Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Delap ni Hojlund mwingine tu hakuna teka hapo,,,, ! Mtasingizia tu mmemchukua kwa bei poa ! Bora mngekomaa kwa wale proven Victor ohsimen na Victor Goyk ! !!!!

Huyo ni squad player tu, wakabadilishane na Jackson!!!! Bora hata Victor Boniface wa Liverkusen, au Sesko Benjamin
Tulisema hivi hivi kwa Cole Palmer, hakuwa na uzoefu, from nowhere sasa ni talisman wa Chelsea
Maresca ndie amepush asajiliwe na alikuwa naye Man City kwa hiyo anamfahamu sana
Lengo kuu la kumsajili Liam Delap ni kutengeneza ushindani kwa Jackson ili aondokane na hali yake ya kulala usingizi kwa muda mrefu. Kuleta mchezaji kama Victor Osimhen kunaweza kumfunika kabisa Jackson, na hivyo kuzima nafasi zake kabisa ya kukua.

Zaidi ya hayo, mshahara mkubwa wa Osimhen unaweza kuvuruga dressing room Kikosi kimetulia, na hatuhitaji misukosuko isiyo ya lazima kama ilivyotokea Manchester United.
 
Mtakatifu Anne
Nimekumiss sana sana
Bado nakumbuka ahadi yako ya kutoa chochote Liverpool akibeba ubingwa😀😀✔️
Niliahidi msimu jana
Halafu kombe lenyewe hilo la vichochooroni
Europa kombe gani sasa?
Wanaume wa shoka tumebeba EPL
 
Chelsea wako kwenye mazungumzo na wawakilishi wa Jadon Sancho kuhusu masharti mapya ya mkataba. Maresca anamkubali sana Sancho, na ikiwa atakubali kupunguza mshahara wake mkubwa ili ulingane na muundo wa mshahara wa sasa wa Chelsea, atabaki. Katika hali hiyo, Chelsea itatumia kipengele cha kununua mkopo cha £25m.
1748544713815.png
 
Chelsea wako kwenye mazungumzo na wawakilishi wa Jadon Sancho kuhusu masharti mapya ya mkataba. Maresca anamkubali sana Sancho, na ikiwa atakubali kupunguza mshahara wake mkubwa ili ulingane na muundo wa mshahara wa sasa wa Chelsea, atabaki. Katika hali hiyo, Chelsea itatumia kipengele cha kununua mkopo cha £25m.
View attachment 3349951
Sancho si mchezaji mbaya

pia bora asajili GANACHO ila sio huyo DELAP ni Niko jaskon wa 2
 
Mkuu unasema magoli anayofunga Sancho so easy na wakati ule ndio uwezo wake umekufanya uone ni rahisi sana. Nadhani anayo room ya kuimprove hatutakiwi kumpoteza kabisa
Ninaposema so easy nina maana hatumii nguvu nyingi sana kufunga. Mchezaji anayerahiosiha ufungaji daima ni yule anayejua mpira. Sancho ana akili ya mpira, anachokosa ni kuweka bidii tu. Wachezaji wengi wenye IQ ya mpira wengi wao ni wavivu. Hata Hazard kocha alimlalamikia sana ni mvivu kwenye mazoezi. Juzi juiz hap Obi M ikel naye kakiri kuwa Hazard alikuwa mvivu kwenye mazoezi ila akiwa uwanjani anakuwa ni Hazard tofauti na wa Mazoezi, Mou alishawahi kumsema Hzarda akiwa na MIaka 22 , mwaka wake wa kwanza Chelsea kuwa ni mvivu
 
Ninaposema so easy nina maana hatumii nguvu nyingi sana kufunga. Mchezaji anayerahiosiha ufungaji daima ni yule anayejua mpira. Sancho ana akili ya mpira, anachokosa ni kuweka bidii tu. Wachezaji wengi wenye IQ ya mpira wengi wao ni wavivu. Hata Hazard kocha alimlalamikia sana ni mvivu kwenye mazoezi. Juzi juiz hap Obi M ikel naye kakiri kuwa Hazard alikuwa mvivu kwenye mazoezi ila akiwa uwanjani anakuwa ni Hazard tofauti na wa Mazoezi, Mou alishawahi kumsema Hzarda akiwa na MIaka 22 , mwaka wake wa kwanza Chelsea kuwa ni mvivu
Mkuu Sancho anakua chini ya mikono salama nadhani anayo nafasi ya kujirekebisha na kufanya vizuri.
 
Haya striker la UEFA hilo
 

Attachments

  • Prefer Presley - Is Nicolas Jackson a striker 🤷‍♂️ _Chelsea _ConferenceLeague _nicolasjackson(...mp4
    3 MB
Delap ni Hojlund mwingine tu hakuna teka hapo,,,, ! Mtasingizia tu mmemchukua kwa bei poa ! Bora mngekomaa kwa wale proven Victor ohsimen na Victor Goyk ! !!!!

Huyo ni squad player tu, wakabadilishane na Jackson!!!! Bora hata Victor Boniface wa Liverkusen, au Sesko Benjamin
Kuna huyu mwamba anaitwa Hugo Ekitike, Chelsea inashindana na Liverpool kuwania sign yake..
 
Maresca sio kocha niliwambia hapa since day one anapewa timu, yule ni kilaza sijapata kuona.
Luis Enrique alianzia darajani mazungumzo kusajiliwa kuwa Kocha mpya kabla ya Kocha Maresca akina Todd Bohel walimkataa baada ya kuona misimamo yake kitaaluma na kimasilahi, maajabu hadi sasa bado tu Kocha Maresca hajafukuzwa kibarua zaidi ya kumuongezea.

Timua wadhamini Wakuu wote wa Chelsea SC tuanze na Mwarabu huenda tukawini hata kombe kubwa la kueleweka 2025/2026 tukijaliwa uhai.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.

Ubinadamu
 
Huu mpira wanaocheza PSG kwa dakika 15 za mwanzo, Maresca mpaka anastaafu ukocha hatokaa aweze kuufundisha.
Maresca ni takataka, yaani hatutaachieve chochote na huyo takataka. Kwa walioangalia mpira wa PSG ndio waone chelsea hakuna mpira tunaocheza miback pass na side ways pass. Tutaenda kutia aibu huko UEFA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom