Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mmejitahidi majirani 🤠 🤠....kocha madevu wa nott forest sio mtu mzuri....yule ni ngunguri au jino kwa jino....tuko na nyie majirani mpk mrudi nafasi yenu ya nane
Tunataka kuwachomoa nafasi mliyokalia ninyi wahuni ,
Mmekalia nafasi yetu
 
Wewe na Madueke wote ni matakataka yaliyo oza uzundo
Hata wewe ni takataka hujijui tu
Madueke sio takatakla. kwa sasbabu tu hachezi uynavyotaka. Contribution ya Madueke RW hakuna mchezaji anayeweza kuifikia kwa sasa labda waje wapya au form ya Neto ipande. Madueke kuwa mchoyo haitoshi kumuita takata.
 
Mechi kama hii tunatoaje sale!!! Hatuko pale kupigania kuingia top 4, tuko pale kupigania ubingwa. Kuchukua ubingwa inabidi hivi vi timu muwasho unavikung'ung'uta kweli kweli.

Kipindi cha kwanza tumepata nafasi nyingi na nzuri tu lakini kama kawaida yake takataka Madueke kila siku hajirekebishi. Narudia tena, huwezi chukua ubingwa ukiwa na matakataka kama Madueke, Enzo, Jackson, Fofana, Sanchez na mwalimu wao Enzo.
 
Mechi kama hii tunatoaje sale!!! Hatuko pale kupigania kuingia top 4, tuko pale kupigania ubingwa. Kuchukua ubingwa inabidi hivi vi timu muwasho unavikung'ung'uta kweli kweli.

Kipindi cha kwanza tumepata nafasi nyingi na nzuri tu lakini kama kawaida yake takataka Madueke kila siku hajirekebishi. Narudia tena, huwezi chukua ubingwa ukiwa na matakataka kama Madueke, Enzo, Jackson, Fofana, Sanchez na mwalimu wao Enzo.
Wasifie na wapinzani kidogo ndugu yangu , Liverpool walipigwa pamoja na ubora wao
 
Timu la kifala sana huli yaan na red card wakala ila draw nusura tu nili cashout mapema. Ila silibetiii tena timu lenu.
Hivi unawajua forest wanakaba kama team ya baba yao na yule kipa wao wamuongezee mshahara
 
Timu la kifala sana huli yaan na red card wakala ila draw nusura tu nili cashout mapema. Ila silibetiii tena timu lenu.
Unadhani Nottingham forest ni wabovu,Ni team yenye defensive record nzuri mpaka sasa kwenye league.

Wamepata ushindi Anfield Liverpool alifanikiwa kucreate 1 big chance ndani ya dakika 90 na expected goals kwa liver ilikuwa 0.7XG

Wafatilieni
 
Mechi na Liverpool, Fofana na Cucurella hawatacheza badala yake tutakuwa na Tosin na Veiga kwenye hizo nafasi. Itakuwa bonge la mechi. Lazima hawa dogo watamuonyesha kocha kitu hapo
 
Wakati mechi iliyopita dhidi ya Brighton, Sanchez alisababisha errors mbili na akasema

"Siku moja nasaidia, siku ijayo wananisaidia"
Mechi na Forest Sanchez alitusaidia kwa kweli
1728246000995.png
 
Points za mechi tano za hivi karibuni:
1) Liverpool pointi 12
2) Man City pointi 11
3) Arsenal pointi 11
4) Chelsea pointi 11
5 Aston villa pointi 11
Hizo ndizo timu pekee zilizofanya vizuri katika mechi za hivi karibuni
 
Mechi kama hii tunatoaje sale!!! Hatuko pale kupigania kuingia top 4, tuko pale kupigania ubingwa. Kuchukua ubingwa inabidi hivi vi timu muwasho unavikung'ung'uta kweli kweli.

Kipindi cha kwanza tumepata nafasi nyingi na nzuri tu lakini kama kawaida yake takataka Madueke kila siku hajirekebishi. Narudia tena, huwezi chukua ubingwa ukiwa na matakataka kama Madueke, Enzo, Jackson, Fofana, Sanchez na mwalimu wao Enzo.
Hivi yule kipa wa forest aliwezaje kusave kichwa kule Cha nkuku?
 
Mechi na Liverpool, Fofana na Cucurella hawatacheza badala yake tutakuwa na Tosin na Veiga kwenye hizo nafasi. Itakuwa bonge la mechi. Lazima hawa dogo watamuonyesha kocha kitu hapo
Mimi nataka wacheze hata mechi ya Bournemouth walifanya vizuri
 
Unadhani Nottingham forest ni wabovu,Ni team yenye defensive record nzuri mpaka sasa kwenye league.

Wamepata ushindi Anfield Liverpool alifanikiwa kucreate 1 big chance ndani ya dakika 90 na expected goals kwa liver ilikuwa 0.7XG

Wafatilieni
Basi niliwqchukulia poa bila kuwajua
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom