Herzogg
JF-Expert Member
- Apr 17, 2024
- 4,576
- 1,398
Bingwa wa dunia ya kwa mpalange labda.Nani kakudanganya😂
Nimefunga DStv kwa ajili ya soka zuri la kimataifa.
Sisi mabingwa wa Dunia.
Hapo kwenye bingwa wa dunia hebu kuwa na heshima kidogo.
Miamba inakutana USA mwezi juni huku City akiwa ndiye bingwa mtetezi (klabu bingwa ya dunia), Loserfools hata kwenda kuwa mnaokota mipira tu kwenye hayo mashindano hamuwezi achilia mbali kushiriki 😂😂😂