Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mimi binafsi bado sijaridhika na kuna vitu nimeviona nahisi vinaweza kuwa tatizo linalotufanya tusisonge mbele.
 
Mnajua tofauti ya points kati yenu namba 3 na aliyrpo nafasi ya 10 ? Mnachekela ujinga tu ,,,, ! Mkidraw mechi moja tu mnaangukia mbali kabisa huko
 
Enzo ana hitajika Sana aisee ,tunamiss creativity hapo kati kati , Caicedo anakuwa na kazi kubwa , Kocha angejaribu kutafuta jinsi ya kumchezesha Enzo ,hata wakicheza middle tatu lavia ,Caicedo na Enzo ni poa ,sasa hivi naona tunakuwa na ugumu flani kwenye kupata magoli na kusukuma mashambulizi mbele .Enzo ni kiazi kwenye kukaba ila ni mzuri kwenye kuanzisha moves za magoli ,Lavia hayuko vizuri kwenye movies kama Enzo Ila kwenye defence ni mzuri kuliko Enzo
 
Madueke na Sanchez mganga wao atafutwe ndio anayeturudisha nyuma kumpiga kiwingu Maresca asione udhaifu yao.

Timu haina Captain aseeh. Morali ya kuwafokea wachezaji hakuna kabisa. Hatuoni mwenye uchungu wa kuruhusu hata goli darajani kiasi kwamba hadi Havertz anafunga goli na kushangilia wao hawaumii.

Enzo Maresca haoni maumivu kutopata ushindi dhidi ya timu kubwa. Man City, Liver watufunge, sare Man Utd na Arsenal, kwanini yeye asipate ushindi. Tena kwa Arsenal tumeponea chupuchupu kufungwa.

Ajitafakari sana Enzo, timu inafikika sana kutoka kwenye midfield mpaka defence, basi tu leo Arsenal hawakua kwenye ubora wao
 
Mimi mwenyewe sijari
Mimi binafsi bado sijaridhika na kuna vitu nimeviona nahisi vinaweza kuwa tatizo linalotufanya tusisonge mbele.
Mimi mwenyewe sijaridhika aisee ,hii mechi dhidi ya Arsenyetoz ilikuwa ya kushinda ,ni aibu kutoa draw mechi kama hii ,hii mechi na ile ya nyumbu fc ,hapa tumeloose point nne ,ina maana tungeweza kuwa na points 24 na tungekaa juu ya city leo
 
Muda mpka lini hizo draw ww unaziona nzuri
Team yetu inatengenezwa sio kama Arsenal, man city au Liverpool wao wameshajipata so hatuwezi kufanana nao na kwa kiasi kikubwa kwa muda mfupi team yetu katikati na mbele imeshakaa sawa bado kwenye defence tu na ndio maana kocha mara nyingi against big team huja na mfumo wa kubalance ili kulinda defence yetu isifanye makosa mengi na isifikiwe kirahisi ndo maana anapata draw but akija kujipata kwenye defence ndio utaona rangi yake halisi
 
Nyie mmeridhika na matokeo ya mechi ya leo?
Kikosi chetu bado kinajengwa kulinganisha na team kama Man city, Liverpool na Arsenal lazima uelewe hivyo kwanza so up down lazima tukutane nazo na kwa kiasi kikubwa team yetu imeshajipata katikati na mbele tatizo lipo kwenye defence na kocha analijua hilo na ndio maana against big team anaingia na ulinzi shirikishi ili iwasaidie safu yetu ya ulinzi kutokufanya makosa au kufikiwa kirahisi na opponent so kwa kutambua hilo kwangu naona ni matokeo fair kwetu
 
Havertz anajikuta nani eti anafunga goli na anashangilia darajani. Hiki kitu mimi kinanikera sana. Kwani tulimkosea nini huyu dogo?
Ana mambo ya kifaler sana huyu dogo ! ,Sijui ni hasira za kuuzwa na kutenganishwa na pimbi mwenzake Mason Mount ?
Bora hata aliondoka tukapata perfect replacement ya Dogo Palmer
Hivi Mount mpaka sasa ana goli ngapi za Epl akiwa na United ?
 
Mimi binafsi bado sijaridhika na kuna vitu nimeviona nahisi vinaweza kuwa tatizo linalotufanya tusisonge mbele.
Tatizo la kwanza Enzo anatakiwa kucheza, Lavia na Caicedo hawana jicho la kushambulia, wao wana jicho la kukaba tu
Nkunku anatakiwa apewe nafasi zaidi, tuna bonge la mfungaji9 hapo anakaa benchi tu
 
Mnajua tofauti ya points kati yenu namba 3 na aliyrpo nafasi ya 10 ? Mnachekela ujinga tu ,,,, ! Mkidraw mechi moja tu mnaangukia mbali kabisa huko
Wewe ndio umesahau malengo yetu. Sisi sio Title Contender, matokeo haya ni mazuri sana kwa malengo tuliojiwekea. Bado timu inasukwa na vi9jan a wanakomaa na kupata matokeo. Kuna mashabikli wa Chelsea wenye viherehere eti na sisi tugombe kuchukua ubingwa, N dio maana kwa sasa mnaumizwa na hizi sare. Arsenal ndio wao waumie kwa sababu wao ni Title Contender na akina Man city
 
Team yetu inatengenezwa sio kama Arsenal, man city au Liverpool wao wameshajipata so hatuwezi kufanana nao na kwa kiasi kikubwa kwa muda mfupi team yetu katikati na mbele imeshakaa sawa bado kwenye defence tu na ndio maana kocha mara nyingi against big team huja na mfumo wa kubalance ili kulinda defence yetu isifanye makosa mengi na isifikiwe kirahisi ndo maana anapata draw but akija kujipata kwenye defence ndio utaona rangi yake halisi
Kuna mashabiki wengine sio walikuwa hawaifuatilii timu. nadhani hata hawajui kuwa hii timu ilishauzwa, No clue at all
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom