Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sijui kwanini mashabiki wengi wana mbeza madueke, huyu kijana ni bonge la mchezaji hizo nafasi anazo tengeneza wachache ndo wanaziweza, huyu na saka tofauti ni uzoefu akikaa misimu mi wili epl atakua mzuri kuliko saka Madueke anakupa vitu vingi uwajani.

1. Anaweza kupenye kwenye box ya 16 haraka
2. 1v1 madueke ni muzuri anaweke defenders wa timu kinzani kwenye panic mood au tension.
3. Madueke anarudi nyuma kukaba haraka na matokeo yanaonekana.
4. Counter attack ni mzuri anakasi nzuri sanaa
5. Madueke anatoa pass za cross wakati mgine ambazo huleta kona za haraka.
Joa ferex, sacho, modriki hawawezi kukupa hayo yote.

Kwahi kocha iko sahihi kumpanga madueke kuliko hao wengine.......kama alivo kua sahihi kumpanga Jackson kuliko Nkunku Jackson amekua bonge la striker Nkunku hawezi kujiposition hana mbio mipira ya juu inampa shida sana passing yake haiko accurate 100% bado Jackson ni mzuri tu.

Enzo udhaifu wa kuzuia umemfanya awe sio bora kwa Coicedo au Lavia tatatizo la chelsea sio kufunga ni kufungwa kwasbabu kufunga kila mtu anaweza kwa mfumo wa kacha wa sasa Enzo ni mzito kurudi nyuma af tena yeyebanachexea kati kati ya uwanja ambao ndo fasi nzuri concedo ku fistribute mpira pasi za Enzo hazifiki pembeni ya wachezaji winger huo ni udhaifu mgine.
 
Hao ni wototo wa Facebook wamevamia jukwaa. We uliona wapi comments za mwanaume zimejaa viemoji vya kujichekeshachekesha
Jibu hoja acha ushambenga,,, ! Unadhani nalingana na wewe ? Ama mpira nimeanza kufatilia jana ?
 
Sijui kwanini mashabiki wengi wana mbeza madueke, huyu kijana ni bonge la mchezaji hizo nafasi anazo tengeneza wachache ndo wanaziweza, huyu na saka tofauti ni uzoefu akikaa misimu mi wili epl atakua mzuri kuliko saka Madueke anakupa vitu vingi uwajani.

1. Anaweza kupenye kwenye box ya 16 haraka
2. 1v1 madueke ni muzuri anaweke defenders wa timu kinzani kwenye panic mood au tension.
3. Madueke anarudi nyuma kukaba haraka na matokeo yanaonekana.
4. Counter attack ni mzuri anakasi nzuri sanaa
5. Madueke anatoa pass za cross wakati mgine ambazo huleta kona za haraka.
Joa ferex, sacho, modriki hawawezi kukupa hayo yote.

Kwahi kocha iko sahihi kumpanga madueke kuliko hao wengine.......kama alivo kua sahihi kumpanga Jackson kuliko Nkunku Jackson amekua bonge la striker Nkunku hawezi kujiposition hana mbio mipira ya juu inampa shida sana passing yake haiko accurate 100% bado Jackson ni mzuri tu.

Enzo udhaifu wa kuzuia umemfanya awe sio bora kwa Coicedo au Lavia tatatizo la chelsea sio kufunga ni kufungwa kwasbabu kufunga kila mtu anaweza kwa mfumo wa kacha wa sasa Enzo ni mzito kurudi nyuma af tena yeyebanachexea kati kati ya uwanja ambao ndo fasi nzuri concedo ku fistribute mpira pasi za Enzo hazifiki pembeni ya wachezaji winger huo ni udhaifu mgine.
Unatania naona
 
Sijui kwanini mashabiki wengi wana mbeza madueke, huyu kijana ni bonge la mchezaji hizo nafasi anazo tengeneza wachache ndo wanaziweza, huyu na saka tofauti ni uzoefu akikaa misimu mi wili epl atakua mzuri kuliko saka Madueke anakupa vitu vingi uwajani.

1. Anaweza kupenye kwenye box ya 16 haraka
2. 1v1 madueke ni muzuri anaweke defenders wa timu kinzani kwenye panic mood au tension.
3. Madueke anarudi nyuma kukaba haraka na matokeo yanaonekana.
4. Counter attack ni mzuri anakasi nzuri sanaa
5. Madueke anatoa pass za cross wakati mgine ambazo huleta kona za haraka.
Joa ferex, sacho, modriki hawawezi kukupa hayo yote.

Kwahi kocha iko sahihi kumpanga madueke kuliko hao wengine.......kama alivo kua sahihi kumpanga Jackson kuliko Nkunku Jackson amekua bonge la striker Nkunku hawezi kujiposition hana mbio mipira ya juu inampa shida sana passing yake haiko accurate 100% bado Jackson ni mzuri tu.

Enzo udhaifu wa kuzuia umemfanya awe sio bora kwa Coicedo au Lavia tatatizo la chelsea sio kufunga ni kufungwa kwasbabu kufunga kila mtu anaweza kwa mfumo wa kacha wa sasa Enzo ni mzito kurudi nyuma af tena yeyebanachexea kati kati ya uwanja ambao ndo fasi nzuri concedo ku fistribute mpira pasi za Enzo hazifiki pembeni ya wachezaji winger huo ni udhaifu mgine.
Hangover hizi, kwa hiyo saka kwako ni bonge la mchezaji?!
 
Hangover hizi, kwa hiyo saka kwako ni bonge la mchezaji?!
Jibu hoja zangu kwa maelezo sio kuniuliza suali kama sio mchezaji leta analysis ya madhaifu yake kwa kulinganisha na mchezaji mgine hili sio jukwa la Yanga na simba la mihemuko tu na hisia bila kutumia akili.
 
Nadhan Priority ya msim ujao tufanye tufanyavyo Tutafute kipa anaeweza amua mechi anaeweza dhibit wapinzani wasirudi mchezoni

Sanchez ni liability haijalishi tunaongoza ngapi ila Akiendelea kuwepo golini ataendelea kutuweka roho juu
Uko sahihi sana sachezi sio wakutegemea sana anapoteza umakini wakati wowote, hata ile peneti isinge fungwa angekua makini zaidi.
 
Nikasema ENZO + PALMER angetakiwa awe mchezaji mmoja nitakosea?

NIkasema CESC FABRIGAS = ENZO + PALMER nakosea?

Mi nachokiona THE BLUES tuna viungo na washambuliaji wengi wenye sifa au uwezo pungufu hatuna complete players waliobeba sifa mbalimbali.

PALMER angetakiwa awe ndani ya ENZO au ENZO angetakiwa awe ndani ya PALMER.

Apatikane mchezaji aina ya FABRIGAS wenye uwezo wa kutengeneza nafasi nyingi na kufunga magoli mengi. Mchezaji wenye uwezo wa kubeba sifa zaidi ya wachezaji wawili.

Kwangu NETO na CAICEDO kwa sasa naweza sema ndio wachezaji waliokamilika. Hawaitaji wachezaji 2 kumbeba Neto au Caicedo mmoja.
Palmer ni complete player ni vile tu team pinzani zinamkamia hata Jana alicheza vizuri na goal lake alibaniwa na Madueke but overall kacheza vizuri
 
Nadhan Priority ya msim ujao tufanye tufanyavyo Tutafute kipa anaeweza amua mechi anaeweza dhibit wapinzani wasirudi mchezoni

Sanchez ni liability haijalishi tunaongoza ngapi ila Akiendelea kuwepo golini ataendelea kutuweka roho juu
Kocha asipozinduka huyu kipa atamuharibia kazi
 
Sijui kwanini mashabiki wengi wana mbeza madueke, huyu kijana ni bonge la mchezaji hizo nafasi anazo tengeneza wachache ndo wanaziweza, huyu na saka tofauti ni uzoefu akikaa misimu mi wili epl atakua mzuri kuliko saka Madueke anakupa vitu vingi uwajani.

1. Anaweza kupenye kwenye box ya 16 haraka
2. 1v1 madueke ni muzuri anaweke defenders wa timu kinzani kwenye panic mood au tension.
3. Madueke anarudi nyuma kukaba haraka na matokeo yanaonekana.
4. Counter attack ni mzuri anakasi nzuri sanaa
5. Madueke anatoa pass za cross wakati mgine ambazo huleta kona za haraka.
Joa ferex, sacho, modriki hawawezi kukupa hayo yote.

Kwahi kocha iko sahihi kumpanga madueke kuliko hao wengine.......kama alivo kua sahihi kumpanga Jackson kuliko Nkunku Jackson amekua bonge la striker Nkunku hawezi kujiposition hana mbio mipira ya juu inampa shida sana passing yake haiko accurate 100% bado Jackson ni mzuri tu.

Enzo udhaifu wa kuzuia umemfanya awe sio bora kwa Coicedo au Lavia tatatizo la chelsea sio kufunga ni kufungwa kwasbabu kufunga kila mtu anaweza kwa mfumo wa kacha wa sasa Enzo ni mzito kurudi nyuma af tena yeyebanachexea kati kati ya uwanja ambao ndo fasi nzuri concedo ku fistribute mpira pasi za Enzo hazifiki pembeni ya wachezaji winger huo ni udhaifu mgine.
Umemchambua Noni Madueke vizuri sana. Hata mimi nina mawazo kama hayo.

Madueke tatizo lake ni moja tu, ana udhaifu kwenye maamuzi ya haraka na ya mwisho na ndio maana juhudi zake nyingi hazizai matunda tegemewa.
'
Ukiacha hiyo, Madueke baada ya Enzo na Palmer, yeye ndie anafuataia kwa kutengeneza nafasi. Influience yake kwenye final third ni kubwa kuliko mawinga tulionao.

Sisemi kuwa Madueke ni bora kuliko Sacho au Neto au Mudryk. Ninachosema Madueke ana aina ya uchezaji ambao ni rare kwenye profile ya mawinga wengi wa EPL na ndio maana Maresca anampenda zaidi hata baada ya kumuudhi mechi iliyopita bado anampanga dhidi ya Neto, Sacho na wengine.

Madueke anaimprove sana na hata kama tukimuuza hatutapata hasara
 
Nadhan Priority ya msim ujao tufanye tufanyavyo Tutafute kipa anaeweza amua mechi anaeweza dhibit wapinzani wasirudi mchezoni

Sanchez ni liability haijalishi tunaongoza ngapi ila Akiendelea kuwepo golini ataendelea kutuweka roho juu
Tutahitaji pia defender anayejua kuthibiti eneo la penalti kama alivyokuwa Silva. Chelsea ipo kwenye orodha ya timu zinazofukuzia saini ya Jonathan Tah wa Leverkusen. Msimu ujao wa kiangazi atakuwa free agent na tukimpata huyo anaweza kutufaa sana.. Barcelona na Real Madrid pia wanamtaka.

1732458222586.png
 
Tutahitaji pia defender anayejua kuthibiti eneo la penalti kama alivyokuwa Silva. Chelsea ipo kwenye orodha ya timu zinazofukuzia saini ya Jonathan Tah wa Leverkusen. Msimu ujao wa kiangazi atakuwa free agent na tukimpata huyo anaweza kutufaa sana.. Barcelona na Real Madrid pia wanamtaka.

View attachment 3160465
Sasa umri wake uko je?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom