Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Yule ni mtumishi hewa mechi zake tano anarudi kitandani. Shida sio kuingia. Shida ni pindi anapotoka. Unakuta timu inakua imeshaelewana mara paa injury tunaanza tena moja kutafuta muunganiko. Sa si bora tuwe na mchezaji ambaye gari likishawaka anawaka nalo, Unamtetea tu mchezaji gani wa MOI kila siku.
Kukosekakana kwake hakufanyi team ikose muunganiko mbona melo Gusto anacheza vizuri
 
Mwanzoni Madrid ilimuona James kama usajili sahihi kutokana na majeruhi ya mara kwa mara hawataki kumsajili Hazard mwingine, sasa wamemuona Trent Arnold
 
Kwahiyo na wewe haikuumi kupoteza muda wako kwenye TV kuangalia mechi za blues?

Wachezaji hawaumii mashabiki kupoteza muda na pesa zao kuwashabikia?
Kati yenu na wamiliki yupo ambaye anamwaga pesa nyingi? Kinachonishangaza wamiliki hawajawahi kusema au kulalamika kuhusu pesa wanayomlipa James na muda anatumikia kuwa nje ya uwanja na wala hawana mpango wa kumuuza sasa nyinyi kinachowauma ni nini?
 
Sikumbuki kama wakati wa Poch ilifika wakat tunafull kikosi, maana kila wiki tulikuwa tunaskia majeruhi majeruhi yani hatuwez cheza game 2 bila kuskia majeruhi
 
Sikumbuki kama wakati wa Poch ilifika wakat tunafull kikosi, maana kila wiki tulikuwa tunaskia majeruhi majeruhi yani hatuwez cheza game 2 bila kuskia majeruhi
Kwa mujibu wa Kocha amesema atakuwa anawamanage Reece James, Lavia pamoja na Fofana kwa kuhakikisha watakuwa wanacheza mara 1 kwa wiki ili kulinda afya zao
 
Mwezi wa 11 hapo tutaondoka na point ngapi?? Katika mechi hizo nne
Screenshot_20241019-114606_Chrome.jpg
 
Yule ni mtumishi hewa mechi zake tano anarudi kitandani. Shida sio kuingia. Shida ni pindi anapotoka. Unakuta timu inakua imeshaelewana mara paa injury tunaanza tena moja kutafuta muunganiko. Sa si bora tuwe na mchezaji ambaye gari likishawaka anawaka nalo, Unamtetea tu mchezaji gani wa MOI kila siku.
Nani huyo mkuu? James au Nkunku?
 
Bado ni mchezaji mzuri so sioni tatizo lolote kwasababu tunaye melo Gusto anatubust kipindi yeye hayupo hata akikaa nje muda mrefu still akija anatupa kitu kizuri nyinyi mnaolalamika auzwe kwani hela mnatoa nyie
Isingekuwa majeruhi, James n i mzuri kwenye kukaba kuliko Malo Gusto
Naona Malo anahitaji muda zaidi ili kuwa complete RB hasa kwenye kukaba. Yeye kwenye kushambulia na krosi ni mzuri sana
Natumaini kesho James atapata dk sio chini ya 15
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom