Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kenge maji katika ubora wao, kwa hali hii Europa msimu ujao haiepukiki.
 
Kipindi cha pili tulicheza sana mpira pindi alipotoka madueke na kuingia james pale katikati tulimiliki kwa kuwa tulikuwa na viungo bora watatu katikati tulikosa mbinu tu ya kuifungua beki ya Newcastle ila coach abadilike awe anawachezesha wote watatu pira lilipigwa pira la maana pira biliani. Utatu huu ni noma sana caicedo, lavia na Enzo
 
Yule striker wenu alibet kuwa atapata nyekundu....ungese gani ule mchezani unafanya
 
Pamoja na madudu yote ajabu bado tuko nafasi ya 5. Kweli wakati mwingine na bahati inachangia
 
Kipindi cha pili tulicheza sana mpira pindi alipotoka madueke na kuingia james pale katikati tulimiliki kwa kuwa tulikuwa na viungo bora watatu katikati tulikosa mbinu tu ya kuifungua beki ya Newcastle ila coach abadilike awe anawachezesha wote watatu pira lilipigwa pira la maana pira biliani. Utatu huu ni noma sana caicedo, lavia na Enzo
Pamoja na kuwa sio shabiki, ila kitendo cha kila mara timu ikifika ,,3/4 inarudi kwa kipa, hapo hamna wafungaji.

Pia karibia kila mechi timu inapoteza kwa tofauti ya goli chache sana ni wazi hakuna wafungaji wa kueleweka
 
Safi sana, wakina mama wametulipia, hao wakina mama wanapga direct football moja ya hatarii nimewacheki for the first tym jana,mpira unavutia kuangalia. sio kama wanaume mpira unazunguuushwaa weeee bila kujua waufanyie nini!!

Kuna muafrika mmoja yaan ana pase kama mwanaume, cjui ni mwanaume yule? Wakina mama wamenipgia season Invicible. Safi sana.
Sandy Baltimore

1746992851221.png
 
Hamna timu hapa bali kikundi cha vijana machokoraa
Timu imecheza vizuri, kipindi cha kwanza ndio ilikuwa mbovu na ujinga alioufanya Nicolas Jackson umetugharimu. Hata hivyo bado kuna suprises nyingi tutarajie kutoka kwa washindani wetu hasa Forest na Aston Villa na hata Newcastle. Mechi inayofuata watacheza na Arsenal ambayo haikufanya vizuri mechi zao tatu mfululizo za ligi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom