Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mechi tano zinazofuata za PL Chelsea:

  • Leicester City (A)
  • Aston Villa (H)
  • Southampton (A)
  • Tottenham (A)
  • Brentford (H)

Tunapata pointi ngapi kutoka kwa hizo mechi❓
 
Kumbukeni kuwa msimu ujao tutakuwa na Estevao Willian, king'ang'anizi na clinical kwenye kufunmga na kutoa assists.

1731311455420.png
 
Napenda ulivyochambua
CFC tunaenda vizuri sana
Tumepoteza mechi 2 tu kwa timu zinazoongoza ligi
Arsenal ni title contender na wana wachezaji wazoefu kuliko sisi
Viraka tulizobakiza ni chache sana za kwenye defense na striker
Msimu wa 2025/26 tutatafutana sana, Man city ndio hiyo inajifia, Liverpool size yetu na Arsenal nguvu ya soda zitakuwa zimeisha. Sasa Chelsea inarudi kwenye enzi yake
Mimi sina shida na Maresca pamoja na Squad, wasiwasi wangu tu ni jinsi Maresca anavyomtreat Nkunku, mchezjai wa calibre ile unampa dk 10 tu huku Palmerjana hakuwa vizuri, Jackson kamezwa. Angefanya sub dk ya 50 waingie Nkunku na Felix
Ukiangalia techinically hata zili mechi za liverpool ingekua draw, ya Man u Enzo angemalizia vizuri tunge chukua win ule mpira jackson alio mfanyia baada ya kusawazisha angeufunga tungekua 2-1, mechi ya Mancity pia ingekua draw tulicheza vizuri sanaa, tuli wa-contain tulishindwa kutumia nafasi mbili muhimu, kwasbb ya uchanga wa wachezaji wetu, in short ubora wa chelsea unarudi hivi karibuni.

so far so good hi timu itafanya surprise kila mtu atashangaa hata kocha alisha sema kwamba favourable wa kuchukua epl ni Mancity au Arsenal kwa sabb wamekaa na wachezaji zaidi ya misimo miwili wame wajua zaidi, sembuse sis ambao tuna piga piga viraka na watoto wa umri 21 hadi 25.

Kwa hayo matokeo sina la kusema kuhusu huyu kocha. amebalance timu nyuma na mbele bora tufunge goli moja ila tupate clean sheet kuliko tufunge 5 wa turudishie 4, hiyo inapoteza morole ya wachezaji.

kinacho mfanya jackson kua favourite kwa kunku ni kurudi nyuma kudefende, kujua ku-jiposition, overlapping erial balls na ssist, Ezo ni mzuri katika kufanya pass muhimu ila ni mzito kurudi nyuma kudefend atacheza kwenye timu ndogo zisio fanya counter attacks madueke anamsaidia sanaa Gusto kule nyuma na ana kasi kuliko sacho, najua Gusto na kiraka cha James lazima alindwe asipate majaraha mapema, kocha anapambana kwaza na kubalance team iwe na defence nzuri, suala la kifunga alisha limaliza sasa kufungwa ndo issue.
 
Wengi ambao mulikua amfuatilie uchezaji wa CFC misimu mitatu nyuma mna haki ya kumbeza kocha wetu, kwasbabu hamjui hi timu hapo imefika je, kutoa draw na arsenal wakati ni title contender na iko kwenye ubora wake wa juu hayo ni matokeo mazuri sanaa kwa CFC.

Sasa hivi nime anza kuamini tunaweza hata kuchukua EPL msimu hu, possiblilities zetu zimepanda kutoka 20% wakati msimu unaanza na kwa 45% baada ya mechi 11 tu,

Tuna uwezo wakizifunga timu ndogo zote zilio bakia ila arsenal na liverpool hawataweza kuzifunga zote, tukiindelea vizuri tuna uwezo wa kuchukua Epl au kumaliza nyuma ya Mancity japo kikosi chetu bado kichanga ila vijana wanafundishika vizuri,

Angalia Neto sasa hivi ni first class player Madueke ni mzuri ni wachache mtakae muamini ila ni bonge la mchezaji Coicedo sasa anaanza kuelekea kua kama N'goro kante, Jackson anajitahidi kuongeza bidi hanguki anguki kama zamani ana defend anajua kujiposition analete tention katika defender wa timu kinzani nk.
Bigup the blues.....
Covax, umeandika vizuri, vizuri sana na nakuunga mkono maeneo yote ila apo kwa madueke, kuna nini kimeongezeka kwenye uchezaji wa madueke ukiacha mechi ya Wolvehampton ile hattrick,?sizungumzii namba pekeake nazungumzia game yake kipi unaona kaimprove?
 
Wewe ndie unajipa mashaka, kama una clue na mpira huwezi linganisha hii Chelsea na Liverpool au Barca.
Chelsea inaimarika haraka kuliko hata tulivyotazamia
Unaposema tusifananishe baca au liva kivipi, baca msimu uliopita si ilikua watu wanajipgia wanavyotaka, leo hii kiko wapi, na baca wachezaji karibia wote ni wadogo wasio hata na experence. Chelsea hii yenye wachezaji wa gharama kuliko hata hao baca tunajificha kwenye kichaka cha kujenga timu ni upuuzi.
 
Covax, umeandika vizuri, vizuri sana na nakuunga mkono maeneo yote ila apo kwa madueke, kuna nini kimeongezeka kwenye uchezaji wa madueke ukiacha mechi ya Wolvehampton ile hattrick,?sizungumzii namba pekeake nazungumzia game yake kipi unaona kaimprove?
Mudueke kinacho mbeba zaidi ni ule uwezo wake wakuingia box ya timu pinzani, la pili 1v1 ni mzuri la tatu madueke anarudi nyuma haraka kutoa msaada la nne madueke anakasi ya counter attack, japo finishing yake ina kasoro sio clinical.

kocha alisema anahitaji winga mwenye uwezo wa kuingia box na kufunga sio kutoa assist tu.......ila Sacho hawezi kuingia box anatoa cross tu, ambazo haziko accurate.....kwahiyo mbadala wa madueka kwa 100% bado haupo kwa sasa, anahitajika mtu kama williani madueka angalau anamfikia kwa 55%

Ila nafundishika majivuno yamepugua atafanya vizuri tumpe dakika zaidi iko 21yrs tu.
 
Unaposema tusifananishe baca au liva kivipi, baca msimu uliopita si ilikua watu wanajipgia wanavyotaka, leo hii kiko wapi, na baca wachezaji karibia wote ni wadogo wasio hata na experence. Chelsea hii yenye wachezaji wa gharama kuliko hata hao baca tunajificha kwenye kichaka cha kujenga timu ni upuuzi.
Ww jamaa ni mbishi sana....Chelsea inajengwa...kumuhukumu kocha ni baada hata ya madirisha mawili ya usajili....jana binafsi mmenishangaza mlivyocheza sana....mmebadilika ila kutaka kocha alete ubingwa mwaka huu ni ndoto zako za mchana aisee.....acha ubishi Mkohoti....
 
Ww jamaa ni mbishi sana....Chelsea inajengwa...kumuhukumu kocha ni baada hata ya madirisha mawili ya usajili....jana binafsi mmenishangaza mlivyocheza sana....mmebadilika ila kutaka kocha alete ubingwa mwaka huu ni ndoto zako za mchana aisee.....acha ubishi Mkohoti....
Hata kama bado timu inajengwa na pia sitarajii kubeba ubingwa mwaka huu, ila sisi sio wa kudroo na nyumbu shuuubamit.

Hawa liva pia nao kocha wao si mpya mbona hawana huu umama wa kujenga timu.
 
Hata kama bado timu inajengwa na pia sitarajii kubeba ubingwa mwaka huu, ila sisi sio wa kudroo na nyumbu shuuubamit.

Hawa liva pia nao kocha wao si mpya mbona hawana huu umama wa kujenga timu.
Nakushauri endelea kushabikia timu zetu hapa za Simba na Yanga ndo zenye fikra ya kufunga kila mechi bila kudraw au kufungwa wa kifungwa inakua nongwa, wachambuzi hondari kama wewe wanajitokeza kuuliza kwanini tumefungwa,

CFC achana nao inafanya wonders kwasasa ku-draw na arsanal ambayo imejengwa kwa zaidi ya miaka 4 ni ushindi mkubwa sanaa epl sio la liga au bundasliga ambao timu zinazo dominant zina julikana hata zikiwa mbovu kiasi gani moja inaongoza nyingine inakua ya pili na ya tatu inajulikana,

Epl hata Brighton inaweza akaongoza ukizembea kama Leicity ilivo fanya 2016......kwa ufupi CFC anafanya vizuri sanaa inaweza hata kubeba Epl liver na Mancity wakiendelea kuteleza
 
Nakushauri endelea kushabikia timu zetu hapa za Simba na Yanga ndo zenye fikra ya kufunga kila mechi bila kudraw au kufungwa wa kifungwa inakua nongwa, wachambuzi hondari kama wewe wanajitokeza kuuliza kwanini tumefungwa,

CFC achana nao inafanya wonders kwasasa ku-draw na arsanal ambayo imejengwa kwa zaidi ya miaka 4 ni ushindi mkubwa sanaa epl sio la liga au bundasliga ambao timu zinazo dominant zina julikana hata zikiwa mbovu kiasi gani moja inaongoza nyingine inakua ya pili na ya tatu inajulikana,

Epl hata Brighton inaweza akaongoza ukizembea kama Leicity ilivo fanya 2016......kwa ufupi CFC anafanya vizuri sanaa inaweza hata kubeba Epl liver na Mancity wakiendelea kuteleza
Huwa mnasema EPL ngumu cjui laliga rahisi lakina hao hao laliga wakikutana na timu za EPL wanazifanya wanavyotaka, kila msimu UEFA wanachukua wao.

Huyo Arteta nae ni tapeli tu kama mwenzie, Pep amejua kucheza na akili zetu kw kuzalisha makocha wake wamichongo.
 
Covax, umeandika vizuri, vizuri sana na nakuunga mkono maeneo yote ila apo kwa madueke, kuna nini kimeongezeka kwenye uchezaji wa madueke ukiacha mechi ya Wolvehampton ile hattrick,?sizungumzii namba pekeake nazungumzia game yake kipi unaona kaimprove?
Madueke ni mzuri kwenye 1v1 ila sio mzuri kwenye maamuzi na pia hajitumi saa nyingine
 
Unaposema tusifananishe baca au liva kivipi, baca msimu uliopita si ilikua watu wanajipgia wanavyotaka, leo hii kiko wapi, na baca wachezaji karibia wote ni wadogo wasio hata na experence. Chelsea hii yenye wachezaji wa gharama kuliko hata hao baca tunajificha kwenye kichaka cha kujenga timu ni upuuzi.
Wadogo wa Barcelona wametokea kwenye academy kwa hiyo utamnaduni wa timu na ligi wamekulia hapo tofauti na sisi tumewaokota kule mbali na kuja kuwakusanya hapa na kuwabembeleza wazoea ligi ya Uingereza.

Average age ya first team ya Barcelona ni 24.4
Average age ya first team ya Chelsea ni 23.3
 
Hata kama bado timu inajengwa na pia sitarajii kubeba ubingwa mwaka huu, ila sisi sio wa kudroo na nyumbu shuuubamit.

Hawa liva pia nao kocha wao si mpya mbona hawana huu umama wa kujenga timu.
Kwa namna mnavyosajili aisee kuwa hapo mmejitahidi....hii timu ya Sasa miaka 2 nyuma sidhani kama hata wachezaji watano walikuwepo.....almost wte ni wapya....kwhyo lazima kuteleza njiani kuwepo.... Liverpool ni tofauti kabisa...mgeni kocha tu pale....na hata hvyo wao pia sidhani kama Wana mbio ndefu....bdo adui mkubwa ni City.... Liverpool wanavyocheza kuna matobo kabisa nayaona kuanzia kwny midfield mpk kule nyuma....muda utaongea
 
Yule fofana mlimtoa wapi? 😀😀😀

Sijawahi kuona beki linautege vile😀😀😀

Acheni kuokota wachezaji😀

Yule mayahud mliompokonya timu akiwaona lazima atoe machozi
 
Wadogo wa Barcelona wametokea kwenye academy kwa hiyo utamnaduni wa timu na ligi wamekulia hapo tofauti na sisi tumewaokota kule mbali na kuja kuwakusanya hapa na kuwabembeleza wazoea ligi ya Uingereza.

Average age ya first team ya Barcelona ni 24.4
Average age ya first team ya Chelsea ni 23.3
Hao madogo wa baca mbona msimu uliopita walikua wanacharazwa na utamaduni walikua wanaujua, kocha nae ana nafasi yake.

Maresca ni kocha mzuri sema nae ana ukichaa flani hivi kichwani, ana wachezaji lakini cjui ni awaamini!!. Kuna Nkuku sioni sababu ya kukaa benchi kila mechi, kuna mechi angeanza pia.

Kuna Palmar ni mchezaji mzuri, ila kuna mechi anafichwa hasa big games anazurura tu uwanjani ila hafanyiwi sub, kuna Madueke ni utoto tu analeta ila kila mechi yumo shubaamit.
 
Hao madogo wa baca mbona msimu uliopita walikua wanacharazwa na utamaduni walikua wanaujua, kocha nae ana nafasi yake.

Maresca ni kocha mzuri sema nae ana ukichaa flani hivi kichwani, ana wachezaji lakini cjui ni awaamini!!. Kuna Nkuku sioni sababu ya kukaa benchi kila mechi, kuna mechi angeanza pia.

Kuna Palmar ni mchezaji mzuri, ila kuna mechi anafichwa hasa big games anazurura tu uwanjani ila hafanyiwi sub, kuna Madueke ni utoto tu analeta ila kila mechi yumo shubaamit.
Ni kweli kocha ana nafasi kubwa sana kwenye performance ya timu na individual player
Mazoezi, mawasiliano, mfumo, mbinu na morale kocha akifanikiwa kuwaingizia kwa wachezaji story inakuwa tofauti kabisa.
Maresca ana mbinu kulingana na oponent ila naye ni sturbon katika kuwamanage wachezaji. Huwezi mweka benchi mechi zote mchezaji kama Nkunku, kama ni majeruhi mbona fofana kakaa miaka miwili bila kucheza na sasa anapewa dakika zote? kama Nkunku haingii kwenye mfumo wake mbona Pre-season kafanya vizuri
Mbona kwa sasa ndie anayeongoza kwa magoli. Haingii akilini hata kidogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom