Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 8,069
- 15,754
Mitoto milaini laini tu utadhani ilibemendwa hadi isiwe na ukatili panapohitajika mechi za nguvu nyingi na akili nyingi, eg Chelsea SC vs Newcastle SC.Maresca ni takataka, yaani hatutaachieve chochote na huyo takataka. Kwa walioangalia mpira wa PSG ndio waone chelsea hakuna mpira tunaocheza miback pass na side ways pass. Tutaenda kutia aibu huko UEFA
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.