The coolest jw
JF-Expert Member
- Dec 2, 2016
- 782
- 1,155
Japokuwa wengi wenu hampendi madueke ila akitoka nkunku na kuingia yy mpira utabadiĺika kila la kheri timu yangu
james ni mzimaKwani James kapona?
Mnyimi yule, anacheza vizuri ila kuna wakati wa maamuzi ya busara yeye anacheza fyongo, Nkunku ni mzuri kwenye akili, anachokosa Nkunku ni pressing na ana dalili za uvivu uwanjani ila akiwa na mpira anamaamuzi ya busara kuliko Madueke. Kocha anamlalamikia hata kwenye mazezi hana nidhamu,Japokuwa wengi wenu hampendi madueke ila akitoka nkunku na kuingia yy mpira utabadiĺika kila la kheri timu yangu
View attachment 3398465
Bora hata Santos acheze na Caicedo pale Kati, Enzo na Palmer wakacheza no 10 kuliko kumpanga Nkuku, Nkuku ni mfanyakazi hewaChelsea Vs Fluminense
Leo Dario Esugo hayupo hata bench
4-2-3-1
Lineup
Formation: 4-2-3-1
--------------Joao Pedro--------------
Nkunku -----------Palmer----------Neto
-----Enzo -------------Caicedo-----
Cucurella --Chalobah --Tosin --Gusto
---------------Sanchez-----------------
Bench
1) Penders
2) Jorgensen
3) Slonina
4) Acheampong
5) James
6) Anselmino
7) Sarr
8) Santos
9) Dewsbury-Hall
10) Madueke
11) George
12) Jackson
13) Guiu
View attachment 3398474
Ndio mwalimu kaona hivyoBora hata Santos akacheza na Caicedo pale Kati, Enzo na Palmer wakacheza no 10 kuliko kumpanga Nkuku, Nkuku ni mfanyakazi hewa
Kocha nae ni taka taka hajiamniNimemsikia Leo kocha wetu eti anasema flumenese ana advantage cos kacheza mechi nyingi kuliko sisi, hii kitu ndicho huwa ananikera Enzo Maresca, kwa hii kauli yake imenitisha sijui Kama tutatoboa hanawavunja morali wachezaji
Nkuku Kasi Hana, dribble haweziMnyimi yule, anacheza vizuri ila kuna wakati wa maamuzi ya busara yeye anacheza fyongo, Nkunku ni mzuri kwenye akili, anachokosa Nkunku ni pressing na ana dalili za uvivu uwanjani ila akiwa na mpira anamaamuzi ya busara kuliko Madueke. Kocha anamlalamikia hata kwenye mazezi hana nidhamu,
Anadhani Chelsea ni Kama Leicester cityKocha nae ni taka taka hajiamni
We ushaanza kama ulikuwa umebana mbupu ziachie ,maana tunaongoza mojaWakuu tuna hali mbaya huku 😭
Sasa ulikuwaga unamtetea huyo takataka sijui ulikuwa unapata wapi nguvuJoao Pedro anamfundisha Nicolas Jackson jinsi magoli yanatakiwa kufungwa
Na asirudi tena mpumbavu yule nafasi 101 ndio anafunga 1 hapo hujagusa uchoyo.Joao Pedro anamfundisha Nicolas Jackson jinsi magoli yanatakiwa kufungwa