Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hivi nyie mnawajua wale vipara wawili wa Brentford 🤣🤣🤣🤣

Wale kila mech wanaweka

Baadae nitakuwa nachekea chooni🤣🤣🤣🤣

Kenge nyie

Kenge 1 - 3 Brentford
Kwann uchekee chooni? Kwamba wanaume zaidi ya 30 wa timu ya brenford watakuwa wanakupa raha huko chooni mpaka uwe unacheka au?
 
James siwezi msema vibaya amekuwa hapo toka akiwa na miaka 6 pekee, huyo ata kama anakula mshahara wa bure ni sawa kabisa.
Wachezaji ni binadamu. Kwenda Astana na kurudi ni masaa 16 hewani. Bado wachezaji walicheza mechi kwenye nyuzi joto -17°c. Hata kama wanalipwa mshahara sio marobot.

Mkuu Mnyooshe kidole James anayekula mshahara wa bure
 
Hv haiwezekani kucheza 4-3-1-2 afu Nkunku akacheza pamoja na Jackson, yn kwa ufupi hakuna uwezekano wa Nkunku kucheza pamoja na Jackson?

Binafsi namkubali sana Nkunku kuliko Jackson.
 
Madueke ndani!

4-2-3-1

-----------------Jackson------------------

Sancho ---------Palmer------------Madueke

--------Enzo ---------------Caicedo -------

Cucurella--------Colwill-------Tosin----Gusto

-----------------Sanchez-------------------

Bench
1) Filip Jorgensen
2) Axel Disasi
3) Renato Veiga
4) Josh Acheampong
5) Samuel Rak-Sakyi
6) Kiernan Dewsbury-Hall
7) Tyrike George
8) Christopher Nkunku
9) Marc Guiu
 
Madueke ndani!

4-2-3-1

-----------------Jackson------------------

Sancho ---------Palmer------------Madueke

--------Enzo ---------------Caicedo -------

Cucurella--------Colwill-------Tosin----Gusto

-----------------Sanchez-------------------

Bench
1) Filip Jorgensen
2) Axel Disasi
3) Renato Veiga
4) Josh Acheampong
5) Samuel Rak-Sakyi
6) Kiernan Dewsbury-Hall
7) Tyrike George
8) Christopher Nkunku
9) Marc Guiu
Bench ni nkunku tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom