Chelsea sio man u au Arsenal ukielewa hili usingeandika utumbo wakoMnaenda kudhalilika fainali,,, tena Ombeni walau mkutane na Madrid., mkikutana na watoto wa Paris hakuna rangi mtaacha kuona
Chelsea sio man u au Arsenal ukielewa hili usingeandika utumbo wakoMnaenda kudhalilika fainali,,, tena Ombeni walau mkutane na Madrid., mkikutana na watoto wa Paris hakuna rangi mtaacha kuona
Kujua hili nadhani n mpaka Jmos, siku moja kabla ya fainalMosses Caisedo yukoje kiafya kwa mechi zingine kama fainali ya world club cup 2025 wakuu?
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Mechi ya Andrey Snatos ya kwanza tu dakika chache alizopewa hakucheza kwa ujasiri lakini mechi mbili za mwisho alicheza vizuri sana. Ni mzuri kwenye kuzima mashmbulizi na kukokota mipira mbeleEnzo & Caicedo hizi mashine zipewe maua yao. Work rate yao ni kubwa sana uwanjani.
Tungepata mbadala wa Lavia wakina Enzo na Caicedo wakawa huru kutembea uwanjani aisee eneo la kiungo lingekuwa moto sana.
Lavia majeruhi ndio changamoto.
Labda Santos anaweza kufanya jambo, japokuwa kwa sasa ni mzito sana.
Makocha wote mbinu zao zinafanya kazi kama anao wachezaji sahihi na akawapanga vizuri, zaidi ya hapo ni patapoteaKitu nilichokiona mechi ya jana
Mbinu za kocha bila wachezaji kujituma uwanjani ni kazi bure
Mbinu za kocha bila selection nzuri ya Wachezaji ni kazi bure
Jana wachezaji walionza 1st eleven walijituma sana kuna muda nilisema moyo wa Enzo utapasuka. Caicedo kapiga kazi chafu sana.
Mabeki ndio usiseme utulivu wa hali ya juu na kujituma kukaba.
Mkanda ulianza kusokota pale sub zilizoanza kufinyika, kule mbele wakaingia makirikiri.
Mbadala kwani anahama? au unamaanisha cover/backupTunachotakiwa tusajiri mbadala wa Cucurella
Amepata majeruhi ya misuli kwenye mazoezi kabla ya nusu fainali ya janaEssugo sijui kwanini hapewi nafasi
Kelele zenu ndizo zinatupa mafanikio, endeleeni tu kupiga tarumbeta mnatuburudisha na kutupa nguvuMnaenda kudhalilika fainali,,, tena Ombeni walau mkutane na Madrid., mkikutana na watoto wa Paris hakuna rangi mtaacha kuona
Moses amepinda kwenye kifundo cha mguu wake jana alipofanyiwa chalenge na kuteleza. Itategemea na ukubwa wa tatizo ila kocha nadhani anaweza asimpange jumapiliMosses Caisedo yukoje kiafya kwa mechi zingine kama fainali ya world club cup 2025 wakuu?
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Ligi ya EPL inaanza mwezi wa nane, mwezi huu wa saba kuelekea katikati ndio tutamaliza hii michuano ya FIFA CWC. Sasa wachezaji watapumzika kwa muda gani? Waje warudi pre season wapate walau wiki mbili za mazoezi ndio waje kuanza ligi!Kwanini unaamini hivyo
Kwani kizuri kipi kinachokosaga kasoro hadi kisikosolewe Mkuu?Sasa unapimtakia mafanikio kocha maresca huku comment zako zingine za fire maresca...mara hajafukuzwa tu tukueleweje mkuu😂...unakuwa kama yule shabiki wa nyumbu Enzi za ole Gunnar anakujaga na comment za Bado hajafukuzwa? Au ndo ww na i.d nyingine?
Kuna mtu kamtaja aseno ama utd hapa ? Jibu hoja mmeunga unga kwa bahati ya kucheza na vitimu dhaifu mnaona tayari mna timu nzuri! Mtadhalilika vibaya sana fainali ! Sio Madrid wala PSG mnaoweza kuwafungaChelsea sio man u au Arsenal ukielewa hili usingeandika utumbo wako
Mmekutana na timu dhaifu hadi fainali, ngoja mcharazwe ndio mtasema mlifikaje fainaliKelele zenu ndizo zinatupa mafanikio, endeleeni tu kupiga tarumbeta mnatuburudisha na kutupa nguvu
Sisi ndio tutaanza kwa kishindo kikubwa kwa sababu hii ni preseaosn msisahau hili. Baada ya hapa hakutakuwepo na any other serious preseaosn zaidi ya kuwarm up tu kwa ajili ya ligi. Mchezaji anayemiss hapa ni Gittens tu na watakaosajiliwa ambao sio kwa umuhimuLigi ya EPL inaanza mwezi wa nane, mwezi huu wa saba kuelekea katikati ndio tutamaliza hii michuano ya FIFA CWC. Sasa wachezaji watapumzika kwa muda gani? Waje warudi pre season wapate walau wiki mbili za mazoezi ndio waje kuanza ligi!
Naamini tutaanza kwa kuchechemea sana.
Unajua ukiwa na wivu inakukula wewe sisi tutaendelea kubeba vikombe na makombe na kufurahia maisha. Ninyi mkapimwe maradhi imewala kwa wivu mkubwa kama huuMmekutana na timu dhaifu hadi fainali, ngoja mcharazwe ndio mtasema mlifikaje fainali
Unampongeza na wakati huohuo UNATAKA afukuzwe Sasa tukueleweje😂Kwani kizuri kipi kinachokosaga kasoro hadi kisikosolewe Mkuu?
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Timu dhaifu fluminense afu imetoka kuwatoa Al hilal aliyemtoa man city..au benfica aliyemfunga Bayern aisee hiziroho mbaya ukizeeka si utaanza kuloga watu mkuu😂Kuna mtu kamtaja aseno ama utd hapa ? Jibu hoja mmeunga unga kwa bahati ya kucheza na vitimu dhaifu mnaona tayari mna timu nzuri! Mtadhalilika vibaya sana fainali ! Sio Madrid wala PSG mnaoweza kuwafunga
Sasa hivi rivals hawaamini kwamba hii Chelsea sio ile ya Pochettino, Lampard na PotterTimu dhaifu fluminense afu imetoka kuwatoa Al hilal aliyemtoa man city..au benfica aliyemfunga Bayern aisee hiziroho mbaya ukizeeka si utaanza kuloga watu mkuu😂
Mbele ya hii PSG ya Enrique? Mchukue kombe ? Kupata kichekesho kama hiki tunabonyeza ngapi ?Unajua ukiwa na wivu inakukula wewe sisi tutaendelea kubeba vikombe na makombe na kufurahia maisha. Ninyi mkapimwe maradhi imewala kwa wivu mkubwa kama huu