Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Sasa ivi unakaa banda umiza na soda yako fanta orange unakunywa taratibu mpka mechi inaisha
Sasa hv hakuna kuangalia mechi getto au kwenye simu, unaenda bandani ukiwa na jezi full mpaka njumu na soksi juu ya magoti ili kila mtu ajue ww n shabiki wa club bingwa la dunia 🔥
 
Kuna yule dogo aliyecheza pale katikati Rak sakyi yupo vizuri sana Ni calmness, anapiga pass nzuri sana na anajua kucontrol game badala ya kumchezesha Enzo kwenye hii michuano kocha amtumie huyu dogo
 
😂

20241213_133237.jpg
 
Mashabiki wa kiume wa Chelsea hatutaki wasichana, sisi tunataka Chelsea yetu tuu.
Mashabiki wa kike wa Chelsea naskia nao hawataki pesa, wanataka Chelsea yao tuu.

Muhimu, hatutaki ubingwa mana bado tunatengeneza team mpaka itakapokaa vzr, tunataka tukae hapo top four.

Tunaungana mkono na Maresca.

 
Sasa hv hakuna kuangalia mechi getto au kwenye simu, unaenda bandani ukiwa na jezi full mpaka njumu na soksi juu ya magoti ili kila mtu ajue ww n shabiki wa club bingwa la dunia 🔥
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Nakubali mwana. Ila nina wasiwasi n wale Brendford wanatuoteaga sana majamaa na uchezaji wao duu
 
Game ya Brentford naona hii ndio itakuwa game yetu ngumu sana kwa sasq kwa aina ya uchezaji wa vijana wa Thomas Frank. Tutahitaj kutumia chance zetu vizuri
Kabisa mkuu ningependekeza pia tuanze na midfielders wetu wote watatu Enzo, Caicedo na Lavia alafu tuue winga mmoja tuwe na Sancho na Palmer katikati Enzo ili Gusto aanze badala ya Caicedo kutumika Kama false full back ili ule upande usiwe kichochoro Kama ilivyokuwa kwa spurs
 
Issue ya defence na goalkeeper ni eneo muhimu sana kwa title contender na hapo ndio tunamapungufu makubwa
Mpira ni mchezo wa makosa lakini huko nyuma tunafanya makosa mepesi sana karibu kila baada ya mechi mbili
Resilience issue bado hatujawa nayo ya kuaminika hatuna uwezo wa kuhimili msako mkali bila kuruhusu goli ambao nayo ni character ya bingwa huwezi dominated game zote kuna mechi unasurvive kwa kuzuia/kutofungwa
Issue ya injury ni common factor kwa timu zote mafano licha ya kuwa na kikosi kipana lakini hakuna mbadala wa palmer na Caseido in term of quality
Mwisho ni gap kubwa na anae ongoza ligi wakati tukiwa kwenye good runs, ukiwa kwenye winning streak kama hizi hutakiwi kuwa nyuma ya mshindani wako kwa zaidi ya point 4
Mimi naamini Sanchez atatugharimu sana .. imagine mechi Ile ya Tottenham tupo 2 nill down then comeback ikaja ...Sasa uwe 2 nill down kwa timu Kama nothingham
 
Brentford kesho inabidi tuingie kininja na mbinu kali za porini , wale wajinga huwa wanakamia game zetu balaa .
Makosa ya beki na kipa kesho inabidi kocha afanyie kazi hili suala ,tukicheza kama tulivyocheza na spurs tutasulubiwa vibaya kesho , Brentford wanakaba na wanacheza mpira wa kasi na pasi ndefu + mbio ,mpira wa kijerumani wanaofundishwa na Thomas Frank no hatari
 
Mashabiki wengi wa Arsenal walisema Maresca atakuwa ameshatimuliwa kazi kabla ya January 2025. Badala yake ndio leo wameanza kampeni ya ARTETA OUT!. Tuwaonee huruma majirani zetu wa London
Mechi yetu ijayo dhidi ya Asengema inabidi tuwape ht point moja mana tutakuwa tumekamilisha malengo yetu ya kuwa top four mana ubingwa sisi hatuutaki.
 
Inavyoonekana huu msimu ni wa Chelsea
Mapundi wote waliokuwa watatusagia sasa wanatupa mchepuo
Timu za EPL nazo zinafanya kila liwezalo kuilazimisha Chelsea kuwa ubingwa
Huku mmashabiki wengi wa Chelsea hawana habari na ubingwa, wao wanamuamini kocha na madai yake kuwa msisitizo ni kuimarisha timu kwa ajili ya misimu ijayo
Sasa hata kama hatupendi, The blues naona tunalazimishiwa ubingwa
 
Hivi nyie mnawajua wale vipara wawili wa Brentford 🤣🤣🤣🤣

Wale kila mech wanaweka

Baadae nitakuwa nachekea chooni🤣🤣🤣🤣

Kenge nyie

Kenge 1 - 3 Brentford
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom