Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hapo mwishoe uko wapi???
BREAKING: Mwisho wa Madueke Umefika

Enzo Maresca alihutubia wanahabari, akielezea wasiwasi wake kuhusu mtazamo wa Noni Madueke.

"Natarajia wachezaji kuwa wa taaluma wakati wa kubadilishwa, lakini hasira ya Madueke haikukubaliki hata kidogo" Maresca alisema. "Ni dharau kwangu na kwa klabu."

Maresca alisisitiza kwamba wachezaji lazima watambue mipaka yao. "Ikiwa haufanyi vizuri, huwezi kutarajia kucheza dakika 90."

Meneja alidokeza uwezekano wa mabadiliko ya nafasi, akitoa mfano wa ushindani kutoka kwa wachezaji wengine. "Nafasi asilia ya Pedro Neto iko upande wa kushoto, na Jadon Sancho yuko kulia. Tutatathmini upya baada ya mapumziko ya kimataifa."

Je, una maoni gani kuhusu maoni ya Maresca The Blues?
U
Havertz anajikuta nani eti anafunga goli na anashangilia darajani. Hiki kitu mimi kinanikera sana. Kwani tulimkosea nini huyu dogo?
Kushangilia ni kawaida unapofunga
 
HAPO ZAMANI ZAKALE KULITOKEA VISA VYA KUSIKITISHA SANA😭😭😂😂😂😂😂
1731676194480.jpg
 
Kuna
Noni Madueke vs Greece:
66 minutes played
1 assist
46 touches
94% pass accuracy
3 key passes
1 big chance created
1 shot on target
1/2 dribbles completed
4/6 ground duels won

Kwa takwimu hizi ni ngumu Maresca kumuweka benchi milele
Madueke kaimprove sana kwenye work rate ila kwenye attitude ndio inamuangusha

View attachment 3152587
Kuna Carney Chukwuemeka ,naye hajapewa hata chance msimu huu naye ni talent na naweza kucheza kwenye wing,nachukia sana wachezaji wapuuzi wenye ego ,huwa wanaharibu timu nzima
Hamna mchezaji mkubwa kuliko Chelsea madueke ni takataka tu ,ale benchi wengine wacheze ili ajifunze nidhamu
 
Malo Gusto (jeraha la kifundo cha mguu), Wesley Fofana (jeraha la goti) na Romeo Lavia (hamstring) wako kwenye orodha ya majeruhi. Wachezaji wote wanaendelea kufanyiwa uchunguzi. Ni wakati sasa wa kuwaanzisha Enzo na Tosin.
 
Malo Gusto (jeraha la kifundo cha mguu), Wesley Fofana (jeraha la goti) na Romeo Lavia (hamstring) wako kwenye orodha ya majeruhi. Wachezaji wote wanaendelea kufanyiwa ucgunguzi. Ni wakati sasa wa kuwaanzisha Enzo na Tosin.
Ila Tosin sio mzuri kwenye kukaba mechi dhidi ya Liverpool alikuwa ovyo sana kazi tunayo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom