukueleweje😂
Afukuzwe sababu bado ni mchanga kiuwezo ila akifanya vizuri ishu ya kufukuzwa ndiyo imeyeyuka hivyo.

Nani apendaye ugonjwa wa moyo kwa kupenda kisichopendeka?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Afukuzwe sababu bado ni mchanga kiuwezo ila akifanya vizuri ishu ya kufukuzwa ndiyo imeyeyuka hivyo.

Nani apendaye ugonjwa wa moyo kwa kupenda kisichopendeka?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Kama ni mzee sawa ujipumzishe kuangalia usipate magonjwa ya moyo😂
 
Afukuzwe sababu bado ni mchanga kiuwezo ila akifanya vizuri ishu ya kufukuzwa ndiyo imeyeyuka hivyo.

Nani apendaye ugonjwa wa moyo kwa kupenda kisichopendeka?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Ameanza kujirekebisha maana namuona siku hizi gusto anachezeshwa RB badala ya inverted midfielder anayopenda kumchezesha
 
Ameanza kujirekebisha maana namuona siku hizi gusto anachezeshwa RB badala ya inverted midfielder anayopenda kumchezesha
Gusto bado anainvert. Kuinvert ni sala ya bwana kwa mafulback sasa hivi, Cheza na Marseca nini. Ila naona ana invert kwenye no 10 sio kwenye midfield hiyo ni ya Cucurella
 
Ligi ya EPL inaanza mwezi wa nane, mwezi huu wa saba kuelekea katikati ndio tutamaliza hii michuano ya FIFA CWC. Sasa wachezaji watapumzika kwa muda gani? Waje warudi pre season wapate walau wiki mbili za mazoezi ndio waje kuanza ligi!

Naamini tutaanza kwa kuchechemea sana.
Mimi siamini kwenye Bali naona momentum ya team itakuwa high kitu ambacho kocha atakifanya pre-season atawapa nafasi wachezaji ambao hawapati nafasi Kama Essugo, Santos n.k ili waoneshe uwezo wao ukoje alafu wengine watakuwa wanapumzishwa
 
Jidanganye wewe ni mbabe wa stress za kujitakia tukuzike mapema tuendelee kumla Shemeji yetu na kulea watoto.

Ubinadamu ni kazi/The humanity i is work.
Ndugu yangu unaenda kwa kukariri, hii Chelsea ya kuanzia March 2025 sio ile ya Disemba 24 na Januari 25. Imebadilika sana. Sasa hivi tunaimba wimbo wa kushinda kila mechi iliyo mebele yetu tu

Katika mechi 15 tumeshinda 13 hivi unalijua hata hilo?
 
Kuna mtu kamtaja aseno ama utd hapa ? Jibu hoja mmeunga unga kwa bahati ya kucheza na vitimu dhaifu mnaona tayari mna timu nzuri! Mtadhalilika vibaya sana fainali ! Sio Madrid wala PSG mnaoweza kuwafunga
Wewe unaowaita ni team dhaifu ndio hizo zimewatoa inter Milan, Man City na atlectico Madrid
 
Afukuzwe sababu bado ni mchanga kiuwezo ila akifanya vizuri ishu ya kufukuzwa ndiyo imeyeyuka hivyo.

Nani apendaye ugonjwa wa moyo kwa kupenda kisichopendeka?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Halafu akifukuzwa aje kula kwako?, Hivi unadhani hao makocha unaowaona wanafaa waliibuka ghafla!!?, Maresca ndo kocha wa Chelsea kwa sasa tumuunge mkono tu na uzuri timu inaonesha mabadiliko makubwa tu au ndo tumezoea kutafuta udhaifu tu wa mtu hata kama afanye vizuri kiasi gani!!? Ili mladi tu umkosoe?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom