Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hongera kwa chama langu, japo hili kombe sio hadhi yetu.
Ndugu timu iko kwenye ujenzi, vikombe kama hivi ndio zitatupa nguvu ya kushinda makombe makubwa. Mimi nimefurahia sana sio kwa vile ni kombe lenye hadhi ila inawapa kitu cha kujifuvunia na kutamani makubwa zaidi. Next season itaendelea kuwa nzuri kwa Chelsea. Naamini tukisajili wachezaji waliopungua has astriker na CB na LB wa kusaidiana na Cucurella. Chelsea itakuwa hatari ndani na nje ya EPL
 
Bilioni mbili kwenye misimu miwili inakupa conference league na nafasi ya kwenda CL unatishia watu timu yako ni kubwa
 
Guess what?
Kuna kenge hapo London hata kikombe cha mbuzi hana
Palace wa 12 kwenye ligi wamebeba FA Cup
Spurs wa mwisho kwenye ligi wamebeba Europa League
Chelsea na kocha mgeni, wachezaji wachanga wamebeba Conference league
1748477940455.png
 
Bilioni mbili kwenye misimu miwili inakupa conference league na nafasi ya kwenda CL unatishia watu timu yako ni kubwa
Kenge kabisa ninyi nani kakuambia bilioni mbili zimetumika, wachezaji wengi pesa zinalipwa kwa inatsllament na sio ya mara moja. Hadi hiyo bilioni moja ilipwe yote tutakuwa tumebeba hado UCL kabla yenu kenge nyie, hi audacity ya kuja kwenye hili jukwaa umelitoa wapi wewe ngayoni hamjatairiwa
1748478261654.png
 
Kwa maelezo ya Maresca inaonekana kuan uwezekano mkubwa Jadon Sancho akabaki kama mchezaji kamili wa Chelsea msimu uijao.

1748478458769.png
 
Kenge kabisa ninyi nani kakuambia bilioni mbili zimetumika, wachezaji wengi pesa zinalipwa kwa inatsllament na sio ya mara moja. Hadi hiyo bilioni moja ilipwe yote tutakuwa tumebeba hado UCL kabla yenu kenge nyie, hi audacity ya kuja kwenye hili jukwaa umelitoa wapi wewe ngayoni hamjatairiwa
View attachment 3349308
Chura kabisa
Ukichukua simu ya mkopo ya laki moja hata kama hujamaliza bado simu inakua siyo laki moja?

Kiazi kabisa
 
Chura kabisa
Ukichukua simu ya mkopo ya laki moja hata kama hujamaliza bado simu inakua siyo laki moja?

Kiazi kabisa
Chura wewe huna akili hata mahesabu ulifeli darasani wewe
 
Ninachohofia tunaweza tukamsajili Sancho akalizika baada ya kusajiliwa ni mchezaji mzuri Kama akiamua kujituma kila mechi
Kwani kiongozi huyo ni mchezaji wa maana?
Huyo ni average player ila anafaa kwa sub na cup competition so suala la kuangalia ni kama atakubali structure ya timu kuhusu mishahara then 25£ mil sio mbaya kwa soko la sasa
 
Kwani kiongozi huyo ni mchezaji wa maana?
Huyo ni average player ila anafaa kwa sub na cup competition so suala la kuangalia ni kama atakubali structure ya timu kuhusu mishahara then 25£ mil sio mbaya kwa soko la sasa
Kwakua tunaenda kuwa na wachezaji wachanga wengi Sancho atatufaa sana pamoja na hivyo Sancho sio average player
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom