Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Haijalishi kesho tutakaa na mpira kwa muda gani, tutamiliki mpira kwa muda gani, ikiwa wachezaji wataweza kuwa wazuri wakiwa hawana mpira ni rahisi kuifunga Liverpool.

Liverpool wanapress sana na wachezaji wao wana kasi
Wana uwezo wa kumiliki mpira bila kupoteza hovyo
Wanaongoza ligi
Wana wafungaji hatari
Luiz Dias yuko kwenye form nzuri sana
Ryan Gravenberch ni hatari akipewa nafasi ya kuserereka na mpira

twende na 4-2-3-1

--------------Nkunku-------------

Sacho ----- Palmer-----Madueke

--- Lavia --------------Caicedo---

Veiga---Collwill---Tosin---Gusto

------------- Sanchez-------------
 
Haijalishi kesho tutakaa na mpira kwa muda gani, tutamiliki mpira kwa muda gani, ikiwa wachezaji wataweza kuwa wazuri wakiwa hawana mpira ni rahisi kuifunga Liverpool.

Liverpool wanapress sana na wachezaji wao wana kasi
Wana uwezo wa kumiliki mpira bila kupoteza hovyo
Wanaongoza ligi
Wana wafungaji hatari
Luiz Dias yuko kwenye form nzuri sana
Ryan Gravenberch ni hatari akipewa nafasi ya kuserereka na mpira

twende na 4-2-3-1

--------------Nkunku-------------

Sacho ----- Palmer-----Madueke

--- Lavia --------------Caicedo---

Veiga---Collwill---Tosin---Gusto

------------- Sanchez-------------
Nafikiri kocha anaweza akaja na midfielders watatu Lavia, Enzo na Caicedo ninafikiri hivyo kwasababu kwenye press yake alisema mechi bora kwake ni ile dhidi ya Man city.Nikija kwa maoni yangu mimi ninaungana na hiyo line-up yako Enzo kiukweli ameshuka kiwango hata hiyo game dhidi ya man city hakuwa kwenye ubora hiyo ya midfielders watatu itafanya kazi pale tu Enzo akiwa kwenye ubora
 
Haijalishi kesho tutakaa na mpira kwa muda gani, tutamiliki mpira kwa muda gani, ikiwa wachezaji wataweza kuwa wazuri wakiwa hawana mpira ni rahisi kuifunga Liverpool.

Liverpool wanapress sana na wachezaji wao wana kasi
Wana uwezo wa kumiliki mpira bila kupoteza hovyo
Wanaongoza ligi
Wana wafungaji hatari
Luiz Dias yuko kwenye form nzuri sana
Ryan Gravenberch ni hatari akipewa nafasi ya kuserereka na mpira

twende na 4-2-3-1

--------------Nkunku-------------

Sacho ----- Palmer-----Madueke

--- Lavia --------------Caicedo---

Veiga---Collwill---Tosin---Gusto

------------- Sanchez-------------
Kapteni VP hapo
 
Bado ni mchezaji mzuri so sioni tatizo lolote kwasababu tunaye melo Gusto anatubust kipindi yeye hayupo hata akikaa nje muda mrefu still akija anatupa kitu kizuri nyinyi mnaolalamika auzwe kwani hela mnatoa nyie
Hizi ni opinions Acha kufanya vitu personal ,kwani wewe unapotamañi Chelsea imsajiri mchezaji flani ,hela huwa unatoa wewe ?
 
Vs Liverkuku Twende na 4-2-3-1

Sanchez

Gusto
Tosin
Colwill
Viega

Enzo
Caicedo

Madueke - Japo sio kwa umuhimu
Palmer
Sancho

Jackson - Aendelee kubabua makipa
 
Nafikiri kocha anaweza akaja na midfielders watatu Lavia, Enzo na Caicedo ninafikiri hivyo kwasababu kwenye press yake alisema mechi bora kwake ni ile dhidi ya Man city.Nikija kwa maoni yangu mimi ninaungana na hiyo line-up yako Enzo kiukweli ameshuka kiwango hata hiyo game dhidi ya man city hakuwa kwenye ubora hiyo ya midfielders watatu itafanya kazi pale tu Enzo akiwa kwenye ubora
Viungo watatu maana yake aue na. 10 ambayo ni muhimu sana kwenye mechi hii na Liver
Maresca hawezi kumchezesha Palmer RW na wala hataweza kumuacha Madueke kwenye bench
Pia kama unamfuatilia Maresca vizuri anataka kutenegenza starting XI isiyobadilika
Cucu na Fofana watakosa tu kwa sababu ya njano 5
Mimi nawaona wachezaji wale wale, hata Nkunku sidhani kama ataanza na kumuacha Jackson kwenye benchi
 
Vs Liverkuku Twende na 4-2-3-1

Sanchez

Gusto
Tosin
Colwill
Viega

Enzo
Caicedo

Madueke - Japo sio kwa umuhimu
Palmer
Sancho

Jackson - Aendelee kubabua makipa
Madueke kivyovyote lazima aanze huyo ndio mchezaji pendwa wa kocha ukiachana na Fofana na anapendwa sio kwa bahati mbaya la hasha! Ni kwasababu anasaidia team kukaba na kupress ikiwa haina mpira kitu ambacho Neto afanyi ndio maana anaanza kila gemu.
 
Viungo watatu maana yake aue na. 10 ambayo ni muhimu sana kwenye mechi hii na Liver
Maresca hawezi kumchezesha Palmer RW na wala hataweza kumuacha Madueke kwenye bench
Pia kama unamfuatilia Maresca vizuri anataka kutenegenza starting XI isiyobadilika
Cucu na Fofana watakosa tu kwa sababu ya njano 5
Mimi nawaona wachezaji wale wale, hata Nkunku sidhani kama ataanza na kumuacha Jackson kwenye benchi
Yah Jackson ataanza kwasababu ya pressing
 
Kikosi kilichothibitishwa kwa mechi ya Liverpool dhidi ya Chelsea kwenye Uwanja wa Anfield leo
4-2-3-1

--------------Jackson-------------

Sacho ----- Palmer-----Madueke

--- Lavia --------------Caicedo---

Gusto---Collwill---Tosin---James

------------- Sanchez-------------

Bench
  1. Bettinelli,
  2. Disasi,
  3. Badiashile,
  4. Veiga,
  5. Enzo,
  6. Dewsbury-Hall,
  7. Neto,
  8. Joao Felix,
  9. Nkunku
 
Mpigwe tu akili ziwakae sawa, James R miguu ya plastic. After first half atarudi tena wodini,,,, uzeni anakula pesa ya bure tu msimu mzima hawezi kucheza mechi 15!
 
Kikosi kizuri sana, sema kule mbele takataka Madueke aache utoto. Kwenye kutoa pasi atoe kwa wakati na asiwe mchoyo, hii game ya leo muhimu sana tutoke na pointi tatu.
 
Kikosi kilichothibitishwa kwa mechi ya Liverpool dhidi ya Chelsea kwenye Uwanja wa Anfield leo
4-2-3-1

--------------Jackson-------------

Sacho ----- Palmer-----Madueke

--- Lavia --------------Caicedo---

Gusto---Collwill---Tosin---James

------------- Sanchez-------------

Bench
  1. Bettinelli,
  2. Disasi,
  3. Badiashile,
  4. Veiga,
  5. Enzo,
  6. Dewsbury-Hall,
  7. Neto,
  8. Joao Felix,
  9. Nkunku
Kikosi cha mauaji kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom