Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kikosi kizuri sana, sema kule mbele takataka Madueke aache utoto. Kwenye kutoa pasi atoe kwa wakati na asiwe mchoyo, hii game ya leo muhimu sana tutoke na pointi tatu.
Madueke so far ndiye mchezaji bora Chelsea, Roberston anahenyeshwa huko. Muwe mnafuatilia mpira acheni kuja na ukariri wa mashairi na ngonjera za zilipenbdwa
 
Sancho angecheza kama Madueke kwa leo tayari tungekuwa tunaongoza, inabidi alazimishe kuingia kwenye boksi. Sijajua anaogopa nini, sasa kwa uchezaji wa Mudrky ilifaa sana acheze leo.
Kabisa nakubaliana na wewe kocha kamuamini sancho kupita kiasi nimeona hata kwenye sub hayupo
 
Acha kukurupuka hayo maoni nimeandika kabla ya mchezo kuanza.
Madueke so far ndiye mchezaji bora Chelsea, Roberston anahenyeshwa huko. Muwe mnafuatilia mpira acheni kuja na ukariri wa mashairi na ngonjera za zilipenbdwa
 
20241020_194109.jpg
 
Nilitamani sana hii mechi at least tupate draw, anyway mcheza kwao hutunzwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom