Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Frank Leboeuf: "Mara moja pekee niliyomuona Antony ilikuwa akigombana na Enzo Fernandez."

1748506681745.png
 
  • Kicheko
Reactions: K11
Kwakua tunaenda kuwa na wachezaji wachanga wengi Sancho atatufaa sana pamoja na hivyo Sancho sio average player
tatizo la Sancho hajitumi, angejituma hata robo yake angekuwa mchezaji mkubwa sana. Angalia aina ya magoli anayofunga, so easy so easy sasa je angejituma zaidi angefikia na kuzidi ile form ya Dortmund
 
Subiri nitumie Bilioni mbili kwenye misimu miwili kwanza
Taarifa za uhakika zinadai kuwa tofauti ya matumizi ya Chelsea na Arsenal kwenye muongo uliopita ni $290 Arsenal wakiwa wametumia zaidi ya Chelsea
Sababu kubwa ni kwamba Arsenal hawana kitu cha kuuza wakati Chelsea wanauza sana wachezaji
Ngoja niweke kisomi zaidi:
Katika miaka kumi iliyopita matumizi haya hapa:
Jumla ya Matumizi ya Chelsea: $2.58 bilioni
Jumla ya Matumizi ya Arsenal: $1.65 bilioni
Tofauti: $2.58 bilioni - $1.65 bilioni = $930 milioni

Net spending ya Chelsea
Mapato kutokana na Mauzo: $1.50 bilioni
Matumizi Halisi: $1.08 bilioni

Net spending ya Arsenal
Mapato kutokana na Mauzo: $287 milioni

Matumizi Halisi: $1.37 bilioni

TOFAUTI YA NET SPENDINGS
Jumla ya Matumizi halisi ya Chelsea: $1.08 bilioni
Jumla ya Matumizi halisi ya Arsenal: $1.37 bilioni
Tofauti: $1.37 bilioni - $1.08 bilioni = $290 million USD (Arsenal wametumia zaidi ya Chelsea).

Kama kwa uchambuzi huu utarudi hapa tutakupiga mijeledi matakoni
PUMABF ZAO
 
Joe Shields, Paul Winstanley, Jose E Feliciano, Todd Boehly, Behdad Eghbali, Laurence Stewart na Sam Jewell wakiwa kwenye picha ya pamoja na kombe la Conference League.

Hawa ndio wako nyuma ya mafanikio ya timu ya wanaume ya Chelsea

1748519311905.png
 
Taarifa za uhakika zinadai kuwa tofauti ya matumizi ya Chelsea na Arsenal kwenye muongo uliopita ni $290 Arsenal wakiwa wametumia zaidi ya Chelsea
Sababu kubwa ni kwamba Arsenal hawana kitu cha kuuza wakati Chelsea wanauza sana wachezaji
Ngoja niweke kisomi zaidi:
Katika miaka kumi iliyopita matumizi haya hapa:
Jumla ya Matumizi ya Chelsea: $2.58 bilioni
Jumla ya Matumizi ya Arsenal: $1.65 bilioni
Tofauti: $2.58 bilioni - $1.65 bilioni = $930 milioni

Net spending ya Chelsea
Mapato kutokana na Mauzo: $1.50 bilioni
Matumizi Halisi: $1.08 bilioni

Net spending ya Arsenal
Mapato kutokana na Mauzo: $287 milioni

Matumizi Halisi: $1.37 bilioni

TOFAUTI YA NET SPENDINGS
Jumla ya Matumizi halisi ya Chelsea: $1.08 bilioni
Jumla ya Matumizi halisi ya Arsenal: $1.37 bilioni
Tofauti: $1.37 bilioni - $1.08 bilioni = $290 million USD (Arsenal wametumia zaidi ya Chelsea).

Kama kwa uchambuzi huu utarudi hapa tutakupiga mijeledi matakoni
PUMABF ZAO
Huna akili unajua.

Kwahiyo wewe na Bakhresa umemzidi matumizi kwakua huna unachouza?

Kenge hua mnatumia nini kufikiria? Unaambiwa kiasi ulichotumia unajiongezea definition eti net spending.

Umetumia sh ngapi? Hizo net spending ingekua zina maana unayoitaka hapa msingefungiwa kusajili
 
Huna akili unajua.

Kwahiyo wewe na Bakhresa umemzidi matumizi kwakua huna unachouza?

Kenge hua mnatumia nini kufikiria? Unaambiwa kiasi ulichotumia unajiongezea definition eti net spending.

Umetumia sh ngapi? Hizo net spending ingekua zina maana unayoitaka hapa msingefungiwa kusajili
Wewe ni mpumbavu wa mwisho hapa duniani., Hakuna wa kukusaidia
 
Hilii limenilizaaa sanaaa...hili limeniumizaa sanaaa..! Man city..Man u na Arsenal hatujapendaaa
 
  • Kicheko
Reactions: K11
tatizo la Sancho hajitumi, angejituma hata robo yake angekuwa mchezaji mkubwa sana. Angalia aina ya magoli anayofunga, so easy so easy sasa je angejituma zaidi angefikia na kuzidi ile form ya Dortmund
Mkuu unasema magoli anayofunga Sancho so easy na wakati ule ndio uwezo wake umekufanya uone ni rahisi sana. Nadhani anayo room ya kuimprove hatutakiwi kumpoteza kabisa
 
Delap ni Hojlund mwingine tu hakuna teka hapo,,,, ! Mtasingizia tu mmemchukua kwa bei poa ! Bora mngekomaa kwa wale proven Victor ohsimen na Victor Goyk ! !!!!

Huyo ni squad player tu, wakabadilishane na Jackson!!!! Bora hata Victor Boniface wa Liverkusen, au Sesko Benjamin
 
Maresca anatosha ama aje mwl mwingine ? Mseme kabisa ili msije kulia lia , ooh mwl kasajiliwa wachezaji, hao sio wake, Mara mwalimu hakupata pre season n.k ! Conte anatikisa kiberiti huko Naples, nendeni mkamchukue awape EpL na Uefa asepe zake !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom