Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Safi sana, wakina mama wametulipia, hao wakina mama wanapga direct football moja ya hatarii nimewacheki for the first tym jana,mpira unavutia kuangalia. sio kama wanaume mpira unazunguuushwaa weeee bila kujua waufanyie nini!!

Kuna muafrika mmoja yaan ana pase kama mwanaume, cjui ni mwanaume yule? Wakina mama wamenipgia season Invicible. Safi sana.
 
Kidogo Mimi namaoni tofauti hii ya Caicedo kuanzia Kama RB tungebadilisha badala yake tukaweka James au Gusto na upande wa left wing akacheza Palmer Kati ikawa Kama kawa Lavia na Caicedo mbele ndio Enzo kwanini nasema hivi Newcastle watakuwa wameufanyia kazi ule upande wa Caicedo Kuna possibility hii game ikawa ngumu kwetu ile mbaya
 
Mnateseka sana Wana Chelsea SC wenzangu, mi ndiyo naangalia hapa live score pia sina hata wasiwasi tokana na kuongozwa goli 1 na kadi nyekundu ya Jackson maana Kocha ni mchanga sana kwa mbinu.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 
Kocha ni underdog kabisa, Luis Enrique angetutoa kimasomaso, ila akina Todd Bohel walikurupuka kumtimua Pochettinho kiko wapi sasa?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is work.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom