Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Felix mchezaji anadeka kama last born dakika ya 60 upepo umeshakata kama sio professional player kuna watu humu wanampigia chapuo aanze kwenye EPL maybe kukiwa na majeruhi
Kichwa cha Madueke always kinakinzana na maamuzi sahihi end product always ni poor
Leo Badiashile kacheza vizuri ila sio wa kumuamini
All in all tumecheza kimayaimayai sijui ni fatigue ya International game
 
Felix mchezaji anadeka kama last born dakika ya 60 upepo umeshakata kama sio professional player kuna watu humu wanampigia chapuo aanze kwenye EPL maybe kukiwa na majeruhi
Kichwa cha Madueke always kinakinzana na maamuzi sahihi end product always ni poor
Leo Badiashile kacheza vizuri ila sio wa kumuamini
All in all tumecheza kimayaimayai sijui ni fatigue ya International game
Leo kaacha kudeka, ni mmoja wa wachezaji waliocheza vizuri sana
 
Felix mchezaji anadeka kama last born dakika ya 60 upepo umeshakata kama sio professional player kuna watu humu wanampigia chapuo aanze kwenye EPL maybe kukiwa na majeruhi
Kichwa cha Madueke always kinakinzana na maamuzi sahihi end product always ni poor
Leo Badiashile kacheza vizuri ila sio wa kumuamini
All in all tumecheza kimayaimayai sijui ni fatigue ya International game
Bado Chelsea tuna shida na gapu kubwa kwenye midfield wakati tunapoteza mpira. Pia mabeki wetu na DM hawana uzoefu wa kuzuia mashambulizi ya kushtukiza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom