Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Screenshot_20241204-212306_Sofascore.jpg
Kikosi kinachoanza leo
 
Southampton VS Chelsea

Mabadiliko saba kutoka kwenye mechi ya Villa

--------------Nkunku------------

Felix --------Palmer----------Madueke

------Enzo -----------Caicedo-------

Cucurella----Tosin ----Disasi ----Gusto

-----------Jorgensen ----------------

Bench

1) Sanchez
2) Colwill
3) Badiashile
4) Veiga
5) Lavia
6) KDH
7) Sancho
8) Neto
9) Jackson

Tunafunga ngapi leo
Mimi ni 4-1
 
Sawa Southampton ni wachovu ila kwa kikosi hiki naona defensively tutapata changamoto
Tena kubwa
Uzima wetu leo upo kwenye midfield jinsi gani watakavyoweza kuwadhibiti Soton. M pira hauruhusiwi kwenda kiholela kwa mabeki, wengi ni hewa
Tosin ni mzito, Disasi ni mzito nina imani na mafullback tu
 
Chelsea hii ya mabadiliko saba inacheza hovyo sana hadi kocha akawaita Enzo, Cucurella, Felix na Palmer kuwapa maagizo
 
Nkuku bonge la player ila kocha sasa dah kama anambania
Sio anambania Ni kwasababu tuna Jackson Ni kweli Nkuku Ni finisher mzuri kuliko Jackson but Jackson anakupa vitu vingi uwanjani kuliko Nkuku Ana kasi, Ni press machine, anajua kuhold mpira, yupo vizuri kwenye link up play kiasi anawafanya mpaka wenzake wawe Bora.
 
Naomba kujua group ya Chelsea kwenye droo ya Club bingwa ya Dunia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom