Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hapana na unajua hilo halipo
Uuzwaji wa wachezaji unaendana na mahitaji ya kocha
Falsafa ya hawa wamiliki wapya ni kununua wachezaji wengi na wachanga ili katika hao kocha awe na pool nzuri ya kuchagua
Kocha akishawachagua wachezaji wake hao wengine wanauzwa iwe kwa profit au kwa hasara
Lengo kuu ni kukwepa kuendelea kwuannunua wachezaji kama akina Sterling ambao ni bei ghali na wanakuja na mahitaji ya mishahara mikubwa.
Hawa wachezaji wachanga wananunuliwa bei chee, mashahara mdogo hata baadaye wakitakiwa kuuzwa ni rahisi
Case study nyingine ni kwamba kusubiri wachezaji wanaswe na timu kama Benfica, Dortmund au Brighton wanakuja kuuzwa wakiwa wachanag kwa bei ghali. Mimi naona huu mfumo unafaida hata wasipouzwa kwa faid kwa sababu timu inakuwa imekwepa kutumia pesa nyingi kwa wachezaji wazuri.
Wee fikiria mchezaji kama
Andrey Santos
Estevao Willian
wangeangukia kwenye mikono ya Brighton au Benfica wangeuzwa shilingi ngapi baada ya mwaka mmoja
Commitment ya hawa wamiliki hata kama wamefanya makosa mengi huko nyuma bado ni nzuri ukitofautisha na timu zingine kubwa. Wamjitoa sana kuwanunua wachezaji bora
Nataka niwahakikishie kuwa mchezaji akishaingia mikononi mwa Maresca na akiwa na amani naye hakuna mmiliki atalazimisha wauzwe. Kama wapo nipe hata mmoja
Watu Bado hawatakuelewa😂
 
Team news: Lavia na Delap watakosa mchezo

Kwa utabiri wangu kule mbele Lw atacheza Joao Pedro no 9 ataanza Jackson no 11 atakuwa Pedro neto in short Leo Jackson na Joao Pedro wataanza pamoja
 
Mimi nahisi hawa fluminence ni wagumu kuliko timu zote za brazil tulizocheza nazo et
Hawa tunawabomoa , labda tuzingue tu sisi wenyewe kwenye selection ya wachezaji na kukosa umakini uwanjani . Flamengo ndio wagumu kuliko timu zote za brasil kwa mimi nilivyoona , maana wanapeleka moto mwanzo mwisho
 
Hawa tunawabomoa , labda tuzingue tu sisi wenyewe kwenye selection ya wachezaji na kukosa umakini uwanjani . Flamengo ndio wagumu kuliko timu zote za brasil kwa mimi nilivyoona , maana wanapeleka moto mwanzo mwisho
Hahahaha ngoja tuone kina madueke watafanya nini
 
Hawa tunawabomoa , labda tuzingue tu sisi wenyewe kwenye selection ya wachezaji na kukosa umakini uwanjani . Flamengo ndio wagumu kuliko timu zote za brasil kwa mimi nilivyoona , maana wanapeleka moto mwanzo mwisho
Na hao flamengo ndo wanaongoza ligi yao kule brasil
 
Team news: Lavia na Delap watakosa mchezo

Kwa utabiri wangu kule mbele Lw atacheza Joao Pedro no 9 ataanza Jackson no 11 atakuwa Pedro neto in short Leo Jackson na Joao Pedro wataanza pamoja
Hata Colwill hatakuwepo, wote na Delap wana njano mbili
 
Thiago Silva amesema yeye ni hsabiki wa PSG na Chelsea ila leo anaweka pembeni ushabiki wa Chelsea ili afanye kazi maalumu ila baadaye ataurudia
 
Kuna kila dalili kwamba Joao Pedro atacheza kama Striker

--------------Joao Pedro------------

Palmer ------------Enzo----------Neto

------Santos --------------Caicedo----

Cucurella ---Chalobah ---Tosin ---James

---------------Sanchez-----------------
 
Kuna kila dalili kwamba Joao Pedro atacheza kama Striker

--------------Joao Pedro------------

Palmer ------------Enzo----------Neto

------Santos --------------Caicedo----

Cucurella ---Chalobah ---Tosin ---James

---------------Sanchez-----------------
Kwani James kapona?
 
Thiago Silva amesema yeye ni hsabiki wa PSG na Chelsea ila leo anaweka pembeni ushabiki wa Chelsea ili afanye kazi maalumu ila baadaye ataurudia
Hivi wakiingia fainal Chelsea na PSG atashabikia team gani napenda aulizwe Hilo swali na waandishi
 
Japokuwa wengi wenu hampendi madueke ila akitoka nkunku na kuingia yy mpira utabadiĺika kila la kheri timu yangu
Screenshot_20250708-210354_Sofascore.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom