Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Uongo tuweke pembeni, leo James ameonyesha kuwa yeye ni Kapteni wa hii timu. Amejitoa sana na ameiamarisjha ulinzi na kuokoa magoli mawili ya wazi. Mamuombea Mola ampe uzima tele asirudi tena kitandani
Leo nakuunga mkono
 
Felix ni talented ila ni mvivu inamfanya na yeye kuwa takataka pia, Madueke sio talented na ni takataka.

Mmoja alipaswa kucheza chelsea ila kutokana na uvivu unamdisqualify, mwingine hastahili hata kukaa benchi.

Kamwangalie savihno wa city, ndio utajua kw nini nakwambia huyu marasta hastahili.
Sasa Mtu mvivu ana tofauti gani na mfanyakazi hewa? Punguza mahaba ili akili yako ibalansi vizuri hoja bila mihemuko.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Aliyesem
Nyie mlisema Maresca huwa harembi penye ukweli anasema ukweli. Leo mnaanza kusema kakosea wakati kasema ukweli captain muda wote yupo kitandani na hata akicheza anaweka ndizi kisukari mdomoni haongei wala kutoa maelekezo kwa wenzake. Kocha yupo sahihi kabisa kuongea public.
 
Felix ni talented ila ni mvivu inamfanya na yeye kuwa takataka pia, Madueke sio talented na ni takataka.

Mmoja alipaswa kucheza chelsea ila kutokana na uvivu unamdisqualify, mwingine hastahili hata kukaa benchi.

Kamwangalie savihno wa city, ndio utajua kw nini nakwambia huyu marasta hastahili.
Felix ni risky zaidi ya Madueke. Madueke yuko aggressive na mpira na kwenye 1v1 tofauti na Felix legelege sana. Ananyangánywa mpira kitoto mno.
Atakayekuja kumtoa Madueke pale ni ujio wa Estevao mwakani basi, ila kwa hii timu ya msimu huu na mawinga tulionao. Sijui labda Neto azidi naye kujituma uwanjani
 
Andrey Santos mchezaji wetu wa mkopo aliyepo Strasbourg anawashamoto kweli huko Ligue 1. Leo kaweka kambani mawili akiisaidia timu yake kupata ushindi wa goli 3-1. Bila kusahau golini yupo mchezaji wetu (Petrovic) ambaye naye yupo kwa mkopo hapohapo na anaanza kila mechi.
Wanatakiwa wawili tu na mmoja kwenye benchi. Wengine tuwafanye nini?
  1. Santos,
  2. Enzo,
  3. Lavia,
  4. Caicedo,
  5. Casadei,
  6. KDH
 
Felix ni risky zaidi ya Madueke. Madueke yuko aggressive na mpira na kwenye 1v1 tofauti na Felix legelege sana. Ananyangánywa mpira kitoto mno.
Atakayekuja kumtoa Madueke pale ni ujio wa Estevao mwakani basi, ila kwa hii timu ya msimu huu na mawinga tulionao. Sijui labda Neto azidi naye kujituma uwanjani
Dogo namuona ni mzuri akiwa na mpira tu, physically hayupo vizuri sina uhakika kama ataiweza ligi kuu ya Uingereza mtu ambaye nina imani nae ni yule Paez yuko aggressive ligi kuu inamfiti
 
Palmer katika mechi 18 za Stamford Bridge kafunga goli 21 na assists 5
1730103987237.png
 
Felix ni risky zaidi ya Madueke. Madueke yuko aggressive na mpira na kwenye 1v1 tofauti na Felix legelege sana. Ananyangánywa mpira kitoto mno.
Atakayekuja kumtoa Madueke pale ni ujio wa Estevao mwakani basi, ila kwa hii timu ya msimu huu na mawinga tulionao. Sijui labda Neto azidi naye kujituma uwanjani
Wote ni matakataka, tofauti yao mmoja wao anahitaji kujitambua, mwingine hatokaa akajitambua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom