Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Team yetu inatengenezwa sio kama Arsenal, man city au Liverpool wao wameshajipata so hatuwezi kufanana nao na kwa kiasi kikubwa kwa muda mfupi team yetu katikati na mbele imeshakaa sawa bado kwenye defence tu na ndio maana kocha mara nyingi against big team huja na mfumo wa kubalance ili kulinda defence yetu isifanye makosa mengi na isifikiwe kirahisi ndo maana anapata draw but akija kujipata kwenye defence ndio utaona rangi yake halisi
Kuna mashabiki wengine sio walikuwa hawaifuatilii timu. nadhani hata hawajui kuwa hii timu ilishauzwa, No clue at all
 
Kikosi chetu bado kinajengwa kulinganisha na team kama Man city, Liverpool na Arsenal lazima uelewe hivyo kwanza so up down lazima tukutane nazo na kwa kiasi kikubwa team yetu imeshajipata katikati na mbele tatizo lipo kwenye defence na kocha analijua hilo na ndio maana against big team anaingia na ulinzi shirikishi ili iwasaidie safu yetu ya ulinzi kutokufanya makosa au kufikiwa kirahisi na opponent so kwa kutambua hilo kwangu naona ni matokeo fair kwetu
Wewe unaonekana unaifuatilia timu
 
Sasa ukiangalia ule upuuzi aliofanya na kupigwa kadi ya njano ,ndio ujinga gani ule ?
Yaani akili za Kinigeria hazijamtoka , spirit za uduwanzi wa kiafrika haziishii aisee ,hata ukikulia UK ,jinga sana huyu pimbi
 
Tumeridhika kwa sababu ni sehemu ya matokeo. Tulicheza na Title Contender
Draw kuwa sehemu ya matokeo sio shida. Shida ni kwamba tumepataje sare? Ni sisi ndio tumeitafuta sare leo, imagine mechi saba sasa hatujapata matokeo ya ushindi zaidi ya kufungwa mechi 5 na kutoa sare 2. Je hii sio sababu tosha kuwafanya wachezaji wapambanie timu? Au huwa hawafuatilii mambo kama haya?

Arsenal hawakua bora na inawezekana sisi ndio tulikua kwenye ubora leo lakini sare tunaiomba sisi. Hii mimi hainifurahi
 
Bora hata hii kidogo ila ile ya Nyumbu ndio ilikua ya kiboya sana. Mpk nilikuja hapa kuhoji mbona liva hata baca wao pia makocha wao ni wapya lakini wanakichafua. Kiukweli huyu kocha anaanza kunipa mashaka.
Au ndio zile akili za midtable teams zimejaa ,yeye anaridhika na draw Tu dhidi ya team kubwa ,kama ndio akili zake hizi basi ni kiduwanzi hizi na hafai kuwa darajani hapo ,Chelsea ni brand kubwa ,sio timu ya kuridhika na kutoa draw na Arsenal ,Chelsea sio mediocre brand aisee
 
Chelsea kuna kipindi tulikuwa tunaenda toe to toe na Kenge yoyote pale Europe iwe Epl ,UEFA nk .
Leo hii tunakuwa timu ya kufurahia sare na Arsenyetoz ,mediocre brand kama Arsenyetoz , hizi ni dharau
 
Enzo ana hitajika Sana aisee ,tunamiss creativity hapo kati kati , Caicedo anakuwa na kazi kubwa , Kocha angejaribu kutafuta jinsi ya kumchezesha Enzo ,hata wakicheza middle tatu lavia ,Caicedo na Enzo ni poa ,sasa hivi naona tunakuwa na ugumu flani kwenye kupata magoli na kusukuma mashambulizi mbele .Enzo ni kiazi kwenye kukaba ila ni mzuri kwenye kuanzisha moves za magoli ,Lavia hayuko vizuri kwenye movies kama Enzo Ila kwenye defence ni mzuri kuliko Enzo
Hilo linawezekana kama kocha ataachana na mambo ya invited full back kwanza ni tactics iliyo na faida chache wakati wa kushambulia maana mabeki ndio wanajikuta kwenye box au sehemu muhimu ya kufunga na convention rate yao ni ndogo maana sio attackers by nature
Pili tunapopoteza mipira nyuma kuna kuwa na mabeki watatu na kiungo mmoja wa kati hivyo kiungo wa pili anatakiwa kucover gape kwa kasi kuzuia counter attack kitu ambacho hii kazi Enzo haiwezi au either kuprotect defensive line yenye mabeki watatu ambayo ni mlima mrefu kwa Enzo
Tatu bado timu inatatizo la kukabia macho wachezaji majority ni low level kwenye duel battle hivyo ukiwa na luxury midfielder kama Enzo utaoga magoli maana opponent akiwa na winger wazuri kwenye 1v1 akatuwa anashinda na beki line tu, hapa mbinu za kocha bado zinahitajika kuifanya timu iwe compact off the ball
Tukili kocha bado ni mchanga kwenye top managerial level na yeye kama binadamu bado anamengi ya kujifunza naona kwanza amejikita kutopoteza kwenye mechi kubwa kitu ambacho sio good but not bad
 
Madueke na Sanchez mganga wao atafutwe ndio anayeturudisha nyuma kumpiga kiwingu Maresca asione udhaifu yao.

Timu haina Captain aseeh. Morali ya kuwafokea wachezaji hakuna kabisa. Hatuoni mwenye uchungu wa kuruhusu hata goli darajani kiasi kwamba hadi Havertz anafunga goli na kushangilia wao hawaumii.

Enzo Maresca haoni maumivu kutopata ushindi dhidi ya timu kubwa. Man City, Liver watufunge, sare Man Utd na Arsenal, kwanini yeye asipate ushindi. Tena kwa Arsenal tumeponea chupuchupu kufungwa.

Ajitafakari sana Enzo, timu inafikika sana kutoka kwenye midfield mpaka defence, basi tu leo Arsenal hawakua kwenye ubora wao
Hivi kwanini kama tunajiunderrate kwa kusema tim flan haikuwa katika ubora wake badala ya kusema tumewafanya hivyo waonekane siwazuri?

Game dhid ya Brighton watu walikuwa wanasema ni brighton ni wabov ipa huyo huyo brighton kapata point dhid ya spurs,city,arsenal


Kwanini hatutaki kusema tuko katika uelekeo mzuri? Japo ya kuwekopo kwa makosa machache machache
 
Draw kuwa sehemu ya matokeo sio shida. Shida ni kwamba tumepataje sare? Ni sisi ndio tumeitafuta sare leo, imagine mechi saba sasa hatujapata matokeo ya ushindi zaidi ya kufungwa mechi 5 na kutoa sare 2. Je hii sio sababu tosha kuwafanya wachezaji wapambanie timu? Au huwa hawafuatilii mambo kama haya?

Arsenal hawakua bora na inawezekana sisi ndio tulikua kwenye ubora leo lakini sare tunaiomba sisi. Hii mimi hainifurahi
kitu nachokiona labda ni kwa macho yangu, naona sasa hiv tunaile courage ya kupambana hata kama tumetanguliwa
Hata reaction ya mchezo ukimalizika unaona kabisa wachezaji hali wanazokuwa nazo

Msim huu tunaweza tukatanguliwa na bado tukatoka nyuma na kupata matokeo ni tofauti na msim uliopita ambaponioikuwa tukitanguliwa tu ningumu kusawazisha.

Katika hizi game kubwa ukitoa game ya man utd hizi game zote tulihitaji box CF, Jackson kwenye mipira ya juu sio mpambanaji
Katika game zote hizo Makosa ya mabek kujisahau na kutrack wachezaji + makosa ya sanchez kutofanya maamuzi sahihi
 
Wengi ambao mulikua amfuatilie uchezaji wa CFC misimu mitatu nyuma mna haki ya kumbeza kocha wetu, kwasbabu hamjui hi timu hapo imefika je, kutoa draw na arsenal wakati ni title contender na iko kwenye ubora wake wa juu hayo ni matokeo mazuri sanaa kwa CFC.

Sasa hivi nime anza kuamini tunaweza hata kuchukua EPL msimu hu, possiblilities zetu zimepanda kutoka 20% wakati msimu unaanza na kwa 45% baada ya mechi 11 tu,

Tuna uwezo wakizifunga timu ndogo zote zilio bakia ila arsenal na liverpool hawataweza kuzifunga zote, tukiindelea vizuri tuna uwezo wa kuchukua Epl au kumaliza nyuma ya Mancity japo kikosi chetu bado kichanga ila vijana wanafundishika vizuri,

Angalia Neto sasa hivi ni first class player Madueke ni mzuri ni wachache mtakae muamini ila ni bonge la mchezaji Coicedo sasa anaanza kuelekea kua kama N'goro kante, Jackson anajitahidi kuongeza bidi hanguki anguki kama zamani ana defend anajua kujiposition analete tention katika defender wa timu kinzani nk.
Bigup the blues.....
 
Bora hata hii kidogo ila ile ya Nyumbu ndio ilikua ya kiboya sana. Mpk nilikuja hapa kuhoji mbona liva hata baca wao pia makocha wao ni wapya lakini wanakichafua. Kiukweli huyu kocha anaanza kunipa mashaka.
Wewe ndie unajipa mashaka, kama una clue na mpira huwezi linganisha hii Chelsea na Liverpool au Barca.
Chelsea inaimarika haraka kuliko hata tulivyotazamia
 
Draw kuwa sehemu ya matokeo sio shida. Shida ni kwamba tumepataje sare? Ni sisi ndio tumeitafuta sare leo, imagine mechi saba sasa hatujapata matokeo ya ushindi zaidi ya kufungwa mechi 5 na kutoa sare 2. Je hii sio sababu tosha kuwafanya wachezaji wapambanie timu? Au huwa hawafuatilii mambo kama haya?

Arsenal hawakua bora na inawezekana sisi ndio tulikua kwenye ubora leo lakini sare tunaiomba sisi. Hii mimi hainifurahi
Kwenye ligi tumepoteza mbili tu tena dhidi ya timu zinazoongoza ligi. Rudi kwenye historia tangu 2022, timu imesukwa upya makocha wanabadilishwa. Timu bado inatambaa, haya ni matokeo mazuri sana na ndio maana tuko kwenye nafasi ya tatu. Kumbuka pia kwenye mzunguko wa kwanza ni kama tumeshamaliza zile mechi ngumu. Mimi naiona Chelsea ni bora kwa sababu wachezaji wana mentality, wana ari, tumepoteza kwa timu ngumu ambayo inagombania ubingwa. Angalia kwa jicho hilo
 
Wewe ndie unajipa mashaka, kama una clue na mpira huwezi linganisha hii Chelsea na Liverpool au Barca.
Chelsea inaimarika haraka kuliko hata tulivyotazamia
Hamna alie amini kwamba tutaimarika kwa kasi kama hi yuko 3rd kwenye table tayari tumesha cheza na big four team za epl manaake tuko vizuri sanaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom