Hivi Sancho ni majeruhi ? , na hawezi cheza ile wing ya Madueke ?madueke sioni improvement yoyote pamoja na kuaminiwa sana na mwalimu, iyo 1v1 yenyew ambayo ndo silaha yake kuu bado siioni
Madueke kuna vitu anafanya ananikera sana huyo bata
Hivi Sancho ni majeruhi ? , na hawezi cheza ile wing ya Madueke ?madueke sioni improvement yoyote pamoja na kuaminiwa sana na mwalimu, iyo 1v1 yenyew ambayo ndo silaha yake kuu bado siioni
Kuna mashabiki wengine sio walikuwa hawaifuatilii timu. nadhani hata hawajui kuwa hii timu ilishauzwa, No clue at allTeam yetu inatengenezwa sio kama Arsenal, man city au Liverpool wao wameshajipata so hatuwezi kufanana nao na kwa kiasi kikubwa kwa muda mfupi team yetu katikati na mbele imeshakaa sawa bado kwenye defence tu na ndio maana kocha mara nyingi against big team huja na mfumo wa kubalance ili kulinda defence yetu isifanye makosa mengi na isifikiwe kirahisi ndo maana anapata draw but akija kujipata kwenye defence ndio utaona rangi yake halisi
Wewe unaonekana unaifuatilia timuKikosi chetu bado kinajengwa kulinganisha na team kama Man city, Liverpool na Arsenal lazima uelewe hivyo kwanza so up down lazima tukutane nazo na kwa kiasi kikubwa team yetu imeshajipata katikati na mbele tatizo lipo kwenye defence na kocha analijua hilo na ndio maana against big team anaingia na ulinzi shirikishi ili iwasaidie safu yetu ya ulinzi kutokufanya makosa au kufikiwa kirahisi na opponent so kwa kutambua hilo kwangu naona ni matokeo fair kwetu
Bora hata hii kidogo ila ile ya Nyumbu ndio ilikua ya kiboya sana. Mpk nilikuja hapa kuhoji mbona liva hata baca wao pia makocha wao ni wapya lakini wanakichafua. Kiukweli huyu kocha anaanza kunipa mashaka.Nyie mmeridhika na matokeo ya mechi ya leo?
Draw kuwa sehemu ya matokeo sio shida. Shida ni kwamba tumepataje sare? Ni sisi ndio tumeitafuta sare leo, imagine mechi saba sasa hatujapata matokeo ya ushindi zaidi ya kufungwa mechi 5 na kutoa sare 2. Je hii sio sababu tosha kuwafanya wachezaji wapambanie timu? Au huwa hawafuatilii mambo kama haya?Tumeridhika kwa sababu ni sehemu ya matokeo. Tulicheza na Title Contender
H ishu ya Nkunku aisee roho inaniumaTatizo la kwanza Enzo anatakiwa kucheza, Lavia na Caicedo hawana jicho la kushambulia, wao wana jicho la kukaba tu
Nkunku anatakiwa apewe nafasi zaidi, tuna bonge la mfungaji9 hapo anakaa benchi tu
Au ndio zile akili za midtable teams zimejaa ,yeye anaridhika na draw Tu dhidi ya team kubwa ,kama ndio akili zake hizi basi ni kiduwanzi hizi na hafai kuwa darajani hapo ,Chelsea ni brand kubwa ,sio timu ya kuridhika na kutoa draw na Arsenal ,Chelsea sio mediocre brand aiseeBora hata hii kidogo ila ile ya Nyumbu ndio ilikua ya kiboya sana. Mpk nilikuja hapa kuhoji mbona liva hata baca wao pia makocha wao ni wapya lakini wanakichafua. Kiukweli huyu kocha anaanza kunipa mashaka.
Hilo linawezekana kama kocha ataachana na mambo ya invited full back kwanza ni tactics iliyo na faida chache wakati wa kushambulia maana mabeki ndio wanajikuta kwenye box au sehemu muhimu ya kufunga na convention rate yao ni ndogo maana sio attackers by natureEnzo ana hitajika Sana aisee ,tunamiss creativity hapo kati kati , Caicedo anakuwa na kazi kubwa , Kocha angejaribu kutafuta jinsi ya kumchezesha Enzo ,hata wakicheza middle tatu lavia ,Caicedo na Enzo ni poa ,sasa hivi naona tunakuwa na ugumu flani kwenye kupata magoli na kusukuma mashambulizi mbele .Enzo ni kiazi kwenye kukaba ila ni mzuri kwenye kuanzisha moves za magoli ,Lavia hayuko vizuri kwenye movies kama Enzo Ila kwenye defence ni mzuri kuliko Enzo
sancho ana injury, pengine angekua fit ni muda wa sacho kutokea kushoto na neto atokee kulia madueke aanzie benchi, ili ajifunze kutoka kwa wenzake,Hivi Sancho ni majeruhi ? , na hawezi cheza ile wing ya Madueke ?
Madueke kuna vitu anafanya ananikera sana huyo bata
Nenda ww ukawe kochaHatuna Kocha, huyo Maresca ni takataka kama alivyo Madueke.
Hivi kwanini kama tunajiunderrate kwa kusema tim flan haikuwa katika ubora wake badala ya kusema tumewafanya hivyo waonekane siwazuri?Madueke na Sanchez mganga wao atafutwe ndio anayeturudisha nyuma kumpiga kiwingu Maresca asione udhaifu yao.
Timu haina Captain aseeh. Morali ya kuwafokea wachezaji hakuna kabisa. Hatuoni mwenye uchungu wa kuruhusu hata goli darajani kiasi kwamba hadi Havertz anafunga goli na kushangilia wao hawaumii.
Enzo Maresca haoni maumivu kutopata ushindi dhidi ya timu kubwa. Man City, Liver watufunge, sare Man Utd na Arsenal, kwanini yeye asipate ushindi. Tena kwa Arsenal tumeponea chupuchupu kufungwa.
Ajitafakari sana Enzo, timu inafikika sana kutoka kwenye midfield mpaka defence, basi tu leo Arsenal hawakua kwenye ubora wao
kitu nachokiona labda ni kwa macho yangu, naona sasa hiv tunaile courage ya kupambana hata kama tumetanguliwaDraw kuwa sehemu ya matokeo sio shida. Shida ni kwamba tumepataje sare? Ni sisi ndio tumeitafuta sare leo, imagine mechi saba sasa hatujapata matokeo ya ushindi zaidi ya kufungwa mechi 5 na kutoa sare 2. Je hii sio sababu tosha kuwafanya wachezaji wapambanie timu? Au huwa hawafuatilii mambo kama haya?
Arsenal hawakua bora na inawezekana sisi ndio tulikua kwenye ubora leo lakini sare tunaiomba sisi. Hii mimi hainifurahi
Wewe ndie unajipa mashaka, kama una clue na mpira huwezi linganisha hii Chelsea na Liverpool au Barca.Bora hata hii kidogo ila ile ya Nyumbu ndio ilikua ya kiboya sana. Mpk nilikuja hapa kuhoji mbona liva hata baca wao pia makocha wao ni wapya lakini wanakichafua. Kiukweli huyu kocha anaanza kunipa mashaka.
Kwenye ligi tumepoteza mbili tu tena dhidi ya timu zinazoongoza ligi. Rudi kwenye historia tangu 2022, timu imesukwa upya makocha wanabadilishwa. Timu bado inatambaa, haya ni matokeo mazuri sana na ndio maana tuko kwenye nafasi ya tatu. Kumbuka pia kwenye mzunguko wa kwanza ni kama tumeshamaliza zile mechi ngumu. Mimi naiona Chelsea ni bora kwa sababu wachezaji wana mentality, wana ari, tumepoteza kwa timu ngumu ambayo inagombania ubingwa. Angalia kwa jicho hiloDraw kuwa sehemu ya matokeo sio shida. Shida ni kwamba tumepataje sare? Ni sisi ndio tumeitafuta sare leo, imagine mechi saba sasa hatujapata matokeo ya ushindi zaidi ya kufungwa mechi 5 na kutoa sare 2. Je hii sio sababu tosha kuwafanya wachezaji wapambanie timu? Au huwa hawafuatilii mambo kama haya?
Arsenal hawakua bora na inawezekana sisi ndio tulikua kwenye ubora leo lakini sare tunaiomba sisi. Hii mimi hainifurahi
Hamna alie amini kwamba tutaimarika kwa kasi kama hi yuko 3rd kwenye table tayari tumesha cheza na big four team za epl manaake tuko vizuri sanaa.Wewe ndie unajipa mashaka, kama una clue na mpira huwezi linganisha hii Chelsea na Liverpool au Barca.
Chelsea inaimarika haraka kuliko hata tulivyotazamia