Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Rodri hakustahili tuzo ya Ballon d'Or kulingana na vigezo vya tuzo hiyo. Hata si mchezaji bora wa Mancity, si mchezaji bora wa EPL, si mchezaji bora wa Hispania, Hakuiwezesha Man City kushinda UEFA Champion League. Tuzo hii ingeenda kwa mchezaji kama Dani Carvajal, ningeweza kuelewa mantiki.
Hivi unaona namna man city wanavyostruggle kukosa huduma yake
 
Hivi unaona namna man city wanavyostruggle kukosa huduma yake
Timu inayoongoza Ligi inastrugle tena
Kocacic anakiwasha hata zaidi ya Rodri
Au huifuatilii Man city nini?
Ballon d'Or ya mwaka huu wamechemka sana
Yamil Yamal ameshika namba 8 kwa performance ipi huku Cole Palmer namba 25, what is the justification hapo
Nafasi hizi wanajitahidi kuzitoa kwa matangazo tu
 
Kesho Carabao Cup tuko tena Pale St. James Park dhidi ya Newcastle tutegemee itakuwa game ngumu

Nategeme Lavia,James,Fofana kutokuwepo kabisa

Mpaka sasa hatuna injury yeyote ile mwaka jana mda kama huu tuko tunatafutana

Nategemea kesho kumuona Sancho na Mudryk wakianza
 
Kesho Carabao Cup tuko tena Pale St. James Park dhidi ya Newcastle tutegemee itakuwa game ngumu

Nategeme Lavia,James,Fofana kutokuwepo kabisa

Mpaka sasa hatuna injury yeyote ile mwaka jana mda kama huu tuko tunatafutana

Nategemea kesho kumuona Sancho na Mudryk wakianza
Sancho na Mudryk wanaanzaje pamoja
 
Ballon d'Or ipo ki biashara zaidi.
Rodri hakustahili tuzo ya Ballon d'Or kulingana na vigezo vya tuzo hiyo. Hata si mchezaji bora wa Mancity, si mchezaji bora wa EPL, si mchezaji bora wa Hispania, Hakuiwezesha Man City kushinda UEFA Champion League. Tuzo hii ingeenda kwa mchezaji kama Dani Carvajal, ningeweza kuelewa mantiki.
 
Tangu 2010 na 2021 wawadhulumu Iniesta balon d'or na Lewandosky nilishaelewa kuwa hizo tuzo ni ubabaishaji mtupu,

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Rodri hakustahili tuzo ya Ballon d'Or kulingana na vigezo vya tuzo hiyo. Hata si mchezaji bora wa Mancity, si mchezaji bora wa EPL, si mchezaji bora wa Hispania, Hakuiwezesha Man City kushinda UEFA Champion League. Tuzo hii ingeenda kwa mchezaji kama Dani Carvajal, ningeweza kuelewa mantiki.
ra
 
Timu inayoongoza Ligi inastrugle tena
Kocacic anakiwasha hata zaidi ya Rodri
Au huifuatilii Man city nini?
Ballon d'Or ya mwaka huu wamechemka sana
Yamil Yamal ameshika namba 8 kwa performance ipi huku Cole Palmer namba 25, what is the justification hapo
Nafasi hizi wanajitahidi kuzitoa kwa matangazo tu
Wafute tu hizo tuzo Wachezaji wawe wanacheza bila tuzo maana ni miyeyusho tupu 😡

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
1730294786284.png
 
Sanchez. Sancho, Jackson, Caicedo, Lavia, James, Fofana, Neto hawapo kabisa kwenye squad ya leo itakayopambana na New Castle kwenye Carabao Cup round of 16
 
1730315181165.png


Bench: Bergstrom, Bettinelli, Colwill, Chilwell, Casadei, Chukwuemeka, Madueke, Palmer, Guiu

Sanchez. Sancho, Jackson, Caicedo, Lavia, James, Fofana, Neto hawapo kabisa kwenye squad ya leo itakayopambana na New Castle kwenye Carabao Cup round of 16
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom