Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,507
- 14,804
Umeangalia mpira au umeangalia matokeo livescore umekuta Chelsea ameshinda 1We unasema kweli? Jana Chelsea kafungwa ngapi? Cjaona game mkuu
Umeangalia mpira au umeangalia matokeo livescore umekuta Chelsea ameshinda 1We unasema kweli? Jana Chelsea kafungwa ngapi? Cjaona game mkuu
Mwisho wenu wakuwanga unaishia chalinze[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sisi wazee wa Kamati ya Roho Mbaya tunaendelea na dua zetu kwa City, Villa na Forest washinde mechi zao zote zilizo salia.
Mburukenge mna fainali 2 zinawangojea dhidi ya Real Betis kwenye conference na N.Forest kwenye Ligi.
Tunawaombea mgongwe kotekote Kenge kabisa nyie.
Nyie hata hampaswi kuongeza msimu mwingine mnatoka kapaKenge kabisa
Sijaangalia mpira kabisaUmeangalia mpira au umeangalia matokeo livescore umekuta Chelsea ameshinda 1
Ndiyo rahaa ya kuwa na wachezaji wazoefu...siyo tahira akina Madueke. Yaani forward anapata nafasi adhimu anashindwa kukitumia wakati huohuo beki anatumia hizo nafasi adhimu.Right back anatoa asist kwa left back mpira huoo kambani...
Kama hakuna upungufu kwenye midfield, Maresca hakuwahi kumchezesha Reece James kwenye Kiungo.Kocha wetu anacomplicate Mambo ndio maana anafeli ni Kama alivyokuwa pochentino kwenye mechi za mwanzonzoni mfumo aliyokuwa anatumia kwenye pre season tofauti na alivyoanza kutumia kwenye ligi mpaka dk za mwishoni ndio akastuka.Hiki kitu ndio anacho Enzo Maresca si umeona hapo Reece James kachezwa RB utakuja kushangaa mwisho ijayo anapigwa benchi au atachezeshwa middle, George ameshaonesha hawezi no 9 but utashangaa atachezeshwa
Sandy Baltimore katupa TREBLE leoSafi sana, wakina mama wametulipia, hao wakina mama wanapga direct football moja ya hatarii nimewacheki for the first tym jana,mpira unavutia kuangalia. sio kama wanaume mpira unazunguuushwaa weeee bila kujua waufanyie nini!!
Kuna muafrika mmoja yaan ana pase kama mwanaume, cjui ni mwanaume yule? Wakina mama wamenipgia season Invicible. Safi sana.
Kulikuwa na umuhimu gani wakumchezesha George kwenye no 9 kwanini asingeanza tu Lavia alafu 9 awe netoKama hakuna upungufu kwenye midfield, Maresca hakuwahi kumchezesha Reece James kwenye Kiungo.
Changamoto iliyopo ni kumanage load balance ya Lavia na Reece James kwa pamoaj na ndio maana wakati Lavia anhitajika kupumzishweqa, James anawekwa katikati and vice verser. Ila kama Enzo na Caicedo wote wanacheza James akingia ni RB. Ila kama mmoaj wa Enzo au caicedo hachezi na Lavia yuko nje, James ndio anawekwa kati. Pia nadhani Maresca alimchezesha zaidi James katikati kumanage Load balance, sijui kama ni kwlei lakini wengine wansema kwenye RB James anatumia nguvu nyingi kwenye misuli zaid akicheza katikati
Huyo dada anaupga mwingi Madueke akasome.Sandy Baltimore katupa TREBLE leo
View attachment 3338278
Hatuna kocha humo, msimu ujao hamalizi december.Kulikuwa na umuhimu gani wakumchezesha George kwenye no 9 kwanini asingeanza tu Lavia alafu 9 awe neto
Sasa si Hana no. 9 mwingine mkuu Jackson anatumikia adhabu ya kadi nyekundu, guiu n nkunku panchaKocha wetu anacomplicate Mambo ndio maana anafeli ni Kama alivyokuwa pochentino kwenye mechi za mwanzonzoni mfumo aliyokuwa anatumia kwenye pre season tofauti na alivyoanza kutumia kwenye ligi mpaka dk za mwishoni ndio akastuka.Hiki kitu ndio anacho Enzo Maresca si umeona hapo Reece James kachezwa RB utakuja kushangaa mwisho ijayo anapigwa benchi au atachezeshwa middle, George ameshaonesha hawezi no 9 but utashangaa atachezeshwa
Neto yupo na ameshacheza no 9 why George?Sasa si Hana no. 9 mwingine mkuu Jackson anatumikia adhabu ya kadi nyekundu, guiu n nkunku pancha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nitafurahi sana endapo Utd wanaoshika nafasi ya 16 wakifanikiwa kwenda Uefa, halafu hizi kenge ziikose top5 msimu ujao zikacheze Europa.Nottingham Forest tuko hapa kula na nyie kenge sahani moja. Lazima Forest tuingie UCL na kuwaachia nyie Chelkenge mcheze Europa.
Walidhan i ingefanya kazi lakini no, kijana hawezi no 9, hapo ni Neto tu anaiwezeaKulikuwa na umuhimu gani wakumchezesha George kwenye no 9 kwanini asingeanza tu Lavia alafu 9 awe neto
Chuki yenu kwa Chelsea ni kwa vile mnajua kuwa tutabeba makombe kabla yenu. Puzi mawe ninyi kila mwaka msimu ujao hadi Yesu arudiNottingham Forest tuko hapa kula na nyie kenge sahani moja. Lazima Forest tuingie UCL na kuwaachia nyie Chelkenge mcheze Europa.