Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kapigwa fine yote hiyo kwa kosa gani, maana nilipokutana nalo tu nikalitupia hapa chap chap.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
Faini alizopigwa Chelsea ni hizi hapa:
Faini ya Uro milioni 20 kwa kuvunja Sheria ya Ufuatiliaji wa Kifedha ya UEFA (UEFA Financial Monitoring Rule)
Faini ya Uro milioni 11 kwa kuvunja Sheria ya gharama ya Kikosi ya UEFA (UEFA Squad cost rule)
Jumla ni Uro milioni 31 au sawaswa na pauni mil 27

Sheria ya Ufuatiliaji wa Kifedha ya UEFA
Chelsea imetumia zaid ya kiwango kinachotakiwa na UEFA katika miaka mitatu iliyopita
Pia mauzo ya hoteli na timu ya wanawake haikubailiki na sheria za kifedha za UEFA kama ni mapato halali kwa sababu miamala ilifanyika kwenye makampuni tanzu ya BLUECO ambayo ndie mmiliki wa Chelsea

Sheria ya gharama ya Kikosi ya UEFA
Sheria ya UEFA inasema timu inatakiwa itumie sio zaidi ya 80% kwenye gharama za usajili na mishahara ya wachezaji lakini Chelsea wao wametumia zaidi ya 80% ambayo ni kati ya 80-90%

Hitimisho
Kwa sakata lote hili Chelsea na Aston Villa ambao ndio waliokumbwa na panga hili la UEFA safari hii kwa EPL wamekjubali makosa na pia watalipa hiyo faini
Pia Chelsea imekubali kutowasajili wachezaji wapya kwenye A-list ya UEFA hadi watakapotimiza masharti ya mauzo ya wachezaji. Kwa hili Chelsea inatakiwa kuuza wacheza angalau sio chini ya pauni milioni 60 ili waruhusuiwe kwuasajili wachezaji wapya kama akina:
  1. Liam Delap
  2. João Pedro
  3. Dário Essugo
  4. Mamadou Sarr
  5. Jamie Gittens
Vilabu Vilivyoadhibiwa na UEFA (2024–2025)
🏟️ Timu💶 Kiasi cha Faini📝 Sababu ya Adhabu
Chelsea (England)€31 milioniKukiuka kanuni za usawa wa mapato na matumizi ya kikosi; mauzo ya mali za ndani ya hoteli na uuzwaji wa timu ya wanawake yenye utata
Barcelona (Spain)€15 milioniHasara kubwa kifedha; taarifa zisizo sahihi kuhusu mapato
Aston Villa (England)€11 milioniMatumizi ya kupindukia wakati wa mashindano ya Conference League
Lyon (France)€12.5 milioniUkosefu wa uthabiti wa kifedha; tishio la kutengwa kwenye mashindano ya UEFA
 
Faini alizopigwa Chelsea ni hizi hapa:
Faini ya Uro milioni 20 kwa kuvunja Sheria ya Ufuatiliaji wa Kifedha ya UEFA (UEFA Financial Monitoring Rule)
Faini ya Uro milioni 11 kwa kuvunja Sheria ya gharama ya Kikosi ya UEFA (UEFA Squad cost rule)
Jumla ni Uro milioni 31 au sawaswa na pauni mil 27

Sheria ya Ufuatiliaji wa Kifedha ya UEFA
Chelsea imetumia zaid ya kiwango kinachotakiwa na UEFA katika miaka mitatu iliyopita
Pia mauzo ya hoteli na timu ya wanawake haikubailiki na sheria za kifedha za UEFA kama ni mapato halali kwa sababu miamala ilifanyika kwenye makampuni tanzu ya BLUECO ambayo ndie mmiliki wa Chelsea

Sheria ya gharama ya Kikosi ya UEFA
Sheria ya UEFA inasema timu inatakiwa itumie sio zaidi ya 80% kwenye gharama za usajili na mishahara ya wachezaji lakini Chelsea wao wametumia zaidi ya 80% ambayo ni kati ya 80-90%

Hitimisho
Kwa sakata lote hili Chelsea na Aston Villa ambao ndio waliokumbwa na panga hili la UEFA safari hii kwa EPL wamekjubali makosa na pia watalipa hiyo faini
Pia Chelsea imekubali kutowasajili wachezaji wapya kwenye A-list ya UEFA hadi watakapotimiza masharti ya mauzo ya wachezaji. Kwa hili Chelsea inatakiwa kuuza wacheza angalau sio chini ya pauni milioni 60 ili waruhusuiwe kwuasajili wachezaji wapya kama akina:
  1. Liam Delap
  2. João Pedro
  3. Dário Essugo
  4. Mamadou Sarr
  5. Jamie Gittens
Vilabu Vilivyoadhibiwa na UEFA (2024–2025)
🏟️ Timu💶 Kiasi cha Faini📝 Sababu ya Adhabu
Chelsea (England)€31 milioniKukiuka kanuni za usawa wa mapato na matumizi ya kikosi; mauzo ya mali za ndani ya hoteli na uuzwaji wa timu ya wanawake yenye utata
Barcelona (Spain)€15 milioniHasara kubwa kifedha; taarifa zisizo sahihi kuhusu mapato
Aston Villa (England)€11 milioniMatumizi ya kupindukia wakati wa mashindano ya Conference League
Lyon (France)€12.5 milioniUkosefu wa uthabiti wa kifedha; tishio la kutengwa kwenye mashindano ya UEFA
Wachezaji wa Chelsea walioripotiwa kuwa wanaweza kuuzwa katika dirisha la majira ya joto 2025, pamoja na makadirio ya thamani zao za soko ni:
  1. Nicolas Jackson - €50 milioni
  2. Noni Madueke - €40 milioni
  3. Christopher Nkunku - €35 milioni
  4. Raheem Sterling - €10 milioni
  5. Ben Chilwell - €15 milioni
  6. Axel Disasi - €22 milioni
  7. Carney Chukwuemeka - €18 milioni
  8. Renato Veiga - €25 milioni
  9. Armando Broja - €12 milioni
  10. Djordje Petrovic - €20 milioni
💰 Jumla: €247 milioni
 
Wachezaji wa Chelsea walioripotiwa kuwa wanaweza kuuzwa katika dirisha la majira ya joto 2025, pamoja na makadirio ya thamani zao za soko ni:
  1. Nicolas Jackson - €50 milioni
  2. Noni Madueke - €40 milioni
  3. Christopher Nkunku - €35 milioni
  4. Raheem Sterling - €10 milioni
  5. Ben Chilwell - €15 milioni
  6. Axel Disasi - €22 milioni
  7. Carney Chukwuemeka - €18 milioni
  8. Renato Veiga - €25 milioni
  9. Armando Broja - €12 milioni
  10. Djordje Petrovic - €20 milioni
💰 Jumla: €247 milioni
Timu ya kuuza na kununua kma biashara ya nyanya sokoni
 
Wachezaji wa Chelsea walioripotiwa kuwa wanaweza kuuzwa katika dirisha la majira ya joto 2025, pamoja na makadirio ya thamani zao za soko ni:
  1. Nicolas Jackson - €50 milioni
  2. Noni Madueke - €40 milioni
  3. Christopher Nkunku - €35 milioni
  4. Raheem Sterling - €10 milioni
  5. Ben Chilwell - €15 milioni
  6. Axel Disasi - €22 milioni
  7. Carney Chukwuemeka - €18 milioni
  8. Renato Veiga - €25 milioni
  9. Armando Broja - €12 milioni
  10. Djordje Petrovic - €20 milioni
💰 Jumla: €247 milioni
Ndio maana nilikwambia sera ya kusajili wachezaji wengi kwa wakati mmoja angalia madhara yake ndio haya
 
Tupate maneno ya mama 😂

 
Wachezaji wa THE BLUES wamekaa kimauzo mauzo. Sitashangaa dirisha hili tukiuza wachezaji muhimu ili kutengeneza faida wa wamiliki
Hapana na unajua hilo halipo
Uuzwaji wa wachezaji unaendana na mahitaji ya kocha
Falsafa ya hawa wamiliki wapya ni kununua wachezaji wengi na wachanga ili katika hao kocha awe na pool nzuri ya kuchagua
Kocha akishawachagua wachezaji wake hao wengine wanauzwa iwe kwa profit au kwa hasara
Lengo kuu ni kukwepa kuendelea kwuannunua wachezaji kama akina Sterling ambao ni bei ghali na wanakuja na mahitaji ya mishahara mikubwa.
Hawa wachezaji wachanga wananunuliwa bei chee, mashahara mdogo hata baadaye wakitakiwa kuuzwa ni rahisi
Case study nyingine ni kwamba kusubiri wachezaji wanaswe na timu kama Benfica, Dortmund au Brighton wanakuja kuuzwa wakiwa wachanag kwa bei ghali. Mimi naona huu mfumo unafaida hata wasipouzwa kwa faid kwa sababu timu inakuwa imekwepa kutumia pesa nyingi kwa wachezaji wazuri.
Wee fikiria mchezaji kama
Andrey Santos
Estevao Willian
wangeangukia kwenye mikono ya Brighton au Benfica wangeuzwa shilingi ngapi baada ya mwaka mmoja
Commitment ya hawa wamiliki hata kama wamefanya makosa mengi huko nyuma bado ni nzuri ukitofautisha na timu zingine kubwa. Wamjitoa sana kuwanunua wachezaji bora
Nataka niwahakikishie kuwa mchezaji akishaingia mikononi mwa Maresca na akiwa na amani naye hakuna mmiliki atalazimisha wauzwe. Kama wapo nipe hata mmoja
 
Si ndio Kama tunakutana financial fair play
Hii ni ajali kazini, huu msimu unaokuja ndio mtaona faida ya hizi sajili
Chelsea imepungukiwa na defender mmoja tu mwenye uzoefu hata kama ni mchanga. Wesley Fofana asingekuwa ni mtu wa kitan dani kila saa angetufaa na kombo ya Levi Colwill huku uncle Tosin akitia cover na Mahamood Sarr akiadapt
 
Si ndio Kama tunakutana financial fair play
Hata hivyo hatuna hasara, kanuni za UEFA ni tight mbona za FA hatukukiuka!

Hawa hapa ni baadhi ya wachezaji wa Chelsea wanaotarajiwa kuuzwa katika dirisha la usajili la kiangazi 2025, pamoja na bei zao za sasa za soko na gharama walizonunuliwa nazo kwa pauni (£):

  1. Nicolas Jackson
    • Thamani ya soko: £42.5 milioni
    • Gharama ya ununuzi: £32 milioni kutoka Villarreal (2023)
  2. Noni Madueke
    • Thamani ya soko: £34 milioni
    • Gharama ya ununuzi: £30 milioni kutoka PSV Eindhoven (2023)
  3. Christopher Nkunku
    • Thamani ya soko: £30 milioni
    • Gharama ya ununuzi: £52 milioni kutoka RB Leipzig (2023)
  4. Raheem Sterling
    • Thamani ya soko: £8.5 milioni
    • Gharama ya ununuzi: £47.5 milioni kutoka Manchester City (2022)
  5. Ben Chilwell
    • Thamani ya soko: £12.5 milioni
    • Gharama ya ununuzi: £45 milioni kutoka Leicester City (2020)
  6. Axel Disasi
    • Thamani ya soko: £18.5 milioni
    • Gharama ya ununuzi: £38 milioni kutoka AS Monaco (2023)
  7. Carney Chukwuemeka
    • Thamani ya soko: £15 milioni
    • Gharama ya ununuzi: £17 milioni kutoka Aston Villa (2022)
  8. Renato Veiga
    • Thamani ya soko: £21 milioni
    • Gharama ya ununuzi: £13 milioni kutoka FC Basel (2024)
  9. Armando Broja
    • Thamani ya soko: £10 milioni
    • Gharama ya ununuzi: Mchezaji wa akademi (hakununuliwa)
  10. Djordje Petrovic
    • Thamani ya soko: £17 milioni
    • Gharama ya ununuzi: £13.5 milioni kutoka New England Revolution (2023)

💰 Jumla ya thamani ya soko: £209 milioni​

💸 Jumla ya gharama ya ununuzi: Takribani £288 milioni​

Chelsea inahitaji kuuza baadhi ya wachezaji hawa ili kufikia masharti ya kifedha ya UEFA na kuruhusu usajili wa wachezaji wapya kwenye mashindano ya Ulaya.⚽📉
 
Hapana mkui labda useme hawa wachezaji wangeingia kwenye mikono ya Enrique. Maresca mikono yake inatetemeka.
Timu imemaliza top 4
Tumebeba UECL
Tupo nusu fainali ya kombe la dunia
Kikosi kimeimarishwa
Wachezazaji wanampenda sana
Maresca katubu hataongea hovyo tena kuhusu kushindwa
Mlitaka abebe ubingwa wa EPL mwaka wake wa kwanza mbele ya Man city, Liverpool, Arsenal
Hata kama ni ngumu kumshukuru basi tuminye kwanza ili tuone anaifikisha wapi timu
Kwa sasa anaipeleka pazuri
Kwa sababu hatunaey Enrique hatuwezi kuforce mambo zaidi ya hapa
 
Finali alizoshindwa Mauricio Pochettino. Tungekuwa naye hata UECL angeshindwa mbele ya Real Beatis
  • 2015 League Cup Final
  • 2019 Champions League Final
  • 2024 EFL Cup Final
  • 2025 CONCACAF Gold Cup Final
1751883351526.png
 
Maresca ameshindwa kurekebisha madhaifu kama timu ikishafunga bao la kwanza inasema good night, bao likisawazishwa na opponent, timu inasema good morning.

Mashabiki tunacheki game roho mkononi, kutangulia bao 1 au 2 kwetu sio salama kabisa.

Udhaifu wa 2 kwenye selection ya kikosi. Hana uhakika na kikosi anachokipanga. Akishafungwa ndio anaanza kuhaha kama mbwa koko kufanya sub za kuokoa jahazi.

Kiufupi Maresca amekuwa na maamuzi ya ovyo kwenye selection ya wachezaji, kuwapanga kwenye nafasi za kucheza, maamuzi ya kumng'ang'ania pazia Sanchez.

Maresca anatuaminisha ni world class coach kumbe ni mbarara
Hizo pooints 69 EPL hazipatikani kwa urahisi nndg. Hata akina Arsenal Man city ni mbinde mbinde. Timu kwa ujumla bado ilikuwa changa na haijazoeana kisawa sawa. Natumaini sasa hivi wamezoeana na uchezaji wa msimu ujao hautakuwa kama huu ulioisha
Maamuzi ya hovyo ni sawa ila natumaini anajifunza kwa sababu naye ni mgeni kapewa mzigo mkubwa
 
Wachezaji wa THE BLUES wamekaa kimauzo mauzo. Sitashangaa dirisha hili tukiuza wachezaji muhimu ili kutengeneza faida wa wamiliki
Wamarekani hawatofautiani kabisa na Wahindi kibiashara na kiubahili, tutakinywea sana kikombe wana Chelsea wenzangu 😩

Ubinadamu ni kazi The humanity is work.
 
Hizo pooints 69 EPL hazipatikani kwa urahisi nndg. Hata akina Arsenal Man city ni mbinde mbinde. Timu kwa ujumla bado ilikuwa changa na haijazoeana kisawa sawa. Natumaini sasa hivi wamezoeana na uchezaji wa msimu ujao hautakuwa kama huu ulioisha
Maamuzi ya hovyo ni sawa ila natumaini anajifunza kwa sababu naye ni mgeni kapewa mzigo mkubwa
Bado Maresca ni average Coach na timu ni kubwa mno kwake.

Kujituma tu kwa Wachezaji wa Chelsea ndiyo kumemuweka ktk nafasi hiyo, ila ukinipatia Maresca na Fadlu Kocha wa Simba FC nitamchukua Fadlu.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Finali alizoshindwa Mauricio Pochettino. Tungekuwa naye hata UECL angeshindwa mbele ya Real Beatis
  • 2015 League Cup Final
  • 2019 Champions League Final
  • 2024 EFL Cup Final
  • 2025 CONCACAF Gold Cup Final
View attachment 3397245
Kitu unachoshindwa kuelewa ambacho wengi wanamlaumu Maresca ni namna anavyo approach mchezo. Poch alikua na wachezaji wa kawaida sana tofauti na Enzo lakini tulifanikiwa kumaliza top four. Huyu Poch mtamdharau ila sielewi aliwakosea nini. Enzo game na Palmeiras unaona kabisa mbinu hana, ligi kuu karibia kila top four katufunga, walau Poch alikua anajitahidi tunatoa sare.

Yapo mambo mengi ambayo Poch kamuacha mbali sana Maresca ila tusifike huko. Muhimu tuangalie kama coach ana mchango gani kwa rasilimali (wachezaji) zilizopo kuweza kutufikisha nchi ya ahadi.
 
Kitu unachoshindwa kuelewa ambacho wengi wanamlaumu Maresca ni namna anavyo approach mchezo. Poch alikua na wachezaji wa kawaida sana tofauti na Enzo lakini tulifanikiwa kumaliza top four. Huyu Poch mtamdharau ila sielewi aliwakosea nini. Enzo game na Palmeiras unaona kabisa mbinu hana, ligi kuu karibia kila top four katufunga, walau Poch alikua anajitahidi tunatoa sare.

Yapo mambo mengi ambayo Poch kamuacha mbali sana Maresca ila tusifike huko. Muhimu tuangalie kama coach ana mchango gani kwa rasilimali (wachezaji) zilizopo kuweza kutufikisha nchi ya ahadi.
Pochettino anamikosi na fainal tangu akiwa Spurs, PSG, Chelsea na sasa USMNT
 
Hapana na unajua hilo halipo
Uuzwaji wa wachezaji unaendana na mahitaji ya kocha
Falsafa ya hawa wamiliki wapya ni kununua wachezaji wengi na wachanga ili katika hao kocha awe na pool nzuri ya kuchagua
Kocha akishawachagua wachezaji wake hao wengine wanauzwa iwe kwa profit au kwa hasara
Lengo kuu ni kukwepa kuendelea kwuannunua wachezaji kama akina Sterling ambao ni bei ghali na wanakuja na mahitaji ya mishahara mikubwa.
Hawa wachezaji wachanga wananunuliwa bei chee, mashahara mdogo hata baadaye wakitakiwa kuuzwa ni rahisi
Case study nyingine ni kwamba kusubiri wachezaji wanaswe na timu kama Benfica, Dortmund au Brighton wanakuja kuuzwa wakiwa wachanag kwa bei ghali. Mimi naona huu mfumo unafaida hata wasipouzwa kwa faid kwa sababu timu inakuwa imekwepa kutumia pesa nyingi kwa wachezaji wazuri.
Wee fikiria mchezaji kama
Andrey Santos
Estevao Willian
wangeangukia kwenye mikono ya Brighton au Benfica wangeuzwa shilingi ngapi baada ya mwaka mmoja
Commitment ya hawa wamiliki hata kama wamefanya makosa mengi huko nyuma bado ni nzuri ukitofautisha na timu zingine kubwa. Wamjitoa sana kuwanunua wachezaji bora
Nataka niwahakikishie kuwa mchezaji akishaingia mikononi mwa Maresca na akiwa na amani naye hakuna mmiliki atalazimisha wauzwe. Kama wapo nipe hata mmoja
Madueke
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom