Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hongereni The Blues. Ushindi mzuri sana. Na zaidi ya ushindi, timu yetu inaimarika siku hadi msiku, wiki ahdi wiki na balance ya timu inazidi kuwa nzuri
Mchezaji pekee ambaye hakucheza vizuri leo ni Robert Sanchez. pasi zake karibia zote ndefu zimepotea. Kama tungepoteza hii mechi leo angelaumiwa sana.
James ameongeza balance kubwa kwenye defense
Kuwa na Lavia mzima ni sadaka pekee kwenye midfield yetu na pivot yake na Caicedo naona inaipa timu balance japo baada ya kuchoka kiungo ilipwaya hadi alipoingia Enzo
Sina neno juu ya Jackson, kila aliyetazama mpira ameona ubora wake kwenye kuhold mpira na kuucheza anavyotaka yeye
Gusto amejitahidi sana kuinvert kule mbele ila hawezi kabisa kulenga goli. Inabidi afanyie mazoezi makubwa jinsi ya kupiga mashuti golini.
Neto ameimarika ila bado sana, faida yake kubwa ni mbio tu
Nkunku anahitaji kupewa dakika nyingi zaidi angalau 30
Palmer = MOTM
 
Palmer akaze abebe kiatu huu msimu , akiendeleza huu moto ,hamna Kenge wa kumchallenge kwenye kiatu pale Epl
 
Hongereni The Blues. Ushindi mzuri sana. Na zaidi ya ushindi, timu yetu inaimarika siku hadi msiku, wiki ahdi wiki na balance ya timu inazidi kuwa nzuri
Mchezaji pekee ambaye hakucheza vizuri leo ni Robert Sanchez. pasi zake karibia zote ndefu zimepotea. Kama tungepoteza hii mechi leo angelaumiwa sana.
James ameongeza balance kubwa kwenye defense
Kuwa na Lavia mzima ni sadaka pekee kwenye midfield yetu na pivot yake na Caicedo naona inaipa timu balance japo baada ya kuchoka kiungo ilipwaya hadi alipoingia Enzo
Sina neno juu ya Jackson, kila aliyetazama mpira ameona ubora wake kwenye kuhold mpira na kuucheza anavyotaka yeye
Gusto amejitahidi sana kuinvert kule mbele ila hawezi kabisa kulenga goli. Inabidi afanyie mazoezi makubwa jinsi ya kupiga mashuti golini.
Neto ameimarika ila bado sana, faida yake kubwa ni mbio tu
Nkunku anahitaji kupewa dakika nyingi zaidi angalau 30
Palmer = MOTM
Kwa upande wangu Man of the match nampa James katuokoa mara tatu kufungwa na apokonya mipira mara nyingi
 
Sanchez -kipa la championship, poor positioning,poor ball distribution
Madueke-pace but improper decision making, sehemu ya kuattack space anapoza mpira sehemu walipojaa mabeki anawakimbilia mguuni, silly foul
Fofana-€80mil kina marina walizingua chezaji kila pass mpaka auruke mpira ndio afanye decision, predictable play style kila move mpira ukiwa mbele yake adui nyuma anategemea afanyiwe foul ajiangushe kama kapingwa na kombora, miguu mizito kutoa pass mpaka akabwe
Mudryk- huyu kwangu ni mchezaji wa viwango vya crystal Palace ni mbio tu uwezo 1v1 ni zero hapa namreserve Neto kwanza kwenye hili kundi ila kama playing style yake haitaimprove atakuwa pacha wa Mudryk
Nasikitika timu yetu inawachezaji wawili tu wenye jicho la goli (Palmer na Jackson) wasipoamka vizuri ndio basi tena mawinger wetu hawana habari na kuwa aggressive kwenye kufunga
 
Mosses Caicedo ameweka record ya mchezaji aliyefanya successful interception nyingi ndani ya game moja amefanya mara 7 dhidi ya Newcastle mchezaji ambaye amewahi kufanya hivi mara ya mwisho alikuwa ni Ngolo kante vs Spurs.
 
Kuna mda waamuzi kama wanatunyonga sana Nikiangalia goal la Isak,Merino haya yote yamekubaliwa ila La Palmer lilikataliwa.
Isak goal = Goli la mchongo.
Goli la Palmer = Goli halali/sawa na goli la Isak.
Refa kagawa kadi za njano nyingi sana kwa Chelsea SC ila kutoa kadi za njano kwa faulo za Newcastle ni dhambi kubwa.

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a good.
 
Vipi mchezaji wako Joao Felix?
Felix ni talented ila ni mvivu inamfanya na yeye kuwa takataka pia, Madueke sio talented na ni takataka.

Mmoja alipaswa kucheza chelsea ila kutokana na uvivu unamdisqualify, mwingine hastahili hata kukaa benchi.

Kamwangalie savihno wa city, ndio utajua kw nini nakwambia huyu marasta hastahili.
 
Palmer akaze abebe kiatu huu msimu , akiendeleza huu moto ,hamna Kenge wa kumchallenge kwenye kiatu pale Epl
Nadhani cha msingi aendelee kuwa kwenye huu ubora atusaidie tuweze ku challenge ubingwa wowote hata Carabao, FA au Conference League. Chelsea sio ya kukaa misimu 3-4 haijabeba ubingwa. Chelsea sio ya kunyanyaswa hivi na Liverpool au Arsenal tunafungwa mfululu kama ilivyotokea.

Tuzo binafsi sio mbaya ila hizo tuzo zipatikane na Chelsea ikiwa inanufaika kwa kusaidia kubeba ubingwa. Hakuna kitu kinakera kama kufungwa na Arsenal, Liverpool au Man U kwa walioshuhudia huu mpira kitambo watakua wanaelewa ni vipi inakera kupoteza mechi na timu ya top four.​
 
Andrey Santos mchezaji wetu wa mkopo aliyepo Strasbourg anawashamoto kweli huko Ligue 1. Leo kaweka kambani mawili akiisaidia timu yake kupata ushindi wa goli 3-1. Bila kusahau golini yupo mchezaji wetu (Petrovic) ambaye naye yupo kwa mkopo hapohapo na anaanza kila mechi.
 

Attachments

  • Screenshot_20241027_223305_Instagram.jpg
    Screenshot_20241027_223305_Instagram.jpg
    291.7 KB · Views: 14

Similar Discussions

Back
Top Bottom