Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Felix mchezaji anadeka kama last born dakika ya 60 upepo umeshakata kama sio professional player kuna watu humu wanampigia chapuo aanze kwenye EPL maybe kukiwa na majeruhi
Kichwa cha Madueke always kinakinzana na maamuzi sahihi end product always ni poor
Leo Badiashile kacheza vizuri ila sio wa kumuamini
All in all tumecheza kimayaimayai sijui ni fatigue ya International game
Madueke afai kuwa Chelsea ni vile kocha anampenda ni jinga sana
 
Kwa maoni yangu, Enzo Fernandez hawezi kuachwa kwenye lineup ya Chelsea. Ukitazama upya michezo tuliyocheza na Enzo uwanjani, ushambuliaji wetu ulikuwa mkali sana, na Enzo ndiye aliyekuwa mwanzilishi wa karibu buildups zote uwanjani. Bila kujali udhaifu wake katika kukukaba, nashauri sana acheze mechi zote, ndogo na kubwa.
1732420703788.png
 
Madueke afai kuwa Chelsea ni vile kocha anampenda ni jinga sana
Mimi ninachomshauri kocha afanye rotation kwa wachezaji wote wazuri. Sioni kwa nini Madueke yeye tu ndie aanze wakati mchezaji kama Sancho, Neto, Felix, Nkunku na hata Mudryk kwa sasa ni wazuri??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom