na ndio wa kwanza kufanyiwa sub ,reece james kaingia.. ubora wake umeonekana kuwa mkubwa zaidi katika kufanya majukumu yote mawili.. as a fullback na pia kama midfield player.Haha! GUSTO huyoo..
WAle ni senior rana😂😂😂😂🏃🏃🏃Angalau hatujatoka patupu kama asenyoo
gameplan, iliokuwa aweze kuwasoma na kuja kivingine kipindi cha pili. Na kipindi cha pili kilikuwa kimepangwa kama kipindi cha mauaji ndio maana Reece James, Colwill walipumzishwa ili wasome mchezoIla Maresca alitaka kuifanya hii mechi ngumu kwa lineup ya kijinga wakati ni fainali
Pili Mawinga wote ni uozo kwa level ya champions league poor kwenye 1v1 na wazito kurelease mipira kinara wao Madueke
Mbinu za kocha bado zinanipa wasiwasi maana kila tukipoteza mpira defensive shape huioni
Anyway ngoja tufurahie kikombe cha kahawa maana something is better than nothing
Arsenal alidungwa chuma nne.....Giroud akiwa mmoja wapo wa wadunguaji wa magoli alipiga kichwa matata sasa. Hazard aliwaburuza uwanjani kidogo watokwe na ulimiUshindi huu wa 4-1 unanikumbusha fainali nyingine ya Uropa!
Ilikuwa dhidi ya timu fulani ambapo mashabiki wao wana mdomo sana
Eden Hazard alikuwa MOTM kama vile Cole Palmer ni MOTM leo
Ni timu gani hiyo? najua wananisoam na wako hapa ila hawataongea kwa sasa
Inapendeza 😂
Ila Maresca alitaka kuifanya hii mechi ngumu kwa lineup ya kijinga wakati ni fainali
Pili Mawinga wote ni uozo kwa level ya champions league poor kwenye 1v1 na wazito kurelease mipira kinara wao Madueke
Mbinu za kocha bado zinanipa wasiwasi maana kila tukipoteza mpira defensive shape huioni
Anyway ngoja tufurahie kikombe cha kahawa maana something is better than nothing
Soma anavyosema Colwillgameplan, iliokuwa aweze kuwasoma na kuja kivingine kipindi cha pili. Na kipindi cha pili kilikuwa kimepangwa kama kipindi cha mauaji ndio maana Reece James, Colwill walipumzishwa ili wasome mchezo
Enzo Maresca:Ila Maresca alitaka kuifanya hii mechi ngumu kwa lineup ya kijinga wakati ni fainali
Pili Mawinga wote ni uozo kwa level ya champions league poor kwenye 1v1 na wazito kurelease mipira kinara wao Madueke
Mbinu za kocha bado zinanipa wasiwasi maana kila tukipoteza mpira defensive shape huioni
Anyway ngoja tufurahie kikombe cha kahawa maana something is better than nothing
Manusura first half kuwa 2-0 jamaa walipoteza clear chance sasa hii kitu kafanye kwenye champions league utaona motoSoma anavyosema Colwill
Levi Colwill:
"We just had to wait and pick our moments and that is what we did in the second half. Watching from the bench you can see where the spaces are and how you can help the team."
Levi Colwill:
"Ilitubidi tu kusubiri na kuchagua muda wetu na ndivyo tulivyofanya katika kipindi cha pili. Ukitazama ukiwa kwenye benchi unaweza kuona nafasi ziko wapi na jinsi gani unaweza kuisaidia timu."
Madueke??! Hivi umeangalia mpira kweli??kacheza vizuri zaidi second half japo madueke alistahili zaidi navoona..
Haha! Madueke kipindi cha kwanza alivovonga sana...kipindi cha pili ndio alikuwa moto kidogo coz alikuwa anacheza right wing.Madueke??! Hivi umeangalia mpira kweli??
Kama carabao tuu n hadhi yetu sembuse kombe la EuropaHongera kwa chama langu, japo hili kombe sio hadhi yetu.