[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkohoti unapata wapi jeuri ya kuiongelea Anbitabo kwa dharau namna hii?
Kina Antony na Real Betis yao wamesha apa kua ni bora wachezaji wote 11 wafie uwanjani lakini sio kukosa Conference Cup.
Mbaya zaidi leo Mancity anamgonga Bournemouth anaenda kukaa nafasi ya 3 halafu nyie Chelkenge mnarudi nafasi ya 5.
Mechi za mwisho sasa Utd kwa makusudi tunamuachia Villa ashinde akae nafasi ya 5 ili vita ya kuwania nafasi ya 6 ibaki kwa Chelsick vs Forest, na uzuri nyie Kenge kwa sasa hamna timu ya kumfunga Forest nyumbani kwake.
Msimamo wa ligi utakua hivi
1: Liverpool 87
2: Arsenal 74
3: City 71
4: Newcastle 69
5: Villa 69
6: Forest 68
7: Chelsick 66
Hivyo Unakosa Conference cup na top 5 pia unaikosa, halafu mtatueleza vizuri humu huyo Enzo Malecela ni kocha au ni mwalimu Singeli.
View attachment 3339636