Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 16,025
- 27,365
Hii rotation ya mpaka fainali kocha anajiamini sana.
Mi nalala. Nipo mbali na TV na siwezi kuangalia mpira kwa livescore. Kila la kheri chama langu Chelsea najua tunalo la kuwatambia nyumbu na Arsenyeto hili halitatushindaTumelambwa kimoya
Timu inacheza back pass kma zoteMnaoangalia toeni updates
Tunafungwa na hakuna na huwezi kulichukua mkuuMi nalala. Nipo mbali na TV na siwezi kuangalia mpira kwa livescore. Kila la kheri chama langu Chelsea najua tunalo la kuwatambia nyumbu na Arsenyeto hili halitatushinda
Sawa tu. Muhimu tunacheza UCL msimu ujao, bado tuna CWC mwezi ujaoTunafungwa na hakuna na huwezi kulichukua mkuu
Chelsea keshapigwa chuma 1 kwa bilaa..Mnaoangalia toeni updates
Haha! GUSTO huyoo..bonge ya mechi.. haya mambo ya fullback mmoja kuingia eneo la kati la uwanja wakati wa build up huwa yana risk sana.
Nipo hapaYule jamaa wa wachezaji matakataka aliishia wapi? Aje na summary ya mwisho wa msimu maana ukweli tunamatakataka mengi yakiongozwa na kipara
Tulia wewe..Kenge kabisa