Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,930
- 27,184
Mkuu sasa tunaanza kuelewana. Kocha ana nafasi kubwa kubadili tempo ya mchezo na mchezaji husika wa mechi. Tuombe tufike fainali tuone namna Enzo atakavyo uaproach mchezo husika naamini kama mashabiki na timu kwa ujumla tutapata la kujifunza kuelekea msimu ujao.Mechi na Bayern Munich hawakucheza na intesity kama waliyocheza na Intermilan kwenye fainali za UCL. Naona kuna drop kidogo ya intensity na kwa upande mwingine Chelsea tangu washinde fainali ya UECL mentality ya kocha na wachezaji imebadilika sana kitu ambacho Chelsea walikuwa hawana huko nyuma. Mimi naona Kocha kwa sasa yuko makini sio kama huko nyuma. hizi timu zikikutana sio ubora ndio utasababisha timu moja ishinde bali ni mentality na approach ya mpira. Chelsea tunao wachezaji wengi bora kuliko PSG. Nakubali wao wana kocha bora kuliko Chelsea na hapo ndio tofauti kubwa