Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 11,531
- 18,727
January tumchukue Viktor Gyokeres huyu ndio mchezaji wa kucheza Chelsea sio hao matakataka.
Kwa Sanchez nakuunga mkono anatufelisha sana.
Jackson - anazidi kuimarika kwenye finishing, misimu 2 au 3 ijayo atakuwa bonge la mfungaji. Kwa sasa aendelee kubabua makipa
Madueke - Kuna msemo unasema "Tabia yake ndio sababu" mchezaji mzuri anatakiwa acheze kitimu aache ujuaji, majivuno na ubinafsi.
Fofona - Back from injury tumpe muda.
Felix - Mchezaji boss. Acheze mpira aache uboss uwanjani. Kijana ana kipaji kikubwa.
Enzo - Pesa nane anachanganya role yake uwanjani.
Kiufupi wachezaji uliowataja Sanchez ndio takataka, hao wengine ni kuendelea kujiboresha kiuchezaji na kitabia. Wasipobadilika tunaendelea kusajili mashine za kazi kuchukua nafasi zao.