Huyu Olachuga hata kwenye jukwaaa kapotea sanaKuna jamaa mwingine anakaa Unga Ltd anaitwa Olachuga embu mcheki na yeye.
Huyu Olachuga hata kwenye jukwaaa kapotea sanaKuna jamaa mwingine anakaa Unga Ltd anaitwa Olachuga embu mcheki na yeye.
Naomba kujua group ya Chelsea kwenye droo ya Club bingwa ya Dunia
Na kweli...si lelemama .. London derby hiyoSpurs anawabia points matajiri anaenda kuwagawia maskini.
Hivi huku wanaqualifie vipi kuingia.Kwenye FIFA Club World Cup 2025 Tumepangwa Group D na
1) Flamengo (Brazil)
2) Esperance (Tunisia)
3) Club Leon (Mexico)
4) Chelsea FC (England)
View attachment 3170009
Hii ngumu kumeza mkuu.Jumapili tuko na viwete walioweza kumtumbua City goli 4 nunge
Madueke naona hat trick ya pili
Naona pia Jackson, Palmer na Nkunku akiingia na kufunga goli
Natabiri Chelsea 6-2
Kwakweli Mungu atusamehe ,mimi mwenyewe sikuwa na matarajio na huyu dogo kabisa ,ile mechi ya kwanza ndio nikaona huyu dogo ana kitu kikubwa nikabadilisha mawazo yanguUsajili wa Cole Palmer watangazwa na Fabrizio Romano tarehe 30 Agosti 2023
View attachment 3172132
Angalia kilichofuata, mashabiki wanatapika nyongo ile mbaya
View attachment 3172133
View attachment 3172134
View attachment 3172135
View attachment 3172136
View attachment 3172137
View attachment 3172138
View attachment 3172139
View attachment 3172140
Na maoni mengi mmbaya zaidi kutoka kwa mashabi wa Arsenal na Man United
Wakidiriki hata kumlinganisha Palmer na HAvertz na Mount
Sasa wamekaa kimya
Halafu miezi michache baadaye haya yakatokea
View attachment 3172143
Kwa huu mziki wa Chelsea sio rahisi spurs game za nyumbani zinamsumbua sanaMtapigwa na Spurs,,,,Save hiii comment !
Watakaza, Ange anakalia kuti kavu,,,kazi imekua ya moto sana,,,, Mr chairman Levy haelewiKwa huu mziki wa Chelsea sio rahisi spurs game za nyumbani zinamsumbua sana
Watakaza, Ange anakalia kuti kavu,,,kazi imekua ya moto sana,,,, Mr chairman Levy
Nyie ndo maana mkaitwa kenge 😂Arsenal (Title contender) wamepoteza points huko Fulam
Let go Chelsea,
Leo 6-2 inapendeza zaidi
mkuu umebashiri vizuri mbili za Spurs tayari ngoja tuone izo 6 zenu.Jumapili tuko na viwete walioweza kumtumbua City goli 4 nunge
Madueke naona hat trick ya pili
Naona pia Jackson, Palmer na Nkunku akiingia na kufunga goli
Natabiri Chelsea 6-2