Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 44,153
- 104,730
Sijakuelewa bossUnasema tulikuwa wapiii
Sijakuelewa bossUnasema tulikuwa wapiii
Fainali ndo kuna challenge vzr 😂Bora hata ya Palmeiras walitupa challenge
Bonge la counterOya wakuu, mmeona build-up ya hili goli la pili 🙌
Ndio mimi naitaka hiyo. Japo najua kwenye ligi tutaanza vibaya sanaFainali ndo kuna challenge vzr 😂
Jackson aende kama nyongezaTuwapelekee Brighton pauni milioni 100 au zaidi kwa Joao Pedro. Tumewaibia