Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Marc Cucurella amekomaa kuwa Fullback kamili sasa. Sasa anaweza kukaba, kunyang'anya mipira, kushinda mipira ya juu na chini, sio tu kupiga pasi za nyuma na za pembeni tu kama ilivyokuwa msimu uliopita lakini pia anaweza sasa kupiga pasi za kuvunja mstari wa wachezaji na kuwachezesha wengine kwa kwa pasi nzuri fupi fupi.
View attachment 3166694
Top 3 outstanding performance on this season until now
1.Caicedo
2.Cucurella
3.Palmer
 
Nico Jackson nae ameimprove sana ufanisi wakuliona nyavu umeongezeka sio Kama mwanzo alikuwa kwenye chance 4 goal 1 overall pongezi kwa management kuwa jicho zuri la kuona kocha mzuri Kama Enzo maresca anairudisha Chelsea inapopaswa kuwa msimu ujao tutaanza kugombania ubingwa
 

Attachments

  • 20241201_214759.jpg
    20241201_214759.jpg
    66.3 KB · Views: 12
Ngoja tuendelee kuiombea timu isipate majeruhi katika kipindi hiki
 
Mimi shabiki wa

Cucurela ni mtu na nusu .nimeona Leo right fullback ni cancedo...lakini wakati wa kushambulia anaingia katikati....kusaidia lavia na Enzo...fofana injury but sijui itakuwa mda gani
Hamstring ni 4-5 weeks kwa hiyo Fofana ni mpaka January 25
 
Top 3 outstanding performance on this season until now
1.Caicedo
2.Cucurella
3.Palmer
Wachezaji wengi wa Chelsea wameimarika na wanaonyesha consistency kitu ambacho ndio tumaini letu kuwa timu inarudi tena kwenye UCL
 
wale wa kuita watu matakataka siku iz wako wap sijui
Kuna wachezaji matakataka, na kocha pia sometym ni takataka kwa kuchagua wachezaji wa hovyo. Line up ya leo ndio inatakiwa ianze kila game zinazofuata. Utashangaa kocha alivyo mwehu atamrudsha Madueke.
 
Nico Jackson nae ameimprove sana ufanisi wakuliona nyavu umeongezeka sio Kama mwanzo alikuwa kwenye chance 4 goal 1 overall pongezi kwa management kuwa jicho zuri la kuona kocha mzuri Kama Enzo maresca anairudisha Chelsea inapopaswa kuwa msimu ujao tutaanza kugombania ubingwa
Hadi sasa Jackson hayuko kwenye hata 10 bora ya big chances misses, msimu uliopita alikuwa wa tatu baada ya Haaland na Watkin.
1733082058271.png
 
Nico Jackson nae ameimprove sana ufanisi wakuliona nyavu umeongezeka sio Kama mwanzo alikuwa kwenye chance 4 goal 1 overall pongezi kwa management kuwa jicho zuri la kuona kocha mzuri Kama Enzo maresca anairudisha Chelsea inapopaswa kuwa msimu ujao tutaanza kugombania ubingwa
Sahihi na msimu huu tukomae na lile la FA.... kombe la conference league hilo ni letu 90%
 
Kuna wachezaji matakataka, na kocha pia sometym ni takataka kwa kuchagua wachezaji wa hovyo. Line up ya leo ndio inatakiwa ianze kila game zinazofuata. Utashangaa kocha alivyo mwehu atamrudsha Madueke.
Lineup ya leo haiwezi ikaanza kila game maana kila game inaaproach yake lakini pia Kuna fixture ipo tight sana kwa huu mwezi so Mazima kutakuwa na mabadiliko ya kikosi
 
Kuna wachezaji matakataka, na kocha pia sometym ni takataka kwa kuchagua wachezaji wa hovyo. Line up ya leo ndio inatakiwa ianze kila game zinazofuata. Utashangaa kocha alivyo mwehu atamrudsha Madueke.
Ni kweli but...gusto aanze kulia..timu yenye Kasi watatumia vema upande wa right back yetu....Jana nimeona ole Watkins akitumia upande ule almanusura apige goli....sema tu hakuwa kwenye ubora wake jana
 
Jana Maresca kumuanzisha Madueke benchi kumeprove Kocha anajua anafanya nini. Hope huko mbele tutaona wakina Nkunku, Jao nao wataanza kikosini kulingana na nguvu ya mpinzani.
Kocha amesema atafanya mabadiliko kwa sababu ya ratiba ya epl kubana inatulazimu tuwe tunacheza kila baada ya mechi 2 na akaongeza akamtolea mfano Nkuku Kuna game itamlazimu aanze ili kutunza energy ya team
 
Lineup ya leo haiwezi ikaanza kila game maana kila game inaaproach yake lakini pia Kuna fixture ipo tight sana kwa huu mwezi so Mazima kutakuwa na mabadiliko ya kikosi
Ila Madueke akipigwa benchi akili inarudi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom