Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Achana na huyo kama tunataka beki kisiki twende pale Napoli tumchukue Alessandro Buongiorno, huyo ni kisiki. Ikishindikana huyo nendeni pale Inter Milan chukueni mchezaji anaitwa Alessandro Bastoni huyu nae yuko njema sana. Haya wachezaji wengine hao nawambieni, kazi kwenu.
Tutahitaji pia defender anayejua kuthibiti eneo la penalti kama alivyokuwa Silva. Chelsea ipo kwenye orodha ya timu zinazofukuzia saini ya Jonathan Tah wa Leverkusen. Msimu ujao wa kiangazi atakuwa free agent na tukimpata huyo anaweza kutufaa sana.. Barcelona na Real Madrid pia wanamtaka.

View attachment 3160465
 
Achana na huyo kama tunataka beki kisiki twende pale Napoli tumchukue Alessandro Buongiorno, huyo ni kisiki. Ikishindikana huyo nendeni pale Inter Milan chukueni mchezaji anaitwa Alessandro Bastoni huyu nae yuko njema sana. Haya wachezaji wengine hao nawambieni, kazi kwenu.
Bastoni hacheki Kati Sisi tunahitaji beki atakayecheza Kati pale ndipo penye shida
 
Achana na huyo kama tunataka beki kisiki twende pale Napoli tumchukue Alessandro Buongiorno, huyo ni kisiki. Ikishindikana huyo nendeni pale Inter Milan chukueni mchezaji anaitwa Alessandro Bastoni huyu nae yuko njema sana. Haya wachezaji wengine hao nawambieni, kazi kwenu.
Tah anakuwa free agent na Barselona wako stage ya juu katika kumsajili wakati wa kiangazi
Bastoni na huyo wa Napoli hawako huru na watapigwa bei hadi ugeuke na kwa manun uzi iliyofanya Chelsea misimu ya nyuma sidhani kama watahitaji kutumia sana msimu huu
 
Hiyo point wanasema Madueke anafanya kazi kubwa kwenye kukaba mi naona ni kijinga, kazi kubwa ya msingi ya winga ni kutengeneza nafasi za kufunga, kuassist na kufunga mabao.

Labda useme Madueke anapangwa japo sio kwa umuhimu kwasababu Mudyk ana mawenge na Sancho mgonjwa mgonjwa.

Madueke aendelee kumshikia NETO nafasi yake.
Kwa soka la sasa na kwa style ya Marseca, winga wanatakiwa wawe kama wing-backs. Waweze kushambilia na pia waweze kukaba kwenye kiungo na pembeni kama anavyofanya Cucurella
Sababu kuu wakati wa kushambiliwa mafulback wote wanarudi kuwa kama CB na hivyo maeneo ya pemnbeni kuachiwa mawinga wakabe
 
Chelsea wanafikiria kumuuza Reece James, na wanaweza kumwachilia kwa chini ya pauni milioni 20 pamoja na addons ambazo zitajilimbikiza katika gharama za kihalisia, kulingana na kiasi cha muda anachocheza. Hivi ndivyo Real Madrid wanavyotaka na waje tu.
1732762946703.png
 
Kama ni kweli haya ni matusi ya wazi kabisa

Van Dijk:
"Nilipohisi kuboreka mchezoni nilimpasia Mbappe mpira na kuuchukua tena bila shida."

1732775070722.png
 
Chelsea wanafikiria kumuuza Reece James, na wanaweza kumwachilia kwa chini ya pauni milioni 20 pamoja na addons ambazo zitajilimbikiza katika gharama za kihalisia, kulingana na kiasi cha muda anachocheza. Hivi ndivyo Real Madrid wanavyotaka na waje tu.
View attachment 3163745

Once upone a time huyu alifanyiwa hype ya kuwa eti ndiye Beki 2 bora pale England zaidi ya hata TAA
 
Wakuu hamjambo nimeona niwapasie habari mpasuko.

JUST IN: Reece James is NOT expected to play again before the end of December!

Muwe na jioni njema.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom