Cash Money Forever
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 721
- 1,319
Madueke ni sawa na yule Bull anayewekewa kitambaa chekundu mbele akipige Pembe.
🤣🤣🤣Madueke ni sawa na yule Bull anayewekewa kitambaa chekundu mbele akipige Pembe.
Uchezaji wa Madueke ndio Maresca anaupenda, Ana uchezaji wa kuwapeleka mchakamchaka LB yeyote wa timu pinzani. Akijitambua tu halafu akaekewa akili 1% ya Palmer atakuwa RW mzuriMadueke ni sawa na yule Bull anayewekewa kitambaa chekundu mbele akipige Pembe.
We jamaa unanifanyaga nicheke😂😂😂Madueke ni sawa na yule Bull anayewekewa kitambaa chekundu mbele akipige Pembe.
Tufurahi tuu brother mpira ni burudani 😂We jamaa unanifanyaga nicheke😂😂😂
Uchezaji wa Madueke ndio Maresca anaupenda, Ana uchezaji wa kuwapeleka mchakamchaka LB yeyote wa timu pinzani. Akijitambua tu halafu akaekewa akili 1% ya Palmer atakuwa RW mzuri
KDH apelekwe kwa mkopo West Brom, Casadei arudi kwao Italy atafute timu.Wanatakiwa wawili tu na mmoja kwenye benchi. Wengine tuwafanye nini?
- Santos,
- Enzo,
- Lavia,
- Caicedo,
- Casadei,
- KDH
Ishu ni mwendelezo mkuu..si kwamba ni wachezaji wabaya.....wakati wake utafikaKDH apelekwe kwa mkopo West Brom, Casadei arudi kwao Italy atafute timu.
EPLKDH apelekwe kwa mkopo West Brom, Casadei arudi kwao Italy atafute timu.
Sio nawatetea tu, nawasafisha piaKwa kutetea matakataka uko vizuri sana.
NEto pasi kaitoa kwa wakati sana, kama ya Nunez kw Salah, angekua ndio Madueke akili mirasta sasa! Dah!.......Tia neno kwenye hii pasi ya Cole Palmer kwenda kwa Pedro Neto inayodhaniwa kuwa pasi bora ya msimu
Cole Palmer adai yeye na Neto waliongea kabla ya mechi
"Kiukweli nilijua jinsi gani yeye [Neto] alivyo na spidi hivyo nilivyomwona anakimbia mimi nilipeleka mpira kwenye njia yake tu:"
View attachment 3137800
Tunaweza kushiriki hayo mashindano yote vizuri bila uwepo wa hao niliowatajaEPL
UEFA CONFERENCE
CARABAO
FA
Wachezaji wote waliopo tunawahitaji kwenye mashindano haya. Pia msimu bado mmbichi kuna injuries zinakuja huko mbeleni wachezaji waliopo benchi kwa sasa watakuwa msaada.
Tuombe Mungu tusipate majeruhi na uchovuTunaweza kushiriki hayo mashindano yote vizuri bila uwepo wa hao niliowataja
Madueke asingeweza kutoa ile pass kwa wakati mpaka apambane kwanza na vitu visivyoonekana.NEto pasi kaitoa kwa wakati sana, kama ya Nunez kw Salah, angekua ndio Madueke akili mirasta sasa! Dah!.......
🤣🤣🤣🤣Madueke asingeweza kutoa ile pass kwa wakati mpaka apambane kwanza na vitu visivyoonekana.