Cash Money Forever
JF-Expert Member
- Mar 16, 2019
- 720
- 1,315
Next Match
Kipara vs Kipara
Kipara vs Kipara
Reece James ameponaOyaaa wanangu Chesiii nini kinaendelea hapa nipeni report mazeee
Nimeona kabla hajacheza game 1 atarudi tena kitandani na kujifunika gubi gubiReece James amepona
Kwani mkuu hela unatoa wewe?Reece ni mzigo ,auzwe
Useless player
Mchezaji wa hovyo kuwahi kutokea, wamtoe hata bure tu anawategea wenzake.Reece ni mzigo ,auzwe
Useless player
James anaweza akawa ni injury ila akirudi mara nyingi hahitaji mpaka awe na mechi nyingi ndio arudi kwenye form unakuta game hiyo hiyo ya kwanza anakiwasha alafu mnaanza kumuimba.Kama hela utoi wewe kwanini uumie kama uongozi umeridhika nae wewe kinachokuwasha nini?Mchezaji wa hovyo kuwahi kutokea, wamtoe hata bure tu anawategea wenzake.
James anaweza akawa ni injury ila akirudi mara nyingi hahitaji mpaka awe na mechi nyingi ndio arudi kwenye form unakuta game hiyo hiyo ya kwanza anakiwasha alafu mnaanza kumuimba.Kama hela utoi wewe kwanini uumie kama uongozi umeridhika nae wewe kinachokuwasha nini?
Yule Reece James wa academy aliyekuwa akicheza na akina Tammy Abraham, Mason Mount, Tomori hayuko tena. Misuli na muda aliokaa nje hawezi tena kurudi.James anaweza akawa ni injury ila akirudi mara nyingi hahitaji mpaka awe na mechi nyingi ndio arudi kwenye form unakuta game hiyo hiyo ya kwanza anakiwasha alafu mnaanza kumuimba.Kama hela utoi wewe kwanini uumie kama uongozi umeridhika nae wewe kinachokuwasha nini?
Lini umemuona James kacheza chini ya kiwango?Jems kaanza mpira siku nyingi kashachoka yule kacheza sana kwa mkopo vitimu kibao vya daraja la kati
Bado ni mchezaji mzuri so sioni tatizo lolote kwasababu tunaye melo Gusto anatubust kipindi yeye hayupo hata akikaa nje muda mrefu still akija anatupa kitu kizuri nyinyi mnaolalamika auzwe kwani hela mnatoa nyieYule Reece James wa academy aliyekuwa akicheza na akina Tammy Abraham, Mason Mount, Tomori hayuko tena. Misuli na muda aliokaa nje hawezi tena kurudi.
Maresca amejitahidi sana kuzuia injuries lakini yeye hata akiwa anafanya punyeto anashikwa na misuli
Ana bahati mbaya sana kwamba atabakia kwenye historia tu kuwa RB bora zaidi duniani ameishia kitandani kwa sababu ya misuli
Ebu nipe mechi ambazo alicheza misimu miwili iliyopita halafu tupime je ina liability au asset ndani yakeBado ni mchezaji mzuri so sioni tatizo lolote kwasababu tunaye melo Gusto anatubust kipindi yeye hayupo hata akikaa nje muda mrefu still akija anatupa kitu kizuri nyinyi mnaolalamika auzwe kwani hela mnatoa nyie
Sipendi ile hali ya kumfanya Jackson awe kwenye comfortable zoneChristopher Nkunku anaweza kushinikiza kuondoka Chelsea msimu ujao ikiwa hataingia kwenye first eleven
Nampenda sana Nkunku na nitamtakia kila la kheri akitoka Chelsea. Anastahili kuondoka ikiwa kocha hatampa mechi za ushindani. Kwa upande mwingine, nitamchukia Maresca kwa kutompa dakika za kutosha katika michezo ya ushindani. Kama Nkunku ataondoka Chelsea itakuwa ni makosa ya Maresca kwa kumuweka bench mchezaji bora naman hii na sio Nkunku.
View attachment 3128407
Issue sio unacheza mechi ngapi unafanya nini kwa hizo mechiEbu nipe mechi ambazo alicheza misimu miwili iliyopita halafu tupime je ina liability au asset ndani yake
Yule ni mtumishi hewa mechi zake tano anarudi kitandani. Shida sio kuingia. Shida ni pindi anapotoka. Unakuta timu inakua imeshaelewana mara paa injury tunaanza tena moja kutafuta muunganiko. Sa si bora tuwe na mchezaji ambaye gari likishawaka anawaka nalo, Unamtetea tu mchezaji gani wa MOI kila siku.James anaweza akawa ni injury ila akirudi mara nyingi hahitaji mpaka awe na mechi nyingi ndio arudi kwenye form unakuta game hiyo hiyo ya kwanza anakiwasha alafu mnaanza kumuimba.Kama hela utoi wewe kwanini uumie kama uongozi umeridhika nae wewe kinachokuwasha nini?