Nyinyi ni wasindikizaji wa ligi hii jeuri unaitoa wapiKabisa...nyny ni wakubwa sana ila jiandaeni vzuri....mkija kama mlivyo sasahvi Saba zinahusika
Nyinyi ni wasindikizaji wa ligi hii jeuri unaitoa wapiKabisa...nyny ni wakubwa sana ila jiandaeni vzuri....mkija kama mlivyo sasahvi Saba zinahusika
Sio jeuri braza🤠🤠🤠...Kila nikiangalia hiki kikundi chenu napata shaka sana siku tukikutana kama mtaweza kutuzuia tusiwatoe manundu sabaNyinyi ni wasindikizaji wa ligi hii jeuri unaitoa wapi
Haaahaaaa🤣🤣 hamna shida utakavyobinuliwa na hawa watoto na boko haram football yenu ntakutag piaNottingham forest??🤠🤠🤠....wale Sasa ndo level yenu mkuu....ukishafika mwezi wa 12 huko ndo utanielewa nnachomaanisha pale mtakapokuwa mnagombania nao nafasi zenu pendwa za 10 na 11....Liverkuku walikumbushwa tu kwmba wajenge timu waachane na wafukuza upepo....siku tukikutana na hao madogo ntaku tag kukumbusha kwmba nott forest ni watoto wadogo sana kwa namna tutakavyowatoa manundu
Time will tellSio jeuri braza🤠🤠🤠...Kila nikiangalia hiki kikundi chenu napata shaka sana siku tukikutana kama mtaweza kutuzuia tusiwatoe manundu saba
Haina shida🤠🤠Haaahaaaa🤣🤣 hamna shida utakavyobinuliwa na hawa watoto na boko haram football yenu ntakutag pia
Tukikutana naninyi ,siku hiyo bora msiingize hicho kikundi chenu cha ngoma uwanjani ...Labda miaka 5 mbeleni jirani....bdo mna kikundi cha jogging hapo darajani sio timu ya mpira🤠🤠
Humu nilichogundua wengi ni wanaangalia stats ila uwanjani hatuangalia Enzo analeta nini siku akiwa hayupo unaona kabisa utofauti .Mechi na Forest, Enzo ameongoza kwa kufanya recovery nyingi. Na kila mechi Enzo anafanya kazi ambayo wengi hawaioni ila inapotokea kakosea moja tu, anashikiliwa hapo
Hivi kwa nini watu huwa hamtaki kuappreciate tunachofanya? Mnahisi tumebahatishaNottingham forest??🤠🤠🤠....wale Sasa ndo level yenu mkuu....ukishafika mwezi wa 12 huko ndo utanielewa nnachomaanisha pale mtakapokuwa mnagombania nao nafasi zenu pendwa za 10 na 11....Liverkuku walikumbushwa tu kwmba wajenge timu waachane na wafukuza upepo....siku tukikutana na hao madogo ntaku tag kukumbusha kwmba nott forest ni watoto wadogo sana kwa namna tutakavyowatoa manundu
namna yakeHivi kwa nini watu huwa hamtaki kuappreciate tunachofanya? Mnahisi tumebahatisha
Angalien stats za toka mwaka huu umeanza performanc ya team ikoje.
Tuwe wakweli mechi dhidi ya forest alicheza chini ya kiwangoWanaomkandia Enzo waangalie hii clip, mechi zote Enzo anacheza mchango wake hauangaliwi na wabaya wake ila vimakosa tudogo tudogo ndizo zinazoangaliwa
View attachment 3120849
Kocha bora wa mwisho wa Chelsea kushinda ni Thomas TuchelSikumbuki nakubali kukosolewa kipindi cha poche je aliwahi shinda kocha bora wa mwezi na mchezaji sikumbuki alikuwa nani ???
Waliompita Enzo Fernandez kwenye ratings walikuwa ni Noni Madueke na Cole Palmer tu. Sasa hiyo chini ya kliwango imesababishwa na nini?Tuwe wakweli mechi dhidi ya forest alicheza chini ya kiwango
Enzo alionekana kupoteza mipira ovyo lakini pia hakuwa create chance aliyotengeneza japo alikuwa anapanda mbeleWaliompita Enzo Fernandez kwenye ratings walikuwa ni Noni Madueke na Cole Palmer tu. Sasa hiyo chini ya kliwango imesababishwa na nini?