Juzi tuliwafanya kwa mbele au nyuma au haikuingia vizuri nini?Nyioe wajinga hamna team kabisa
Caicedo na Lavia wamepishana na gari la mshahara
Huko kwenu hawawezi pta EPL milele
Nani sasa anaweza sema hapa kama bado hayaogopi Majogoo ya Anfield>?
Uchaguzi umeisha na SpursJuzi tuliwafanya kwa mbele au nyuma au haikuingia vizuri nini?
Tayari EPL wamepewa nafasi tanoKama tukimaliza nafasi ya tano na spurs akashinda fainali yao je tutakuwa na nafasi ya kucheza uefa au tutanyang'nywa na spurs ambaye kashinda europa lembu
Point no 3 ni muhimu tatizo hakuna kocha tena wa daraja la juu aliyesokoni
Ni kukomaa na kipara tu mpaka kiote nywele pamoja na kutafuta clinical striker
Muwe na Shukrani, timu inaanza kufufuka. Wangalieni Arsenal walijifia hadi Arteta kaja kuwafufuaKweli nyakati zinakimbia sana; dunia imefikia hatua hakuna Kocha wa kueleweka na washambuliaji wa kueleweka nako hakuna kabisa. Kweli tunapitia nyakati zenye mashaka sana sisi wapenzi wa football.
Jezi kali hiyo ushamba wako tuHafu mmetoa matakataka ya jezi mpya hata kuya post hapa mmegoma😁😁
We unasema kweli? Jana Chelsea kafungwa ngapi? Cjaona game mkuuMan anafungwa na timu zote duniani ila akikutana na Chelsea tuh anakua kama real Madrid
Mkuu Unaangalia mpira kwa jicho Moja kama kukuHuyo caicedo hatowafikisha popote tafuteni wachezaji wa kueleweka