Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Maresca masterclass imeondoa 99% ya kelele chafu kuhusu Chelsea.
Hakuna kelele zaidi kuhusu kufukuzwa kwa Pochettino.
Hakuna kelele zaidi kuhusu Chalobah au Chilwell na kutelekezwa kwao.
Hakuna kelele tena kuhusu ukubwa wa kikosi cha Chelsea.
Hakuna kelele zaidi kuhusu usajili wa billioni 1.
Hakuna kelele zaidi kuhusu kikosi cha vijana na ukosefu wa uzoefu.
Kinyume chake, hivi karibuni au baadaye, mtindo wa kujenga upya wa Chelsea atakuja kuwa mfano wa kuigwa.
Tusubiri tuone
 
Maresca masterclass imeondoa 99% ya kelele chafu kuhusu Chelsea.
Hakuna kelele zaidi kuhusu kufukuzwa kwa Pochettino.
Hakuna kelele zaidi kuhusu Chalobah au Chilwell na kutelekezwa kwao.
Hakuna kelele tena kuhusu ukubwa wa kikosi cha Chelsea.
Hakuna kelele zaidi kuhusu usajili wa billioni 1.
Hakuna kelele zaidi kuhusu kikosi cha vijana na ukosefu wa uzoefu.
Kinyume chake, hivi karibuni au baadaye, mtindo wa kujenga upya wa Chelsea atakuja kuwa mfano wa kuigwa.
Tusubiri tuone
Nikweli kabisa kwasasa pametulia kweli kweli
 
Clean sheet ni rekodi binafsi za kipa.
Msimu uliopita Mechi kibao city alishinda kwa both scores. Alikuwa anafungwa goli 1 au mbili ila yeye alikuwa anababua goli nyingi 4 - 1, 5 -2
Mkuu clean sheet sio tu rekodi binafsi za kipa hata timu pia inafaidika. Msimu uliopita mpaka mechi ya 13 tulikua tumeruhusu magoli 20 huku tukiwa tumefunga magoli 22 na tulikua tunashika nafasi ya 10. Leo hii tuko nafasi ya pili tukiwa tumeruhusu magoli 14 na kufunga magoli 26 nafasi ya 2 tukilingana na Arsenal. Imagine tungekua tumeruhusu magoli mengi yawezekana hata hiyo nafasi tusingekuwepo.

Kwa hiyo ushindi wa Clean Sheet au kama sio clean sheet basi kwa tofauti kubwa ya magoli ni mzuri sana
 
Kwakweli kocha alifanya homework yake vizuri sana. Hata mimi naona bora Enzo acheze juu ya Lavia na Caicedo halafu Palmer acheze kwenye position yake asilia RW. Madueke keshaprove ni sikio la kufa bora awe anatokea bench kuliko kumchezesha Palmer AM ili Noni acheze RW.

Well done coach Enzo.
Team nyingi walikuwa wanamkamia Palmer hii ikafanya supply ya mipira kwenda mbele uwe mdogo na ukizingatia yeye ndio no 10 wetu but kitendo cha kocha kumuongeza Enzo kucheza juu kumefanya opponent wajikite kwa Palmer wamsahau Enzo ndipo hapo Sasa tunatumia mwanya huo kuwaadhibu
 
Wadau leo nimebahatika kukutana ana kwa ana na Mkuu lembu , amenikaribisha nyumbani kwake tumepiga stori nyingi sana za Chelsea na Maisha.

Nimefarijika sana kupitia uzi huu nimeongeza rafiki nje ya ushabiki wa mpira.

Tukiwa hapa jukwaani tuishi kwa upendo na furaha na kuheshimu mawazo ya mtu, tuburudike na mwisho wa siku tuongeze marafiki kupitia jukwaa hili.

Ahsante sana Mr. Lembu.
Kwa hiyo umekula na ubwabwa bila kutukaribisha Wana blues wenzako ,?
 
Wadau leo nimebahatika kukutana ana kwa ana na Mkuu lembu , amenikaribisha nyumbani kwake tumepiga stori nyingi sana za Chelsea na Maisha.

Nimefarijika sana kupitia uzi huu nimeongeza rafiki nje ya ushabiki wa mpira.

Tukiwa hapa jukwaani tuishi kwa upendo na furaha na kuheshimu mawazo ya mtu, tuburudike na mwisho wa siku tuongeze marafiki kupitia jukwaa hili.

Ahsante sana Mr. Lembu.
Jambo jema
 
Wadau leo nimebahatika kukutana ana kwa ana na Mkuu lembu , amenikaribisha nyumbani kwake tumepiga stori nyingi sana za Chelsea na Maisha.

Nimefarijika sana kupitia uzi huu nimeongeza rafiki nje ya ushabiki wa mpira.

Tukiwa hapa jukwaani tuishi kwa upendo na furaha na kuheshimu mawazo ya mtu, tuburudike na mwisho wa siku tuongeze marafiki kupitia jukwaa hili.

Ahsante sana Mr. Lembu.
Jambo jema sana kujuana kihalisi kuliko kujuana nyuma ya keyboard tu. Ndio faid aya ushabiki, unapata familia zaidi ya ile ya damu. Cash Money ni kijana mdogo ila mwenye hekima sana kuliko hata wengi wetu huku. Uishi milele mkuu
 
Wadau leo nimebahatika kukutana ana kwa ana na Mkuu lembu , amenikaribisha nyumbani kwake tumepiga stori nyingi sana za Chelsea na Maisha.

Nimefarijika sana kupitia uzi huu nimeongeza rafiki nje ya ushabiki wa mpira.

Tukiwa hapa jukwaani tuishi kwa upendo na furaha na kuheshimu mawazo ya mtu, tuburudike na mwisho wa siku tuongeze marafiki kupitia jukwaa hili.

Ahsante sana
Safi sana mkuu naona umetekeleza kama ule uzi maarufu wa jf...umeenda kwa bwana lembu na kula kimasihara( lkn ni msosi) safi sana huo ndo undugu😂
 
Wadau leo nimebahatika kukutana ana kwa ana na Mkuu lembu , amenikaribisha nyumbani kwake tumepiga stori nyingi sana za Chelsea na Maisha.

Nimefarijika sana kupitia uzi huu nimeongeza rafiki nje ya ushabiki wa mpira.

Tukiwa hapa jukwaani tuishi kwa upendo na furaha na kuheshimu mawazo ya mtu, tuburudike na mwisho wa siku tuongeze marafiki kupitia jukwaa hili.

Ahsante sana Mr. Lembu.
Wakuu mnaalikana wenyewe hamtaki kutualika na sisi sio vizuri.

Wakuu hongereni sana kama tunakutana jukwaani na mnaweza ongeza marafiki nje ya jukwaa ni jambo jema na kheri pia. Hii iwe mwanzo na wengine pia mtuletee ushahidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom